Salome

Msaaaaaaaaada kwa tanzania kesho going once going twice

*magu anatii*

Sold Msaada kwa tanzania
 
Njaa iko kila mahali nionyeshe picha ya watu hao ....
Kwahiyo njaa kwenu ni kitu cha kawaida. Sisi sehemu ikitokea kuna upungufu wa chakula inakuwa kama emergence.

Rudi kwenye mada sasa.
Ngoja nikuambie maana ya wimbo huo.
 
Okay cjui venye hii thread imederail mimi namtafuta scorpio me [emoji48][emoji48][emoji39]
 
Kwahiyo njaa kwenu ni kitu cha kawaida. Sisi sehemu ikitokea kuna upungufu wa chakula inakuwa kama emergence.

Rudi kwenye mada sasa.
Ngoja nikuambie maana ya wimbo huo.
Yeah ....ilhali real emergencies kama Earthquake zikitokea Kenyaninaingilia kati na kuwapa MSAAAAAAAAAAADA ......


Turudi kwa mada ...@geza amekuja akaharibu thread na kupotea
 
Sammuel999,there's a parody to this song done by Eric Omondi inaitwa "Sang'ombe"
Its been hilariously done!Tafta YouTube :-D
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…