Samata mishahara ya milioni 400 kwa mwezi iko wapi? Hatuoni maendeleo

Samata mishahara ya milioni 400 kwa mwezi iko wapi? Hatuoni maendeleo

Una uhakika hiyo milion mia nne au unaleta story za vijiweni
We jamaa bana, unadhani anacheza Simba au Yanga sehemu ambayo ata akiwa anacheza Kaka yako huwezi kujua mshahara wake

Me nimesema kama unataka kujua alikuwa analipwa vipi angalia payroll ya timu alizokuwa anacheza, ikiwemo Aston villa

Cha ajabu wewe ndio unakuja na habari za vijiweni, kazi kwako sasa kuleta source ingine kuthibitisha kuwa halipwi hizo pesa, mbona easy Tu
 
Uzushi haijawahi kupata iyo pesa
We jamaa bana, unadhani anacheza Simba au Yanga sehemu ambayo ata akiwa anacheza Kaka yako huwezi kujua mshahara wake

Me nimesema kama unataka kujua alikuwa analipwa vipi angalia payroll ya timu alizokuwa anacheza, ikiwemo Aston villa

Cha ajabu wewe ndio unakuja na habari za vijiweni, kazi kwako sasa kuleta source ingine kuthibitisha kuwa halipwi hizo pesa, mbona easy Tu
 
View attachment 2674110

Najiuliza hili swali nashindwa kupata jibu, kati ya wachezaji waliopata mafanikio makubwa na muda wote toka Tanzania iumbwe na Toka kabla makubaliano ya bandari hayajafanyika ni Mbwana Samata, amecheza vilabu vinginna vikubwa , lakini Nina swali dogo.

Mbwana alivofika ulaya alikuwa akipokea mshahara mkubwa na marupu rupu nje ya mshahara, kwa mshahara wake tu alikuwa akilipwa kwa mwezi takribani milioni 450 za Kitanzania, ukitoka Kodi na matakataka mengine anabaki na kama milioni 350 hapo nje ya marupu rupu.

Tunaomjua karibu Samata tunashindwa kuelewa kuwa zaidi ya nyumba ya Kigamboni hatujaona amefanya chochote cha maana na chakueleweka na ndio anafikia mwisho wake. Tofauti na wenzie kina Adebayor, Mane, ambao wameweka alama lakini wamefanya uwekezaji mkubwa sana.

Kama Samata ameshindwa kumanage funds alizopata na anazopata, basi Watanzania inabidi tujiangalie na tujiterekebishe. Katika hili hatuwezi kumlaumu Wema Sepetu, wala Irene Uwoya kwakuwa Samata alikuwa si mtu wa hizo mambo.

Natoa hoja.
Nyumba moja inatosha kabisa, mwache ale bata
 
Uko sahih mleta Uzi ila naona unapata upinzani mkubwa kwake kwa kuwa Ni ukweli

Jamaa ajafanya lolote hat kujenga shule au hospitality Yale Kisha kukabidhi serkali [emoji23] hajafanya hvyo Ni wasi jamaa alikuwa akilpwa milion 19 tu nakuka kutudanganya kuwa analipwa milion 340
Wapi Samatta aliwahi sema mshahara wake hadharani kama sio nyinyi wenyewe mnaojiuliza na kujijibu wenyewe
 
View attachment 2674110

Najiuliza hili swali nashindwa kupata jibu, kati ya wachezaji waliopata mafanikio makubwa na muda wote toka Tanzania iumbwe na Toka kabla makubaliano ya bandari hayajafanyika ni Mbwana Samata, amecheza vilabu vinginna vikubwa , lakini Nina swali dogo.

Mbwana alivofika ulaya alikuwa akipokea mshahara mkubwa na marupu rupu nje ya mshahara, kwa mshahara wake tu alikuwa akilipwa kwa mwezi takribani milioni 450 za Kitanzania, ukitoka Kodi na matakataka mengine anabaki na kama milioni 350 hapo nje ya marupu rupu.

Tunaomjua karibu Samata tunashindwa kuelewa kuwa zaidi ya nyumba ya Kigamboni hatujaona amefanya chochote cha maana na chakueleweka na ndio anafikia mwisho wake. Tofauti na wenzie kina Adebayor, Mane, ambao wameweka alama lakini wamefanya uwekezaji mkubwa sana.

Kama Samata ameshindwa kumanage funds alizopata na anazopata, basi Watanzania inabidi tujiangalie na tujiterekebishe. Katika hili hatuwezi kumlaumu Wema Sepetu, wala Irene Uwoya kwakuwa Samata alikuwa si mtu wa hizo mambo.

Natoa hoja.
Huo mshahara wa Samata ni mdogo sana!! Angekuwa anaupata akiwa hapa bongo sawa!! Hebu uliza kodi yake ya nyumba ni sh ngapi!! Uliza gari analotembelea sh ngapi! Usimlinganishe na kina Adebayo waliokuwa wanalipwa mabilioni kwa hela za bongo!!
 
IMG_20230702_204427_287.JPG
 
View attachment 2674110

Najiuliza hili swali nashindwa kupata jibu, kati ya wachezaji waliopata mafanikio makubwa na muda wote toka Tanzania iumbwe na Toka kabla makubaliano ya bandari hayajafanyika ni Mbwana Samata, amecheza vilabu vinginna vikubwa , lakini Nina swali dogo.

Mbwana alivofika ulaya alikuwa akipokea mshahara mkubwa na marupu rupu nje ya mshahara, kwa mshahara wake tu alikuwa akilipwa kwa mwezi takribani milioni 450 za Kitanzania, ukitoka Kodi na matakataka mengine anabaki na kama milioni 350 hapo nje ya marupu rupu.

Tunaomjua karibu Samata tunashindwa kuelewa kuwa zaidi ya nyumba ya Kigamboni hatujaona amefanya chochote cha maana na chakueleweka na ndio anafikia mwisho wake. Tofauti na wenzie kina Adebayor, Mane, ambao wameweka alama lakini wamefanya uwekezaji mkubwa sana.

Kama Samata ameshindwa kumanage funds alizopata na anazopata, basi Watanzania inabidi tujiangalie na tujiterekebishe. Katika hili hatuwezi kumlaumu Wema Sepetu, wala Irene Uwoya kwakuwa Samata alikuwa si mtu wa hizo mambo.

Natoa hoja.
Kuwekeza sio lazima nyumbani, au wewe ni Kidata umeangalia tax return umemuona ni non filer au ame file bila ya ku declare income from foreign source?
 
View attachment 2674110

Najiuliza hili swali nashindwa kupata jibu, kati ya wachezaji waliopata mafanikio makubwa na muda wote toka Tanzania iumbwe na Toka kabla makubaliano ya bandari hayajafanyika ni Mbwana Samata, amecheza vilabu vinginna vikubwa , lakini Nina swali dogo.

Mbwana alivofika ulaya alikuwa akipokea mshahara mkubwa na marupu rupu nje ya mshahara, kwa mshahara wake tu alikuwa akilipwa kwa mwezi takribani milioni 450 za Kitanzania, ukitoka Kodi na matakataka mengine anabaki na kama milioni 350 hapo nje ya marupu rupu.

Tunaomjua karibu Samata tunashindwa kuelewa kuwa zaidi ya nyumba ya Kigamboni hatujaona amefanya chochote cha maana na chakueleweka na ndio anafikia mwisho wake. Tofauti na wenzie kina Adebayor, Mane, ambao wameweka alama lakini wamefanya uwekezaji mkubwa sana.

Kama Samata ameshindwa kumanage funds alizopata na anazopata, basi Watanzania inabidi tujiangalie na tujiterekebishe. Katika hili hatuwezi kumlaumu Wema Sepetu, wala Irene Uwoya kwakuwa Samata alikuwa si mtu wa hizo mambo.

Natoa hoja.
Unataka kumpangia mtu Hela yake,wewe nani? SI Kila mtu ni matangazo!
 
Utakuta jitu kama hili halina hata kigoda kwake kazi kufuatilia mambo yasiyomuhusu badala hata ujifunze kukaanga tu karanga kidogo ukauze upate kipato unakaa miaka yote hiyo na mawazo ya kingese ambayo hayana faida jitambue ndugu MAENDELEO NI KAMA CHUPI SIO LAZIMA KILA MTU AYAONE
 
Kwani wewe ni financial advisor wake? Mind your business dude.......
afadhali umemwambia ukweli. Hivi ni lazima huyo Samata atoe mpango wake wa maendeleo kwa jamii?

Wawache umbea waendelee na maisha yao na yeye na yake.
 
Back
Top Bottom