Sammuel999
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,481
- 2,347
- Thread starter
-
- #41
Leo niko in a tolerating mood .....i will allow it!!!Sammuel999, baada ya kuongea upupu wooote humu ndani na kumwaga povu unaweza thread ya kupooza vita! Something sinister utakuwa umepata info Uhuru ataomba JPM aruhusu maize iuzwe huko watu njaa inawaua! Mark my words itakua kwenye agenda kesho..
Too late ......@geza ametoka konyagi zake na ugali sasa amerudi kusumbua!!Utasababisha mada kubadilika
[emoji48][emoji48][emoji48] utanifanya nihamie Tanzania ....Mpumzisheni Sam wa watu ati...
Sam ukuje nikupe maana ya huo wimbo...[emoji276]
Sasa unataka tukulize eti.Leo niko in a tolerating mood .....i will allow it!!!
Kesho magu anakuja kuomba msaada!! Alafu akimaliza aamze hizi:View attachment 426811
Aombe msaada Kenya !!!!Leo niko in a tolerating mood .....i will allow it!!!
Kesho magu anakuja kuomba msaada!! Alafu akimaliza aanze hizi:View attachment 426811
Povu fullSasa unataka tukulize eti.
Njaa Kali kenya. Nenda kawasaidie ndugu zako
.View attachment 426815 View attachment 426816 View attachment 426817 View attachment 426818 View attachment 426819 View attachment 426820
Haha hamia tu,nitakupokea.[emoji48][emoji48][emoji48] utanifanya nihamie Tanzania ....
Keshi tutaona ....ngoja muone.....[emoji23][emoji23]Aombe msaada Kenya !!!!
Ila wewe unamatatizo
Kwikwikwikwi ndio ujue sasa kati ya TZ na Kenya yupi anahitaji msaada.Povu full
Unaanzisha ugomviMsaada mtapata kesho
Huyu jamaa angekuwa na akili timamu angetulia tu. Maana nchi yake ni maskini wa kutupwa.Unaanzisha ugomvi
Kijana
Leo team imeenea utaumia humu
Leo hatuendi jukwaa la siasa
Wacha uchokozi tutakushambulia
Nionyeshe picha ya 2013+Kwikwikwikwi ndio ujue sasa kati ya TZ na Kenya yupi anahitaji msaada.
Au unataka tukuweke uchi zaidi?
Umeelewa lakini?? Kuna maneno mazito sana hapo kwa watoto hayafai.Nimetii na huyo mse!!
Nionyeshe picha ya 2013+
Otherwise Kesho mtapata msaada
Njaa iko kila mahali nionyeshe picha ya watu hao ....Drought in Kenya’s Northwest has left hundreds of thousands of people on the brink of starvation. The Kenyan government has yet to intervene, forcing residents to move to other counties in search of food.
Hundreds of thousands face hunger in Kenya | Africa | DW.COM | 21.06.2016
- Date 21.06.2016
Niambie nani anahitaji msaada wa msosi?