emmanuel mruma
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,778
- 1,718
Atatoka kwa utaratibu kama atashindwa ila sio kwa kuchezewa rafuIna maana kazi Sasa Ni kuwapa vyeo tu watoto wote wa waliokuwa Viongozi kwa heshima za wazazi wao? Ndio kazi tunayotakiwa kufanya Kama chama na Nchi?