Salumu Hamduni: TAKUKURU hatuna nia wala sababu ya kumkamata Makonda

Makonda bado yupo mjini
 
MBONA HILO LINAJULIKANA?
 
Siku yake inakuja najua kwanini saa hizi wanamuogopa maana wakimgusa kuna chain ya watu iko nyuma yataibuka mengi.

Ila file lake litakuja kuibuliwa tu siku za usoni.

Huyu ni mhalifu aliye wazi na aliyoyafanya yanajulikana ila hao wanaomkingia kifua hawatokuwepo soon atapata haki yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…