Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,403
- 12,775
HICHO KILELE UTAFIKIA WAPI WAKATI STRESS ZA KUTAFUTA KIPATO MBADALA KWA AJILI YA KUJIKWAMUA ZINAKUZONGA HUKU UKIDAIWA ADA ZA WATOTO NA MAJUKUMU LUKUKIHa ha haaaa,acha masihara
We zuga tu kuwa kama mdoli tu haina tofauti huwa tunalizika na hali yoyote cha msingi umetoa mzigo kwa baba watoto
Ukilowana utamu unakuwa mara dufu,Duuu,mwandiko wako umelenga kutulowanisha kiukweli
Hilo swali ni la kitoto sanaHabari za masiku?
Sorry,naomba mnijibu hili swali wanaume wa humu ndani huenda likanisaidia katika safari yangu hii na mwenzangu.
Ni hivi,kuna muda fulani huenda kutokana na majukumu mengi na kujawa na stress kibao kuna muda mtu unakosa hata hamu ya kujunjana,lakini inatokea mwenzangu anataka,sawa ili nisipelekwe kwa baroz nyumba kumi kuwa namnyima unyumba mwenzangu naamua kukubali kusex.Sasa shida inakuja kwenye kufika kileleni inabidi nipretend nimefika kwa namna yoyote ili nawe umalize tu uinuke niwe huru from mbanano.
Swali langu ni hili,hivi huwa mnagundua kwamba hatukufika Kibo na Mawenz ila tumepretend kwamba tumefika?
mi kugundua kama umefika kileleni lazima uvaibrate baada ya hapo haitaji kuguswa sehemu yoyote kwa muda kama dakika 5 hiviHabari za masiku?
Sorry,naomba mnijibu hili swali wanaume wa humu ndani huenda likanisaidia katika safari yangu hii na mwenzangu.
Ni hivi,kuna muda fulani huenda kutokana na majukumu mengi na kujawa na stress kibao kuna muda mtu unakosa hata hamu ya kujunjana,lakini inatokea mwenzangu anataka,sawa ili nisipelekwe kwa baroz nyumba kumi kuwa namnyima unyumba mwenzangu naamua kukubali kusex.Sasa shida inakuja kwenye kufika kileleni inabidi nipretend nimefika kwa namna yoyote ili nawe umalize tu uinuke niwe huru from mbanano.
Swali langu ni hili,hivi huwa mnagundua kwamba hatukufika Kibo na Mawenz ila tumepretend kwamba tumefika?
Mekuelewa mkuuWanawake kuna wakati migogoro zingine mnaanzisha ninyi kwa kukusudia ama pasipo kukusudia.
Anyway, hakuna dawa na suluhisho kubwa kwenye mahusiano/ndoa zaidi ya ninyi wawili kuzungumza. Na ili mazungumzo yenu yazae matunda chanya, basi yapaswa mmoja kati yenu ajishushe ili muweze kupata suluhisho.
U need to hear this in details kule kwenye convEeeeeh[emoji15]
Habari za masiku?
Sorry,naomba mnijibu hili swali wanaume wa humu ndani huenda likanisaidia katika safari yangu hii na mwenzangu.
Ni hivi,kuna muda fulani huenda kutokana na majukumu mengi na kujawa na stress kibao kuna muda mtu unakosa hata hamu ya kujunjana,lakini inatokea mwenzangu anataka,sawa ili nisipelekwe kwa baroz nyumba kumi kuwa namnyima unyumba mwenzangu naamua kukubali kusex.Sasa shida inakuja kwenye kufika kileleni inabidi nipretend nimefika kwa namna yoyote ili nawe umalize tu uinuke niwe huru from mbanano.
Swali langu ni hili,hivi huwa mnagundua kwamba hatukufika Kibo na Mawenz ila tumepretend kwamba tumefika?
U need to hear this in details kule kwenye conv
Tatizo unakimbiaga ukizidiwa maswali....njoo nakusubiriHahahahahahahah hebu ukuje unipe hizo details
Tatizo unakimbiaga ukizidiwa maswali....njoo nakusubiri
Ni kweli,I feel sorry!Of course uki-fake mwenzio (mliezoeana nae) atajua tu. If it was me ndio mumeo I would have loved to be told kuwa haupo in the right mood. Kufanya uyafanyayo kungenisababisha nijisikie vibaya.
Haya ni mawazo yangu MIMI based my own feelings. Sio lazima ya-apply kwa huyo ulienae.