Salim kikeke kumrithi Msigwa?

Salim kikeke kumrithi Msigwa?

huyu hajui wanasiasa kuwa ni watu wa ndimi mbili.
Wanasiasa na wachawi ni sawa tu maana akienda Mke kukuroga anapewa dawa, na wewe ukienda kumroga mke nawe unapewa pia dawa ili zikagongane huko huko

Kweli wana ndimi zaidi ya nyoka
 
Wao wapeane tu lakini wajue utawala wa waovu hauwezi kudumu milele. Ni suala la muda tu.
 
huko lazima awe mtoto maana yupo na watoto wenzake akina mwamedi, kuna picha alipost yupo kwenye kibao sijui alikuwa zambia au malawi, kibao kimeandikwa pumbu,
Halafu mtu aliye instagram anaepost kila sehemu alipo,siyo msanii .Ninamuona kama fala flani hivi.
 
never say never, hakuna adui wala rafiki wa kudumu, ila kuna maslahi ya kudumu, usimwapie mtu mkuu hujui moyoni kwake kuna nn, sana sana wanasiasa, hawa ni malaya kama malaya wengine tu.
😅😅😅😅 sawa mkuu tulipe muda tu hawa hawachelewi kutusuprise.
 
Back
Top Bottom