Uchaguzi 2020 Same Magharibi: Money vs Power, Je Kairuki ataweza kumuondoa “Dkt” David Mathayo

Uchaguzi 2020 Same Magharibi: Money vs Power, Je Kairuki ataweza kumuondoa “Dkt” David Mathayo

Nafikiri ipo haja ya jamii kubadirika,Lakini wakiendelea kuishi kwa kununulika mithili ya Vitungu ama vitumbua sokoni,Hakika jamii itaangamia tu
 
Nafikiri ipo haja ya jamii kubadirika,Lakini wakiendelea kuishi kwa kununulika mithili ya Vitungu ama vitumbua sokoni,Hakika jamii itaangamia tu
Umaskini, Elimu na utamaduni (nchi nyingine mtu ambaye ni cheap kuniniliwa anaisababishia familia yake aibu sana ) hivi ndio vinafanya iwe rahisi watu kufika bei
 
Kati ya watu wanaojua kumwaga pesa linapokuja suala la uchaguzi ni huyu David Matayo,ccm wanakazi ya kufanya kumdhibiti.
 
Umaskini, Elimu na utamaduni (nchi nyingine mtu ambaye ni cheap kuniniliwa anaisababishia familia yake aibu sana ) hivi ndio vinafanya iwe rahisi watu kufika bei




Hakika ila no way out

NAKUMBUKA hii kauli "Remember you're have a community to impress and family to feed"
 
Umofia Kwenu,

Bila kupoteza muda naomba niseme wazi kwamba kumekua na mtifuano wa chini kwa chini wa nani achukue jimbo la Same magharibi ndani ya CCM potential candidate akiwa Mama Angellah KAIRUKI na “Dr”. David Mathayo (phd yake haieleweki ndio mana ipo kwenye mabano )

Ndugu Mathayo kwa muda mrefu amekua mbunge wa Same magharibi takribani miaka 15 lakini ukiangalia la maana hasa alilofanya hakuna huyu bwana kama walivyo viongozi wengi ni mtu wa timing anasubiri miezi michache kabla ya uchaguzi.

Utamkuta analeta bulldozers ( zake) anachonga barabara halafu ndio kwisha habari. Tatizo linakuja huyu mbunge ana hela na anajua jinsi ya kuzitumia na kiukweli anapendwa na wazee wenye ushawishi hasa maeneo ya vijijini . Tukija kwa Kairuki wengi hawamfahamu hasa maeneo ambayo Mathayo anapendwa kwa hiyo kupita kwenye kura za maoni ni ngumu sana kama atakutana na “Dr”. David Mathayo Msuya.

Hapa ndipo inapokuja ile dhana ya MONEY VS POWER ... mamlaka za juu CCM wanatakiwa wamkate huyu bwana kabla hajafika kwenye kura za maoni mana akifika hapo Kairuki lazima ashindwe mana huyu bwana Same anaijua nje ndani

N.B Simpigii huyu mama kampeni mana hata mwenyewe kujifanyia kampeni hawezi ninachofanya ni kutaka huyu bwana aondoke mana kumtoa kihalali imekua ngumu ( michezo michafu yote anaijua) na upinzani hakuna matumaini.
Bado hamjaanza nyungu season 2
 
Kairuki miaka yote minne anahamishwa wizara tu.... hakuna kitu pale hata wizara aliyonayo sasa kapewa tu na sijui kama hiyo wizara inasaidia nini kusukuma maendeleo kwa Taifa.
Yaani ufahamu umuhimu wa wizara ya uwekezaji kwenye kusukuma maendeleo kwa taifa?
 
Duh, hapa umemaliza maana hata mimi sikuwa nafahamu...na hapo mleta uzi anavyosema anapendwa, ana ushawishi, ana pesa nilibaki njia panda.

Kairuki atafute tu "malisho" mengine.
Angela Kairuki, nadhani Jimbo la Ikulu linamtosha....atateuliwa tena !
 
Kumekuwa na dhana kuwa wabunge wa upinzania wanachelewesha maendeleo. Jilbo hilo halijawahinkushikwa na upinzani lakini Mathayo anasemwa hana la maana amefanya.

Tuache unafiki!! Ukweli ni kuwa maendeleo hajaja kwa sababu ni jimbo salama kwa CCM. Angalia majimbo yasiyo salama yanavofanyiwa maendeleo!! Niko Arusha na ninajua Singida, Shinyanga na Tabora zikoje!!

Ilani ya CCM ndio kikwazo. Sio mbunge wa chama hiki ama vile!!
 
Wote wana nafasi ila itategemea CCM wanaamuaje hii.
Labda nikuambie kinachoweza kufanya Kairuki asiwe mbunge kamani kweli atagombea ni kwa sbb huyo mama hagawi pesa mtaani na hilo linaweza kumgharimu kwa kuwa mwenzake anagawa na wajumbe wanataka pesa au tuite Rushwa.
Huyo mama hana timu ya kumsaidia wenzake wamepanga timu na zina fedha nyingi.
Huyo mama atabebwa na jamii kwa kusaidia miradi ya afya, mafuriko,michezo nk.
Mathayo David anaweza kuangushwa na haya;
1.Kiburi au jeuri ya pesa,toka amekuwa mbunge wetu amekuwa na dharau na kusema pesa zake zinaweza kuchemsha makande.
Makande ni chakula cha asili upareni chenye mchanganyiko wa mahindi yaliyopukuchuliwa na Maharage au njugumawe, ili kiive kinahitaji nishati kubwa kama magogo, kuni au mkaa.
Hili litamwangusha asubuhi kwani wasee wa kipare hawapendi mazereu avae.
2.Matusi ya rejareja.
Ni kama ameshajua ataangukia pua, akiwa kwenye mikutano ya dharura aliyokuja kuifanya baada ya miaka minne iliyopita amekuwa akiwatukana waziwazi wanatajwakuwa wapinzani wake wenye nia jimboni, hii inasababisha wengi kumchukia mwenyewe na hivyo wananchi wanaona huyu anayetukanwa atatufaa kwani mti wenye matunda ndiyo upigwao mawe.
Mf akiwa Kata ya Makanya kwenye uchaguzi mdogo alisema kwawa kuna watu wanabonyeza ndizi shambani kwake kuona kama zimeiva.
Kauli hizo ziliwaudhi wana wa kaya na wanamsubiria kwenye penalt kwa kuwaita ndizi.
3.Jamaa hajawahi hata siku moja kuhudhuria vikao vya baraza Halmashauri licha ya kuwa mjumbe halali wa vikao hivyo na hatoi taarifa kwa kutokuhuria.
Kuna muda alikuwa anatafutwa hadi bungeni na uzi wake pia upo humu jukwaani.
4.Hajawahi kuhudhuria vikao vya District Consultative Council DCC vinavyofanyika mara mbili kila mwaka, zidisha mara miaka mitano.
5.Hajawahi kuhudhuria hata kikao kimoja kati ya vikao 10 vya Kamati ya ushauri ya mkoa RCC, mh mama Mgwira amemtafuta hadi amechoka kwa sbb wilaya ya Same ni kubwa na alitakiwa wasaidiane na DC na DED kuhudumia wananchi, jamaa haendi hata vikao vya bodi ya barabara na ukizingatia Same miundombinu ni mibovu sana.
6.Toka tumemchagua 2015 amefanya ziara moja tu kwa miaka mitano baada ya katibu mkuu wa CCM Bashiru Ali kupiga mkwara kwa wabunge wanaosinzia na kutokuonekana bungeni na jimboni.
7.Licha ya kuwa na ofisi ya Mbunge hapa jimboni Same jamaa hajawahi kuingia ktk ofisi hiyo wala kusikiliza kero za wananchi kokote, ofisi ipo haina hata mhudumu licha ya bunge kutenga fesha za vifaa na uendeshaji wa ofisi hiyo.
Kiufupi tunasubiri ccm iteue mgombea aliye potential.
Kwa sasa tusubiri kipenga cha CCM tumalize mchezo.
 
Wote wana nafasi ila itategemea CCM wanaamuaje hii.
Labda nikuambie kinachoweza kufanya Kairuki asiwe mbunge kamani kweli atagombea ni kwa sbb huyo mama hagawi pesa mtaani na hilo linaweza kumgharimu kwa kuwa mwenzake anagawa na wajumbe wanataka pesa au tuite Rushwa.
Huyo mama hana timu ya kumsaidia wenzake wamepanga timu na zina fedha nyingi.
Huyo mama atabebwa na jamii kwa kusaidia miradi ya afya, mafuriko,michezo nk.
Mathayo David anaweza kuangushwa na haya;
1.Kiburi au jeuri ya pesa,toka amekuwa mbunge wetu amekuwa na dharau na kusema pesa zake zinaweza kuchemsha makande.
Makande ni chakula cha asili upareni chenye mchanganyiko wa mahindi yaliyopukuchuliwa na Maharage au njugumawe, ili kiive kinahitaji nishati kubwa kama magogo, kuni au mkaa.
Hili litamwangusha asubuhi kwani wasee wa kipare hawapendi mazereu avae.
2.Matusi ya rejareja.
Ni kama ameshajua ataangukia pua, akiwa kwenye mikutano ya dharura aliyokuja kuifanya baada ya miaka minne iliyopita amekuwa akiwatukana waziwazi wanatajwakuwa wapinzani wake wenye nia jimboni, hii inasababisha wengi kumchukia mwenyewe na hivyo wananchi wanaona huyu anayetukanwa atatufaa kwani mti wenye matunda ndiyo upigwao mawe.
Mf akiwa Kata ya Makanya kwenye uchaguzi mdogo alisema kwawa kuna watu wanabonyeza ndizi shambani kwake kuona kama zimeiva.
Kauli hizo ziliwaudhi wana wa kaya na wanamsubiria kwenye penalt kwa kuwaita ndizi.
3.Jamaa hajawahi hata siku moja kuhudhuria vikao vya baraza Halmashauri licha ya kuwa mjumbe halali wa vikao hivyo na hatoi taarifa kwa kutokuhuria.
Kuna muda alikuwa anatafutwa hadi bungeni na uzi wake pia upo humu jukwaani.
4.Hajawahi kuhudhuria vikao vya District Consultative Council DCC vinavyofanyika mara mbili kila mwaka, zidisha mara miaka mitano.
5.Hajawahi kuhudhuria hata kikao kimoja kati ya vikao 10 vya Kamati ya ushauri ya mkoa RCC, mh mama Mgwira amemtafuta hadi amechoka kwa sbb wilaya ya Same ni kubwa na alitakiwa wasaidiane na DC na DED kuhudumia wananchi, jamaa haendi hata vikao vya bodi ya barabara na ukizingatia Same miundombinu ni mibovu sana.
6.Toka tumemchagua 2015 amefanya ziara moja tu kwa miaka mitano baada ya katibu mkuu wa CCM Bashiru Ali kupiga mkwara kwa wabunge wanaosinzia na kutokuonekana bungeni na jimboni.
7.Licha ya kuwa na ofisi ya Mbunge hapa jimboni Same jamaa hajawahi kuingia ktk ofisi hiyo wala kusikiliza kero za wananchi kokote, ofisi ipo haina hata mhudumu licha ya bunge kutenga fesha za vifaa na uendeshaji wa ofisi hiyo.
Kiufupi tunasubiri ccm iteue mgombea aliye potential.
Kwa sasa tusubiri kipenga cha CCM tumalize mchezo.
Hiyo kauli ya kupika aliitoa kwa kipare maumivu yakawa makubwa kwa wasikilizaji kuliko angeitoa kwa kiswahili
 
Umofia Kwenu,

Bila kupoteza muda naomba niseme wazi kwamba kumekua na mtifuano wa chini kwa chini wa nani achukue jimbo la Same magharibi ndani ya CCM potential candidate akiwa Mama Angellah KAIRUKI na “Dr”. David Mathayo (phd yake haieleweki ndio mana ipo kwenye mabano )

Ndugu Mathayo kwa muda mrefu amekua mbunge wa Same magharibi takribani miaka 15 lakini ukiangalia la maana hasa alilofanya hakuna huyu bwana kama walivyo viongozi wengi ni mtu wa timing anasubiri miezi michache kabla ya uchaguzi.

Utamkuta analeta bulldozers ( zake) anachonga barabara halafu ndio kwisha habari. Tatizo linakuja huyu mbunge ana hela na anajua jinsi ya kuzitumia na kiukweli anapendwa na wazee wenye ushawishi hasa maeneo ya vijijini . Tukija kwa Kairuki wengi hawamfahamu hasa maeneo ambayo Mathayo anapendwa kwa hiyo kupita kwenye kura za maoni ni ngumu sana kama atakutana na “Dr”. David Mathayo Msuya.

Hapa ndipo inapokuja ile dhana ya MONEY VS POWER ... mamlaka za juu CCM wanatakiwa wamkate huyu bwana kabla hajafika kwenye kura za maoni mana akifika hapo Kairuki lazima ashindwe mana huyu bwana Same anaijua nje ndani

N.B Simpigii huyu mama kampeni mana hata mwenyewe kujifanyia kampeni hawezi ninachofanya ni kutaka huyu bwana aondoke mana kumtoa kihalali imekua ngumu ( michezo michafu yote anaijua) na upinzani hakuna matumaini.


Huyo David Mathayo it's over haina mjadala, kabakisha nini kwa mfano cha kufanya? 15yrs enough tukutane baadae kwa ushuhuda.
 
Ina maana kazi Sasa Ni kuwapa vyeo tu watoto wote wa waliokuwa Viongozi kwa heshima za wazazi wao? Ndio kazi tunayotakiwa kufanya Kama chama na Nchi?
Nilidhani wewe ni mwandamizi huko CCM, haulijui hilo?
 
Yaani wewe umekomaa tu huyi Bwana aondoke. Tena huku ukikiri kuwa anakubalika ktk jimbo lake na analijua nje ndani. Sasa shida yako wewe nink kama mtu anakubalika na wale wanaomwongoza na wanampigia kura halali? Unapigia chapuo mtu ambaye baadae unasema hata yeye mwenyewe hawezi kujipigia kampeni. Maana yake hana ama hawezi kuongea na kushawishi wananchi kwa hoja. Sasa huyo mtu wa hivyo anawezaje kuwatetea wananchi?
Umofia Kwenu,

Bila kupoteza muda naomba niseme wazi kwamba kumekua na mtifuano wa chini kwa chini wa nani achukue jimbo la Same magharibi ndani ya CCM potential candidate akiwa Mama Angellah KAIRUKI na “Dr”. David Mathayo (phd yake haieleweki ndio mana ipo kwenye mabano )

Ndugu Mathayo kwa muda mrefu amekua mbunge wa Same magharibi takribani miaka 15 lakini ukiangalia la maana hasa alilofanya hakuna huyu bwana kama walivyo viongozi wengi ni mtu wa timing anasubiri miezi michache kabla ya uchaguzi.

Utamkuta analeta bulldozers ( zake) anachonga barabara halafu ndio kwisha habari. Tatizo linakuja huyu mbunge ana hela na anajua jinsi ya kuzitumia na kiukweli anapendwa na wazee wenye ushawishi hasa maeneo ya vijijini . Tukija kwa Kairuki wengi hawamfahamu hasa maeneo ambayo Mathayo anapendwa kwa hiyo kupita kwenye kura za maoni ni ngumu sana kama atakutana na “Dr”. David Mathayo Msuya.

Hapa ndipo inapokuja ile dhana ya MONEY VS POWER ... mamlaka za juu CCM wanatakiwa wamkate huyu bwana kabla hajafika kwenye kura za maoni mana akifika hapo Kairuki lazima ashindwe mana huyu bwana Same anaijua nje ndani

N.B Simpigii huyu mama kampeni mana hata mwenyewe kujifanyia kampeni hawezi ninachofanya ni kutaka huyu bwana aondoke mana kumtoa kihalali imekua ngumu ( michezo michafu yote anaijua) na upinzani hakuna matumaini.
 
Yaani wewe umekomaa tu huyi Bwana aondoke. Tena huku ukikiri kuwa anakubalika ktk jimbo lake na analijua nje ndani. Sasa shida yako wewe nink kama mtu anakubalika na wale wanaomwongoza na wanampigia kura halali? Unapigia chapuo mtu ambaye baadae unasema hata yeye mwenyewe hawezi kujipigia kampeni. Maana yake hana ama hawezi kuongea na kushawishi wananchi kwa hoja. Sasa huyo mtu wa hivyo anawezaje kuwatetea wananchi?
Mathayo ni MAFIOSO (Capo di tutti Capi) ... NYAMELA HATUFAI
 
Back
Top Bottom