Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Wa hivi ndio wanatusumbua kwenye ajira zao
Kutwa kuomba rushwa hata ukimuuliza kalamu ujaze fomu
Mikopo yao inabidi walipiwe na wengine
Hivi utakuwa na raha gani kama ulizimaliza kwa kununua vitu vya anasa
Na kama alifanyia cha maana well and good ila riba haram
Kutwa kuomba rushwa hata ukimuuliza kalamu ujaze fomu
Mikopo yao inabidi walipiwe na wengine
Hivi utakuwa na raha gani kama ulizimaliza kwa kununua vitu vya anasa
Na kama alifanyia cha maana well and good ila riba haram