Tetesi: Salim Abdallah ‘Try Again’ katika jaribio la kumng’oa Mo Dewj Simba!

Tetesi: Salim Abdallah ‘Try Again’ katika jaribio la kumng’oa Mo Dewj Simba!

Huelewi jamaa anachozungumzia, Mwigulu ni mjumbe wa Baraza la Udhamini la Yanga ambalo kisheria ndio wamiliki wa timu kwa niaba ya wanachama hivyo Mwigulu, Mama Fatma Karume, George Mkuchika na wengine hao ndio wamiliki wa Yanga
Hii umeitoa wapi? leta katiba hapa tusome wote
 
Makolo washapoteana Hadi wajipate miaka kumi tayari,Ila Kuna mahala umetupiga,
1:Tajiri anaishi Uturuki
2:Familia Moja/mtu, au kampuni moja haiwezi Kumiliki Timu zaidi ya moja Ligi moja
2. Unless otherwise akubali kuidamp timu moja wapo
 
Wanatakiwa wawekezaji watatu katika asilimia 49 na sio mmoja kama ingekua ni mmoja mchakato ungeshaisha
Kuna mambo mengi sana hujui yaani wewe bendera fuata upepo nimeshangaa sana na hili hulijui

Hata akija bakharesa katiba ya simba inasema wanatakiwa wawe wawekezaji watatu na sio mmoja kwa hiyo bado mchakato utakua mgumu
Sio katiba ya Simba tu hata serikali iliweka Sheria wawekezaji wanatakiwa wasipungue 3
 
Wanatakiwa wawekezaji watatu katika asilimia 49 na sio mmoja kama ingekua ni mmoja mchakato ungeshaisha
Kuna mambo mengi sana hujui yaani wewe bendera fuata upepo nimeshangaa sana na hili hulijui

Hata akija bakharesa katiba ya simba inasema wanatakiwa wawe wawekezaji watatu na sio mmoja kwa hiyo bado mchakato utakua mgumu
Wasiopungua watatu, wanachama wa Simba kwa kudanganywa wakampitisha mmoja ndio maana anawssumbia.
 
Hahahahaha yule ni master..kuna kipindi tulienda kigali kucheza Kagame Cup..Hans akaja ktk maongezi akasema we Dogo huku kigali ni kwenu sasa kuna kazi nataka uifanye kesho tushinde...yule jamaa ni master alikuwa

Nafasi ya Hans mtu anayeiweza pale Simba ni Nyange Kaburu au Kassim Dewji
Kaburu sio tu anajua fitina pia ana jicho la kusajili alimleya Okwi na miaka 27. Kasim Dewji ni tapeli alidanganya Simba kiwejenga msingi wa ghorofa 7 kumbe ni tatu pia alidanganya Ramadhani Was so anaenda Ubelgiji kumbe anamwuza yanga pia ndiye aliyeuza sehemu ya uwanja wa Simba Msimbazi.
 
Hii ya wawekezaji watatu kwenye timu utafelisha sana hizi timu na migogoro haitaisha
Timu ipewe kwa mwekezaji mmoja hii ya watatu
Hapana mwekezaji akiwa zaidi ya mmoja ni sahihi ona mo anavyowasumbua Simba, wakipata mkataba yeye hataki an kwa sababu unapingana na biashara zake Ila yeye anatumia Simba Kutangaza biashara zake huku akiwalipa kiduchu.
 
Hapana mwekezaji akiwa zaidi ya mmoja ni sahihi ona mo anavyowasumbua Simba, wakipata mkataba yeye hataki an kwa sababu unapingana na biashara zake Ila yeye anatumia Simba Kutangaza biashara zake huku akiwalipa kiduchu.
Niseme tu ukweli, wewe una akili. Akili yako inafanya kazi, hongera.
 
Kaburu sio tu anajua fitina pia ana jicho la kusajili alimleya Okwi na miaka 27. Kasim Dewji ni tapeli alidanganya Simba kiwejenga msingi wa ghorofa 7 kumbe ni tatu pia alidanganya Ramadhani Was so anaenda Ubelgiji kumbe anamwuza yanga pia ndiye aliyeuza sehemu ya uwanja wa Simba Msimbazi.
Hahahahaha KD mjanja mjanja sana hata Kaseja alimuuza yeye kwa Yanga...ni kweli Kaburu ana jicho la mpira na kujua mchezaji mzuri na pia anajua kulea wachezaji
 
Ana cheo kipi
Sababu wenye vyeo ni wakin engineer, alikamwe, arafati na wengineo mwigulu hayupo

Mwigulu hasimamii mali za Yanga ni uongo yule ni mwanachama tu ambaye hakatazwi kumiliki timu nyingine ni kama wewe kuwa mwanachama wa simba hukatazwi kumiliki timu nyingine

Azam ile timu ni ya bakheresa ila msimamizi wa mambo ya timu ni mtoto wake
Duuuu nazid kuamini maneno ya Manara kuhusu wenye utimamu pale jangwani. Ko hujui kuwa Mwigulu ni kiongozi Yanga pale?
 
Muhindi na mchina wote wananyota ya shida sana..mtu mwingine hawezi kufanikiwa.Bora mzungu,mwafrika na muarabu...muhindi na mchina wakatebngeneze barabara tu
 
Hapana mwekezaji akiwa zaidi ya mmoja ni sahihi ona mo anavyowasumbua Simba, wakipata mkataba yeye hataki an kwa sababu unapingana na biashara zake Ila yeye anatumia Simba Kutangaza biashara zake huku akiwalipa kiduchu.
Mbona gsm yupo mmoja na yanga inaingia mikataba na makampuni mengine
Mbona ulaya timu zinamilikiwa na mtu mmoja na zinaingia mikataba na makampuni mengine
 
Back
Top Bottom