Samahani, huyu Mtu ni nani?

Samahani, huyu Mtu ni nani?

Status
Not open for further replies.
Kwan mwanaume kuwa ma makalio makubwa kwa sababu yoyote ndo shoga?

Jf mm naamin kuwa wajuzi wa mambo na wafuatiliaji ila kwa hizi comment kunanifikirisha sana.

Huyu n mwalimi wa mazoezi sasa sijajua nn kinafanya aitwe shoga.
TUWE TUNAANDIKA MAMBO TUKIWA NA UFAHAMU WAKE LA SIVYO BORA KUACHA KUANDIKA
Si lazima mtu kuanzisha uzi kwa hisia kisa umeona ai kuhisi jf n kubwa sana ma ina heshima kubwa sana
Kuwa na matako makubwa siyo shida ila kulazimisha matako yawe makubwa na kuvaa vinguo vya kike huku ukibinua matako ni USHOGA.
 
Iko hivi mkuu
Kusema jambo usilokuwa na hakika nalo kisa mwonekano ni kumkosea yeye pia Mwenyezi Mungu.

Binafsi sipendi ushoga wala usagaji ila kumhukumu mtu kisa umbile ni hapan.
Anyway tuishie hapa nadhani itakuwa poa zaid
Lazima ana mtu anayempumulia kisogoni huku akimpapasa wowowo
 
Nimeona kwenye page ya yule dada mfichua madudu ya ushoga amesema huyo jamaa anakuja TZ atafikia arusha Gym kiingilion ni elfu 30.
 
Huyu hapaswi kukaribishwa huko Tanzania! Ana element za ushoga ! I hate mashoga at maximum , ndo maana kwenye nchi za watu naitwa mbaguzi! Akiwapo shoga kwenye hotel siingii

Britanicca
Nchi za watu zipi hizo wanako kuita mbaguzi? Ukute hata kipawa uwanja wa Ndege hujawahi kanyaga, mxxxxxiiiiiieeeew.
 
Acha uzwazwa huyo ni shoga sema nyie wanawake mashoga ni mashoga zenu ndo maana mnawatetea, yaani mwanaume afanye mazoezi ya kuvimbisha matako eti kuwavutia wateja wakike NONSENSE, Huyo ni international bwabwa ana masponsor wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom