Samahani, huyu Mtu ni nani?

Samahani, huyu Mtu ni nani?

Status
Not open for further replies.
Kwan mwanaume kuwa ma makalio makubwa kwa sababu yoyote ndo shoga?

Jf mm naamin kuwa wajuzi wa mambo na wafuatiliaji ila kwa hizi comment kunanifikirisha sana.

Huyu n mwalimi wa mazoezi sasa sijajua nn kinafanya aitwe shoga.
TUWE TUNAANDIKA MAMBO TUKIWA NA UFAHAMU WAKE LA SIVYO BORA KUACHA KUANDIKA
Si lazima mtu kuanzisha uzi kwa hisia kisa umeona ai kuhisi jf n kubwa sana ma ina heshima kubwa sana
Hebu na wewe weka hapa picha yako tùkujadili
 
Mkuu issue kubwa sio mchizi kua na kalio kubwa..

Kinachoacha watu midomo wazi ni kwann mwanaume analikuza kalio tena kwa makusudi..

,, alifanyie nini yan!!

Kama purpose ni kuonesha kwa vitendo the way mazoez yake yalivyo effective kwa nn asiwatumie wanawake ambao ndo target market yake..

Ni gumu au tepetepe😂😂😂
Huyu ni papai tu. Hakuna mwanaume anafuga tako
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom