Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini bora ata nipate 200k itasaidia kulisha familia...Iyo biashara imekufa baada ya kupandisha tozo usijaribu kuweka pesa yako huko utaliwa
Kama una mipango ni vizuri kuchukua mkopo.Nimejifunzaa ukiwa serekali na mshahara kuazia laki tisaa kupanda unaweza kuchukua mkopo kuazia milioni 40,binafsi nikipata huu mkopo nimeanga ufukaraaa,kwa jinsi nilivyo sota kwenye ujasiriamali nazani itazaa Mara 2
40m huwezi kuaga ufukaraNimejifunzaa ukiwa serekali na mshahara kuazia laki tisaa kupanda unaweza kuchukua mkopo kuazia milioni 40,binafsi nikipata huu mkopo nimeanga ufukaraaa,kwa jinsi nilivyo sota kwenye ujasiriamali nazani itazaa Mara 2
Hata kama unalipwa 1.6M kama basic salary huwezi kufikisha mkopo wa 40M. Utaishia kwenye around 36M hivi for 7 years. Hicho unachoona hapo ni mkopo aliokopa + ribaNimejifunzaa ukiwa serekali na mshahara kuazia laki tisaa kupanda unaweza kuchukua mkopo kuazia milioni 40,binafsi nikipata huu mkopo nimeanga ufukaraaa,kwa jinsi nilivyo sota kwenye ujasiriamali nazani itazaa Mara 2
Kitu cha maana kama kipi Mkuu? Unaweza kukitaja tukakiona na kubadilishana mawazo hapa?Kama mkopo alifanyia kitu cha Maana, hakuna chakupoteza hapo.
Sio lazima uwepo Serikalini ndio Ukope.Nimejifunzaa ukiwa serekali na mshahara kuazia laki tisaa kupanda unaweza kuchukua mkopo kuazia milioni 40,binafsi nikipata huu mkopo nimeanga ufukaraaa,kwa jinsi nilivyo sota kwenye ujasiriamali nazani itazaa Mara 2
Hapo imekuwaje sasa yeye anadaiwa Milioni 42?Kwa hiyo basic huwezi kupata 50M. Sanasana akikopa kwa miaka 7 atapata around 24M. Ambapo kwa miaka 5 ni kama 19M tu.
Vitu vya Maana ni biashara mkuu.Kitu cha maana kama kipi Mkuu? Unaweza kukitaja tukakiona na kubadilishana mawazo hapa?
Mikopo inariba mfano ukichukua million 10 unatakiwa urudishe 17 kwa miaka labda 6 au saba...kwahyo unawezekana kabisa uyo jamaa alilamba 24 wakaikokotoa ndio anadaiwa 42Hapo imekuwaje sasa yeye anadaiwa Milioni 42?
Good, ili ufanikiwe zaidi achana na hiyo kazi.Kimsingi kama kawaida ya JF, mtoa Post alileta hoi post kwa lengo la kuponda utumishi wa umma ila majibu ya wadau mazuri na yanamvunja moyo. Yeye alitaka tuishambulie hiyo 300k anayoipata.
Mimi nina chini ya 500K kwa mwezi kama mshahara wangu toka TGS G sikuwa na loan board na nilikopa zaidi ya 40M ambayo inanisaidia kwenye mzunguko wa zaidi ya 1.2M kwa mwezi toka kwenye Kilimo, ufugaji wa ng'ombe wa maziwa, duka la Pembejeo na bodaboda za mkataba. Kumbuka nilishajenga na nipo kwangu hapo.
Mkopo gani wa Hivyo?Mikopo inariba mfano ukichukua million 10 unatakiwa urudishe 17 kwa miaka labda 6 au saba...kwahyo unawezekana kabisa uyo jamaa alilamba 24 wakaikokotoa ndio anadaiwa 42
Ni kweli, Maisha lazima yaendelee.Bora yeye anapata hata hiyo 300,000 kwa sisi tulioamua kujiajiri na mitaji duni kuna mwezi unapita hujaingiza hata 50,000 na bado maisha lazima yasogee
Kukopa ni kuzuri kama uliplan kupata faida ya zaidi (au sawa na riba) ya riba unayolipa. Kama mtu alijenga nyumba, apangishe, na mapato kutoka kwenye kodi ya pango atakayolipwa yawe sawa au kuzidi makato ya mkopo anaorejesha kila mwezi (principal + interest), ili kumaintain positive cash flow.Sitakaa nije kukopa
Loooh[emoji134][emoji134][emoji134]mzee hiyo 42m ni deni analotakiwa kulipa baada ya kupewa mkopo wake. kwa hiyo net loan aliyopewa inaweeza kua 20-25 m.
Kwakweli najaribu kutafakari ni kipi kimetokea. Maana hata kama kachukuwa mkopo mwezi huu, jumla ya deni ilitakiwa isome kama 37M hivi Kwa mkopo wa 7 years.Hapo imekuwaje sasa yeye anadaiwa Milioni 42?
Very good pointKwa haraka haraka huyo ni mwalimu wa daraja E1. Na anaonekana alishamaliza deni la bodi ya mikopo au hakupata kabisa kusomeshwa kwa udhamini wa HESLB kwa hiyo kaenda kajitungua milioni kama 25+ . Yeye ndo anajua kama amekamilisha malengo au bado.
Tukope kwa sababu maalum.
Tukope tukiwa tumeshafanya upembuzi kamili kwa miradi au mradi tunayoifanya
Bila mikopo tusingekua na wafanya biashara hawa unaowaona. Tusingekua na megastructrures hizi tunazoziona. Hata wengine sisi tusingesoma bila mikopo.Daah usinipe moyo kiongozi ile hela kama ina laana hivi amini kwamba
Naomba uchukuwe huu utafiti uchwara niliofanya mie mkuu.Vitu vya Maana ni biashara mkuu.
Kuuza na kununua hasa mazao(nafaka) mchele, maharage n.k, ukivifanya kwa bidii na uangalifu unapiga pesa fresh kabisa.