Same: Ajali yaua watu saba wa familia moja

Hakuna check points huko, watu 7 ni wengi kwa Corolla
nafikiri hiyo sio hoja ya kujadili hapa; KWANI hizo corolla zipo aina nyingi
Corola Spacio (new model) inabeba watu 7 (wakiwemo watoto wawili ) tena wote wamekaa Vizuri
TOYOTA WISH ina row mbili nyuma za kubeba watu watatu x 2; bado kule mbele kwa dereva.

Ni msiba mkubwa sana jamani; Mungu awape nguvu na uvumilivu!
 

Nafahamu kuwa model zote hizo umetaja ni familia moja ya Corolla...

Lakini unashindwa kuelewa kwamba kwa ilivyozoeleka ukitaja Corolla, je ni gari ipi inayokuwa inatambulishwa?

Je na hizo gari umetaja, huwa watu wanazitambua kwa majina ya Spacio na Wish au Corolla?

Amesema gari lililoua Familia ya Watu 7 lenye usajili namba T.618 AWP aina ya Toyota Corola
 
Poleni Sana ndugu jamaa na marafiki. Raha ya milele uwape e Bwana na mwanga wa milele uwaangazie wapumzike kwa amani.
 
Hapo kwenye kuendesha kulia nadhani alikuwa anaovateki ndiyo hamadi uso kwa uso na VW..
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Eheeeee Mungu wangu.
 
Au Dereva alikuwa anasinzia jamani?!!!
 
Anazingua mtuu mkuu, hivi Toyota Wish huku kitaa tunaiita Toyota Corolla?? [emoji12]
 
Wapumzike kwa amani

Najiuliza Corolla kubeba watu 7.... kwamba wawili mbele watano nyuma???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…