Magulumelafulu
JF-Expert Member
- Jul 8, 2021
- 495
- 602
Mwigulu anashida ya kiburiKwa Jinsi wafanyabiashara walivyoeleza ,ni wazi watendaji wanaweka kodi zisizolipika ili mradi watu watoe rushwa na wao wapate chao,kuna mfanyabiashar alitoa wazo ambalo kama mwigulu angelitekeleza serikali ingepata kodi mara mbili ya waliotarget wao lakini hawakusikiliza mawazo yao zaidi ya kuongeza tozo kutoka laki 8 hadi 2.4m
Mwigulu anashida ya kiburi
Mama kibonge kashinda vita....Mama bonge...hajawah shindwa vita...na hii vita anapigwa na boss wa simba na mamluki kibao..kuna kaumafia fulan hivi kwenye hii biashara ya vitenge....kuna mmoja anataka kuwa supplyer na ni billionea na mzawa lakin kiwanda chake hakikidhi uhitaji wa bidhaa kwa hao wahitaji.,,na hapa ndio vita ilipoanzia tokea enz za Magu....
NB bil 5 kwa mama bonge...aah jaman mbona wanamchafua...pesa ya mandaz kabisa hyo...
Ila Mama kibonge analipa jamani mweeeMama kibonge ndo huyuView attachment 2625596
Nilicheka pale alipouliza etu "wewe ndio mama bonge".....??
Yaani kama hamjui kabsaaaaaa.....😝
Yule dada anaitwa sanya kimamboNimeona bonge la mama linaomba namba ya PM ila huyo lafudhi ya kichaga
Ndio nimeelewa BossYule dada anaitwa sanya kimambo
Ni mrombo namjuwa longtime sana
Anaishi gomz
Salome mgaya ni mwingine
Ova
Haa Haa Haa Kajiongeza Hadharani Inaitwa Chambua Kama KarangaAlafu eti akaomba na namba ya Kasim...😝
Vuta picha na mahakamani wakampeleka na wakadundaYule wa container 15 na kudaiwa bilioni 30 mara 10 mara 3.5 ndiyo wa mapicha picha na mkubwa?
Uwiano wa manunuzi katika uagizaji na tozo na kodi sio sawa.Ila tuacheni utani kodi TRA kubwa sana bila ujanja janja hakuna kutoboa.
Mdada wa mjini sana huyoNdio nimeelewa Boss
Ila anaongea aisee
Siwezi watetea hao hata siku Moja ni wakwepaji Kodi wakubwa na hawatakiwi kuchelewa..Mi nadhani nyeupe isemwe nyeupe na nyeusi isemwe nyeusi ukwepwaji wa kodi kwa wafanyabiashara upo mwingi sana na hii haipingiki kupitia stoo inajulikana, kutoa risiti za mzigo pungufu kithamani nayo kawaida. Wafanyabiashara nchi hii si wazalendo yajulikana upande wa pili napo tatizo kuna vikodi vingi vingi na vya kipuuzi ambavyo mwisho wa siku mpaka upande wa pili wanapata sababu kuleta haya yaliyotokea.
Hitimisho: NANI AMVISHE PAKA KENGERE
Tutimize wajibu kwanza ili tudai uwajibikaji.Tunahangaika na kina Mama Kibonge pekee na kuwasahau / kujifanya hatuoni wanayoitafuna iliyoshakusanywa !!!!, Anyway hili limetupa Nishati nguvu za kusifia....,
By the way wamejuaje alikuwa anakwepa kwa muda mrefu ? Kwahio walikuwa wanamuona na kumfumbia macho ?
Na kweliMdada wa mjini sana huyo
Ova
Sera ya Tanzania Ina discourage magari used ndio maana unaona Iko hivyo.Uwiano wa manunuzi katika uagizaji na tozo na kodi sio sawa.
Mfano ukiagiza gari,kodi na tozo ni sawa au zaidi ya thamani ya gharama ya kuagiza gari,(uagize gari kwa Tshs.milioni 10,kodi na tozo milioni 15,mpaka utoe bandari gharama jumla inakuwa Tshs.milioni 25 ).
PENDEKEZO:
1.TRA ibadilishe tafsiri ya kumiliki gari kuwa ni anasa,bali ni bidhaa muhimu katika kukuza uchumi wa taifa,kwani wamiliki wakiwa wengi watachangia kodi kwa kununua mafuta.
2.Kodi ya uagizaji magari ipunguzwe hasa "import duty".