Samatta kuonekana UEFA au Ligi Kuu ya England. BIG up jembe la Tanzania

Samatta kuonekana UEFA au Ligi Kuu ya England. BIG up jembe la Tanzania

Kwa hiyo unataka kutuambia wewe una akili kupita hao maskauti wa timu za Epl walimuona atafiti kwenye ligi?!
Mkuu usikurupuke sijasema hana uwezo wa kucheza EPL ila hana uzoefu mkubwa wa kumfanya akang'ae ile ligi ataenda timu za daraja la kati na pengine atakayoenda ikashuka daraja unategemea nini?

Anatakiwa abaki Genk angalau kwa msimu mmoja aonyeshe maajabu tena
 
Samatta angekuwa Msenegali ungeandika haya?!
Wasenegal hawakurupukiagi EPL mzee wanaanza ligi kama League 1 ligi ya Urusi, ligi ya italia, uturuki n.k

Na EPL wapo wachache ila ni wanakipiga hasa. Samatta timu aliyocheza ulaya ni moja tu tunamkuza sana Victor wanyama ka_hustle kacheza klabu zaidi ya tatu mpaka kufika Tottenham
 
Ana Mashabiki Wengi Nchini, Ila Kwa Kujenga Msikiti Ndani Ya Jumba Lake Ni Udini Mtupu, Bora Ajenge Jumba Jingine Na Ndani Yake Aweke Kanisa Itapendeza Sana Kwa Mashabiki Wake Wasio Waislam
Hayo ni mambo personal.

Mbona wewe ni yanga damu ila demu wako akivaa chuppi nyekundu humwambii aivue
 
Richarlison naona ni left winger. Sio striker. Huwa wanamfosi kuwa sriker kwa sababu hawana striker mzuri nafikiri.
Mkuu pale Everton kuna jamaa raia wa Brazil anaitwa Richarlison... walimtoa Watford na msimu huu amefunga goli 17 mashindano yote...
Huyu jamaa Man u, Psg naBarca wanamtaka ..kama ataondoka linaweza kuwa gape kwa Samatta.
Bado Mbwana popote atakapoenda apige kazi kweli kupata namba.
 
Shukran za Pekee ziende kwa Rais wa Jamhuri na Waziri wa Michezo kwa sera madhubuti na rafiki zinazowezesha mambo kama yenye kuwezekana wakati wa uongozi wao ikiwa ni pamoja na Timu yetu ya Taifa kufikia fainal za Mataifa huru ya AFRICA baada ya Miaka 40 (1979-2019)
Shukrani pekee zimweendee Rais kwa kufanya uoe na mama watoto ajifungue salama mtoto wa kiume.
 
Samatta ni rais wa nchi gani mpaka unataka afanye haya kwa kodi yako?.. Umekomaa nakuona tu .
Hivi wewe huna ela ukajenge haya unayotaka? Au kwenu nani kajenga hata darasa moja la baby class??
Ela yake unaipangia matumizi.. Eti nchi haina dini?.. Kwa hiyo hutaki awe na imani yake?.. Anamuabudu MUNGU au anakuabudu wewe na wenzio waliokutuma?
Jenga wewe taifa likusifu.. Ye kajenga
Mmekomaa Kumtetea Kujenga Msikiti Kwenye Mjengo, Ilikuwa Na Maana Gani Kutangaziwa Kajenga Masjid? Zile Jezi Nzuri Kubuniwa Vile Povu Liliwatoka Na Kutaka Wachezaji Wa Imani Yake Wasivae. Msitutangazie Wanayofanya Kutukuza Imani Zao Ni Faragha Zao Wengine Hazituhusu
 
Hayo ni mambo personal.
Mbona wewe ni yanga damu ila demu wako akivaa chuppi nyekundu humwambii aivue
Sasa Iweje tutangaziwe kajenga msikiti kwenye mjengo wake? msikiti una faida gani kwa mashabiki wake wasio wa imani yake? ingebaki ni faragha yake. Shabiki wa ukweli wa yanga havai brand za simba
 
Mmekomaa Kumtetea Kujenga Msikiti Kwenye Mjengo, Ilikuwa Na Maana Gani Kutangaziwa Kajenga Masjid? Zile Jezi Nzuri Kubuniwa Vile Povu Liliwatoka Na Kutaka Wachezaji Wa Imani Yake Wasivae. Msitutangazie Wanayofanya Kutukuza Imani Zao Ni Faragha Zao Wengine Hazituhusu
We jamaa 'kipele' sio bure...
 
Ana Mashabiki Wengi Nchini, Ila Kwa Kujenga Msikiti Ndani Ya Jumba Lake Ni Udini Mtupu, Bora Ajenge Jumba Jingine Na Ndani Yake Aweke Kanisa Itapendeza Sana Kwa Mashabiki Wake Wasio Waislam
Wewe ndio unaonesha udini hapa

Ricardo kaka alionesha waziwazi jinsi anavyomkubali yesu na mashabiki wake waislamu wala hawaloloma
Mo salah liverpool huko watu wanamuimba wanamsifia kwa tabia yake ya kushinda msikitini na kama akiendele kufunga magoli machache na watabadili dini...

Hakuna shabiki wa samata ambae atamaindi kisa kaamua kujenga msikiti kitu ambacho ndio imani yake, we ulitaka afanyaje sasa

Soka soka, dini dini.
 
Sasa Iweje tutangaziwe kajenga msikiti kwenye mjengo wake? msikiti una faida gani kwa mashabiki wake wasio wa imani yake? ingebaki ni faragha yake. Shabiki wa ukweli wa yanga havai brand za simba
Mbona mkinunua ndege mtangaza wakati ndege mnaoanda wenyewe.

Si mnyamaze? Au ccm wangapi mnapanda zile ndege?

After all lile tangazo wametangaziwa waislamu kama myerusalemu ulikiona basi ungelipita tu
 
Mkuu kubaliana nami Samatta akienda EPL atacheza mechi 5 alafu atakaa nje msimu mzima eidha kwa majeraha au kwa kupata mbadala (akienda msimu ujao)

Genk haina wachezaji wazuri wanaotesa ligi zingine wanaozidi wanne wana Thiba cotwaa (jina lake la mwisho kama nimekosea kuliandika niwie radhi) na mmoja EPL nimemsahau jina.

Samatta EPL hapawezi mnampa kichwa kikubwa atapasuka angalau aende Scotland akapate ujuzi wenzake wengi wa Africa huanzia huko au hata ufaransa ENGLAND watamsajili EFL washenzi wale alafu timu ishuke daraja na huko EFL unategemea atakuwa wapi? Genk ni better
kwani, kama atakuwa analipwa mshahara mkubwa wa mamilioni ya euro, hata akikaa bench kuna shida gani, kuliko kukaa ubelgiji awe anapokea vielfuelfu? mbona hamjui ujasiriamali ninyi? mwaka mmoja unapata hela ambayo ungepata Gent miaka 10.
 
Ana Mashabiki Wengi Nchini, Ila Kwa Kujenga Msikiti Ndani Ya Jumba Lake Ni Udini Mtupu, Bora Ajenge Jumba Jingine Na Ndani Yake Aweke Kanisa Itapendeza Sana Kwa Mashabiki Wake Wasio Waislam
Hii ipo nje ya mada,
 
Back
Top Bottom