DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Shoga sio mtu? Samahani bi mkubwaHuyo "mtu" au shoga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shoga sio mtu? Samahani bi mkubwaHuyo "mtu" au shoga?
Weka picha kama ushahidiNimeona mmoja analalamika jamaa kamfuata DM anamtongoza, ila huyo dada anamsifia kwamba huyo jamaa anajua kubembeleza, aiseee!.
Kwani shoga hawezi kujiajiri?Acheni mawazo ya Hovyo, jamaa ni trainer kajiajiri.
Kuwa na matako makubwa siyo shida ila kulazimisha matako yawe makubwa na kuvaa vinguo vya kike huku ukibinua matako ni USHOGA.Kwan mwanaume kuwa ma makalio makubwa kwa sababu yoyote ndo shoga?
Jf mm naamin kuwa wajuzi wa mambo na wafuatiliaji ila kwa hizi comment kunanifikirisha sana.
Huyu n mwalimi wa mazoezi sasa sijajua nn kinafanya aitwe shoga.
TUWE TUNAANDIKA MAMBO TUKIWA NA UFAHAMU WAKE LA SIVYO BORA KUACHA KUANDIKA
Si lazima mtu kuanzisha uzi kwa hisia kisa umeona ai kuhisi jf n kubwa sana ma ina heshima kubwa sana
Lazima ana mtu anayempumulia kisogoni huku akimpapasa wowowoIko hivi mkuu
Kusema jambo usilokuwa na hakika nalo kisa mwonekano ni kumkosea yeye pia Mwenyezi Mungu.
Binafsi sipendi ushoga wala usagaji ila kumhukumu mtu kisa umbile ni hapan.
Anyway tuishie hapa nadhani itakuwa poa zaid
Atakua sio mzima huyo.Sio shoga huyu
Jmn wasauz SI mnajua walivyo na maumbile 🤣🤣🤣🤗
🤣🤣🤣🙌Kuwa na matako makubwa siyo shida ila kulazimisha matako yawe makubwa na kuvaa vinguo vya kike huku ukibinua matako ni USHOGA.
Sijawahi kumuona akitoa hicho kipochi hapo mbele😃Yani huyo ni wakala wa shetani kwny zegembe...
Mbona huwa anaandikaga vitu vya maana,sijawah kuona kaandika pumba huyo mdau.@The IcebreakerKwa mara ya kwanza umeandika kitu chenye maana.
Kongole kwako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Papaii lililoiva hilo anaingia leba huyo
Kwani huyo ni homos? KhaaahWadada wa mjini huwaambii kitu kuhusu huyu jamaa.
Sijui kwanini wanawake wanapendaga hawa Homos??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu wanaume wa kibongo hawaelewi hilo, wao akili zao muda wote zinawaza ushoga tu, watu wana stress za maisha hivyo wanatafutaga pa kuzimalizia humu
Nchi za watu zipi hizo wanako kuita mbaguzi? Ukute hata kipawa uwanja wa Ndege hujawahi kanyaga, mxxxxxiiiiiieeeew.Huyu hapaswi kukaribishwa huko Tanzania! Ana element za ushoga ! I hate mashoga at maximum , ndo maana kwenye nchi za watu naitwa mbaguzi! Akiwapo shoga kwenye hotel siingii
Britanicca
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha uzwazwa huyo ni shoga sema nyie wanawake mashoga ni mashoga zenu ndo maana mnawatetea, yaani mwanaume afanye mazoezi ya kuvimbisha matako eti kuwavutia wateja wakike NONSENSE, Huyo ni international bwabwa ana masponsor wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We sema umelitamani tako ulifukue usitusingizie
Mwanaume halisi hawezi onesha onesha sehemu yake ya nyuma bhana huyo ni NyoloKwani huyo ni homos? Khaaah