Mkuu usikurupuke sijasema hana uwezo wa kucheza EPL ila hana uzoefu mkubwa wa kumfanya akang'ae ile ligi ataenda timu za daraja la kati na pengine atakayoenda ikashuka daraja unategemea nini?Kwa hiyo unataka kutuambia wewe una akili kupita hao maskauti wa timu za Epl walimuona atafiti kwenye ligi?!
Wasenegal hawakurupukiagi EPL mzee wanaanza ligi kama League 1 ligi ya Urusi, ligi ya italia, uturuki n.kSamatta angekuwa Msenegali ungeandika haya?!
Ndio EPL, BRAZIL 1st league, uturuki na MLS.Kuna ligi za nguvu duniani kupita za Afrika?
Hayo ni mambo personal.Ana Mashabiki Wengi Nchini, Ila Kwa Kujenga Msikiti Ndani Ya Jumba Lake Ni Udini Mtupu, Bora Ajenge Jumba Jingine Na Ndani Yake Aweke Kanisa Itapendeza Sana Kwa Mashabiki Wake Wasio Waislam
ntakuwa nimemix mkuu.. ntapitia tenaLukaku na Koulibaly hawajawahi kucheza Genk.
Lukaku kacheza Antwerp na Anderlecht.
Koulibaly ana St louis na zingine
Akipotea ndio tutajua kapotea sio kumpoteza kabla mkuu..Simlogi ila akienda EPL sasa ndio kapotea hivyo
Mkuu akirudi unitagHayo ni mambo personal.
Mbona wewe ni yanga damu ila demu wako akivaa chuppi nyekundu humwambii aivue
Mkuu pale Everton kuna jamaa raia wa Brazil anaitwa Richarlison... walimtoa Watford na msimu huu amefunga goli 17 mashindano yote...
Huyu jamaa Man u, Psg naBarca wanamtaka ..kama ataondoka linaweza kuwa gape kwa Samatta.
Bado Mbwana popote atakapoenda apige kazi kweli kupata namba.
Kuongezwa timu nane mdebwedo ndio tukabebwaHizo bahati na hamasa tangu 1979 zilikuwa wapi?
Kongole Dr Magufuli
Shukrani pekee zimweendee Rais kwa kufanya uoe na mama watoto ajifungue salama mtoto wa kiume.Shukran za Pekee ziende kwa Rais wa Jamhuri na Waziri wa Michezo kwa sera madhubuti na rafiki zinazowezesha mambo kama yenye kuwezekana wakati wa uongozi wao ikiwa ni pamoja na Timu yetu ya Taifa kufikia fainal za Mataifa huru ya AFRICA baada ya Miaka 40 (1979-2019)
Mmekomaa Kumtetea Kujenga Msikiti Kwenye Mjengo, Ilikuwa Na Maana Gani Kutangaziwa Kajenga Masjid? Zile Jezi Nzuri Kubuniwa Vile Povu Liliwatoka Na Kutaka Wachezaji Wa Imani Yake Wasivae. Msitutangazie Wanayofanya Kutukuza Imani Zao Ni Faragha Zao Wengine HazituhusuSamatta ni rais wa nchi gani mpaka unataka afanye haya kwa kodi yako?.. Umekomaa nakuona tu .
Hivi wewe huna ela ukajenge haya unayotaka? Au kwenu nani kajenga hata darasa moja la baby class??
Ela yake unaipangia matumizi.. Eti nchi haina dini?.. Kwa hiyo hutaki awe na imani yake?.. Anamuabudu MUNGU au anakuabudu wewe na wenzio waliokutuma?
Jenga wewe taifa likusifu.. Ye kajenga
Sasa Iweje tutangaziwe kajenga msikiti kwenye mjengo wake? msikiti una faida gani kwa mashabiki wake wasio wa imani yake? ingebaki ni faragha yake. Shabiki wa ukweli wa yanga havai brand za simbaHayo ni mambo personal.
Mbona wewe ni yanga damu ila demu wako akivaa chuppi nyekundu humwambii aivue
Tena majungu yake makubwa kweli, samatta yupo kwenye ubora wake wacha akasake maisha sehemu zinginewanyakyusa mmekalia majungu
We jamaa 'kipele' sio bure...Mmekomaa Kumtetea Kujenga Msikiti Kwenye Mjengo, Ilikuwa Na Maana Gani Kutangaziwa Kajenga Masjid? Zile Jezi Nzuri Kubuniwa Vile Povu Liliwatoka Na Kutaka Wachezaji Wa Imani Yake Wasivae. Msitutangazie Wanayofanya Kutukuza Imani Zao Ni Faragha Zao Wengine Hazituhusu
Wewe ndio unaonesha udini hapaAna Mashabiki Wengi Nchini, Ila Kwa Kujenga Msikiti Ndani Ya Jumba Lake Ni Udini Mtupu, Bora Ajenge Jumba Jingine Na Ndani Yake Aweke Kanisa Itapendeza Sana Kwa Mashabiki Wake Wasio Waislam
Mbona mkinunua ndege mtangaza wakati ndege mnaoanda wenyewe.Sasa Iweje tutangaziwe kajenga msikiti kwenye mjengo wake? msikiti una faida gani kwa mashabiki wake wasio wa imani yake? ingebaki ni faragha yake. Shabiki wa ukweli wa yanga havai brand za simba
kwani, kama atakuwa analipwa mshahara mkubwa wa mamilioni ya euro, hata akikaa bench kuna shida gani, kuliko kukaa ubelgiji awe anapokea vielfuelfu? mbona hamjui ujasiriamali ninyi? mwaka mmoja unapata hela ambayo ungepata Gent miaka 10.Mkuu kubaliana nami Samatta akienda EPL atacheza mechi 5 alafu atakaa nje msimu mzima eidha kwa majeraha au kwa kupata mbadala (akienda msimu ujao)
Genk haina wachezaji wazuri wanaotesa ligi zingine wanaozidi wanne wana Thiba cotwaa (jina lake la mwisho kama nimekosea kuliandika niwie radhi) na mmoja EPL nimemsahau jina.
Samatta EPL hapawezi mnampa kichwa kikubwa atapasuka angalau aende Scotland akapate ujuzi wenzake wengi wa Africa huanzia huko au hata ufaransa ENGLAND watamsajili EFL washenzi wale alafu timu ishuke daraja na huko EFL unategemea atakuwa wapi? Genk ni better
Hii ipo nje ya mada,Ana Mashabiki Wengi Nchini, Ila Kwa Kujenga Msikiti Ndani Ya Jumba Lake Ni Udini Mtupu, Bora Ajenge Jumba Jingine Na Ndani Yake Aweke Kanisa Itapendeza Sana Kwa Mashabiki Wake Wasio Waislam
Kipele ? PambafWe jamaa 'kipele' sio bure...
Una akili sana za kujibu, wengine wanatoa povu tuHii ipo nje ya mada,