mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
- Thread starter
- #21
Kwanini umesema hivo?KiKeke anaweza kuwa na jina kubwa ila hana kitu kichwani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini umesema hivo?KiKeke anaweza kuwa na jina kubwa ila hana kitu kichwani.
ConnectionNaona ni swala la muda tu tutapewa tangazo hilo,,hasa baada ya Msigwa kuhamishiwa wizara ya habari kuwa katibu mkuu ni wazi Sasa kuwa kikeke hakuacha kazi bure kule London
anasemaga hzo nafasi hazitaki, yy ni maskini jeuri etiAnko Pasko (mwanabodi) atatosha. Ni mwanahabari mbobevu
Mmoja ikulu, mwingine serekali,
Hata hajui kwa nn kasema hvo, amesema tu.Kwanini umesema hivo?
Utoto mwingi na hajui kama kakua au badoKiKeke anaweza kuwa na jina kubwa ila hana kitu kichwani.
Wanasiasa na wachawi ni sawa tu maana akienda Mke kukuroga anapewa dawa, na wewe ukienda kumroga mke nawe unapewa pia dawa ili zikagongane huko hukohuyu hajui wanasiasa kuwa ni watu wa ndimi mbili.
Yule ana utoto sana,kuna siku nikaangalia pg yake instagram.Yani kama mtoto.Utoto mwingi na hajui kama kakua au bado
huko lazima awe mtoto maana yupo na watoto wenzake akina mwamedi, kuna picha alipost yupo kwenye kibao sijui alikuwa zambia au malawi, kibao kimeandikwa pumbu,Yule ana utoto sana,kuna siku nikaangalia pg yake instagram.Yani kama mtoto.
Halafu mtu aliye instagram anaepost kila sehemu alipo,siyo msanii .Ninamuona kama fala flani hivi.huko lazima awe mtoto maana yupo na watoto wenzake akina mwamedi, kuna picha alipost yupo kwenye kibao sijui alikuwa zambia au malawi, kibao kimeandikwa pumbu,
Kabisa mdada, mtu una kazi yako nzuri nje huko, unapost ujinga ujinga kama msanii underground ili iweje sasa.Halafu mtu aliye instagram anaepost kila sehemu alipo,siyo msanii .Ninamuona kama fala flani hivi.
😅😅😅😅 sawa mkuu tulipe muda tu hawa hawachelewi kutusuprise.never say never, hakuna adui wala rafiki wa kudumu, ila kuna maslahi ya kudumu, usimwapie mtu mkuu hujui moyoni kwake kuna nn, sana sana wanasiasa, hawa ni malaya kama malaya wengine tu.
Mbona kwa zuhura imewezekana?KIKEKE NI RAIA WA UINGEREZA MWENYE ASILI YA TANZANIA. JE IKULU ITAKUBALI KUWA NA MSEMAJI ANAYETOKA UINGEREZA?
Naona ni swala la muda tu tutapewa tangazo hilo,,hasa baada ya Msigwa kuhamishiwa wizara ya habari kuwa katibu mkuu ni wazi Sasa kuwa kikeke hakuacha kazi bure kule London
NamjuaKwanini umesema hivo?
NDIONaona ni swala la muda tu tutapewa tangazo hilo,,hasa baada ya Msigwa kuhamishiwa wizara ya habari kuwa katibu mkuu ni wazi Sasa kuwa kikeke hakuacha kazi bure kule London
[emoji23][emoji23][emoji23]Wampe mwijaku