Pre GE2025 Salma Kikwete: Wanawake tusifanye ajizi, rafiki wa mwanamke ni mwanamke. Tupige kura za kihistoria kwa Rais Samia

Pre GE2025 Salma Kikwete: Wanawake tusifanye ajizi, rafiki wa mwanamke ni mwanamke. Tupige kura za kihistoria kwa Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbunge wa Jimbo la Mchinga, Salma Kikwete, amewahamasisha wanawake kote nchini kujitokeza kugombea nafasi za udiwani na ubunge, huku akiwataka kuwaunga mkono wanawake wenzao kwa kura nyingi, hususan mgombea wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Akizungumza katika Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Kanda ya Kusini, Salma alisisitiza umuhimu wa ushiriki wa wanawake katika nafasi za maamuzi na uongozi.

Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Lazima wanawake tusiwe na ajizi. Rafiki wa mwanamke ni mwanamke mwenzake. Anaposimama mwanamke, ni jukumu letu kumsaidia kwa hali zote. Tunawaomba wanaume mtuunge mkono, tunataka kura za kihistoria ambazo hazijawahi kutokea hapa Tanzania, barani Afrika, na ulimwenguni kote," alisema.
Uchawa na uchawi
 
Mbunge wa Jimbo la Mchinga, Salma Kikwete, amewahamasisha wanawake kote nchini kujitokeza kugombea nafasi za udiwani na ubunge, huku akiwataka kuwaunga mkono wanawake wenzao kwa kura nyingi, hususan mgombea wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Akizungumza katika Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Kanda ya Kusini, Salma alisisitiza umuhimu wa ushiriki wa wanawake katika nafasi za maamuzi na uongozi.

Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Lazima wanawake tusiwe na ajizi. Rafiki wa mwanamke ni mwanamke mwenzake. Anaposimama mwanamke, ni jukumu letu kumsaidia kwa hali zote. Tunawaomba wanaume mtuunge mkono, tunataka kura za kihistoria ambazo hazijawahi kutokea hapa Tanzania, barani Afrika, na ulimwenguni kote," alisema.
Waziri ajaye huyu ....
 
Mbunge wa Jimbo la Mchinga, Salma Kikwete, amewahamasisha wanawake kote nchini kujitokeza kugombea nafasi za udiwani na ubunge, huku akiwataka kuwaunga mkono wanawake wenzao kwa kura nyingi, hususan mgombea wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Akizungumza katika Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Kanda ya Kusini, Salma alisisitiza umuhimu wa ushiriki wa wanawake katika nafasi za maamuzi na uongozi.

Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Lazima wanawake tusiwe na ajizi. Rafiki wa mwanamke ni mwanamke mwenzake. Anaposimama mwanamke, ni jukumu letu kumsaidia kwa hali zote. Tunawaomba wanaume mtuunge mkono, tunataka kura za kihistoria ambazo hazijawahi kutokea hapa Tanzania, barani Afrika, na ulimwenguni kote," alisema.
Wanapiga kura kuchagua kiongozi bora au wanapiga kura kwa sababu ya urafiki!!
 
Wanaume wangetangaza wapigiane kura wanawake wangelalamika.
 
Huyo bibi akiitwa mpumbavu atakasirika?
 
Huyu kasahau, rafiki mzuri wa mwanamke ni mumewe kama ilivyo kwake kwa rais wangu msitaafu na mcheshi

Kwa tamko hili katutenga wanaume?
 
1741321926986.png
 
Mbunge wa Jimbo la Mchinga, Salma Kikwete, amewahamasisha wanawake kote nchini kujitokeza kugombea nafasi za udiwani na ubunge, huku akiwataka kuwaunga mkono wanawake wenzao kwa kura nyingi, hususan mgombea wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Akizungumza katika Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Kanda ya Kusini, Salma alisisitiza umuhimu wa ushiriki wa wanawake katika nafasi za maamuzi na uongozi.

Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Lazima wanawake tusiwe na ajizi. Rafiki wa mwanamke ni mwanamke mwenzake. Anaposimama mwanamke, ni jukumu letu kumsaidia kwa hali zote. Tunawaomba wanaume mtuunge mkono, tunataka kura za kihistoria ambazo hazijawahi kutokea hapa Tanzania, barani Afrika, na ulimwenguni kote," alisema.
Huyo naye ni sawa chawa tu. Ni muomini wa maslahi binafsi tu. Mdisahau alijidifu kwa kupendekeza wenza wa marais wapewe mishahara na hata wakishastaafu wsendelee kulipwa. Tumbo tu na ubinafsi ndio ameweka mbele. Hao wenza wa marais wadtaafu kulipwa toka mfuko wa umma hadi kufa yeye anaona ni haki.
 
Wabinafsi sana hii familia, na haijawahi kuridhika kwa lolote, wanakamua nchi kulia na kushoto
 
Mbunge wa Jimbo la Mchinga, Salma Kikwete, amewahamasisha wanawake kote nchini kujitokeza kugombea nafasi za udiwani na ubunge, huku akiwataka kuwaunga mkono wanawake wenzao kwa kura nyingi, hususan mgombea wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Akizungumza katika Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Kanda ya Kusini, Salma alisisitiza umuhimu wa ushiriki wa wanawake katika nafasi za maamuzi na uongozi.

Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Lazima wanawake tusiwe na ajizi. Rafiki wa mwanamke ni mwanamke mwenzake. Anaposimama mwanamke, ni jukumu letu kumsaidia kwa hali zote. Tunawaomba wanaume mtuunge mkono, tunataka kura za kihistoria ambazo hazijawahi kutokea hapa Tanzania, barani Afrika, na ulimwenguni kote," alisema.
huyu mama hata wanawake wanamshangaa kwani adui wa mwanamke ni mwanamke
 
"Lazima wanawake tusiwe na ajizi. Rafiki wa mwanamke ni mwanamke mwenzake.

Kwa mtazamo wake huo ana maana "adui wa mwanamke ni mwanaume"
 
INASIKITISHA kwa kweli! Akili zao sijuwi zikoje?!
🤬🤬🤬🤬🤬
 
Back
Top Bottom