Baba tuko vizuri Mno.Hapa Chadema wamechanga karata vizuri
Atleast 200 kila mkoa. Lengo limevukwa 30Times. ✌✌✌Generalky anatakiwa kuwa na wadhamini wangapi? Na je wadhamini wanatakiwa kutoka katika kila mkoa wa Tanzania?
Ngoja ccm wakashambulie tena msafara wake
Ndio kama hawa waliopo. Spoon fed leadersPia mkuu ukiona kiongozi yeyote anapata nafasi ya kuongoza kiurahisi rahisi huyo hawezi kuwa kiongozi makini.
More video clips and fotos plzView attachment 1537879
Mbowe akiwasili Same magharibi mapema leo.
Tundu Lissu akiwa jimboni Same magharibi amepata wadhamini 6893. Safari inaendelea.
Ninachukua helicopter chap kuwahi uwanja wa UHURU kuleta updates maana maccm ya humu ni kama yamesusa kutuonyesha zile nyimbo za Samia mama lao!
Vyombo vya habari vipi si mmevizima.Hata apate wazamini milioni 10 Urais ataendelea kuusikia kupitia vyombo vya habari
Chadema nao wana sifa.Sheria za udhamini zikoje.Isije wakatakiwa wadhamini kati ya 200 na 250 kila mkoa halafu nyie mkajaa watu zaidi ya wanaotakiwa kimkoa.Hatupo tayari kusikia kosa lolote linafanyika kwenye eneo lolote kuelekea kuteuliwa na NEC.
Hii ndio kauli mbiu kuhubiriwa nchi nzima.Ndugu zangu tuungane ili kuutokomeza huu utawala wa mkono wa chuma, hizo elfu saba saba mnazolipwa ili kujenga taswira ya mkulu kukubalika ni kwaajili ya njaa ya muda mfupi tu. Mwalimu Nyerere aliwaita viongozi wa namna hii washenzi na wendawazimu, hebu tumuheshimu na kumuenzi Mwalimu kwa kuachana na watawala wanaotumia mabavu badala ya hekima na busara.
Tusihadaike na utapeli na ulaghai mpya wa CCM, Saa ya ukombozi ni sasa
Taifa kuna nini?Nini kinaendelea pale Taifa?
Ni haki yetu kikatiba kuhoji na kufahamishwa.
AmekomaHadi leo bado anachechemea. Harudii Tena kulewa chakari kapata fundisho.
Ni mitama na kipigo wao kwa waoNini kinaendelea pale Taifa?
Ni haki yetu kikatiba kuhoji na kufahamishwa.
mzee acha kukariri zama zimebadilika wananchi hawaitaki tena ccmHao nimamluki same magharibi chadema haiwezi kushinda hiyo ni ngome yetu ya CCM ,hata Kule mashariki mama yetu kilango hana mpinzani atapita kwa kishindo
Sheria za udhamini zikoje.Isije wakatakiwa wadhamini kati ya 200 na 250 kila mkoa halafu nyie mkajaza watu zaidi ya wanaotakiwa kimkoa.Hatupo tayari kusikia kosa lolote linafanyika kwenye eneo lolote kuelekea kuteuliwa na NEC.
Ni mitama na kipigo wao kwa waoView attachment 1538669
Kumbe makadhi ndio upeo wenu wa akili ulipofikia ndio maaaanaaaHadi leo bado anachechemea. Harudii Tena kulewa chakari kapata fundisho.
Huyo Tundu Lisu tezinaTunajua mnamnyemelea Mathayo aletwe, tumewasikia sana na Mgombea wenu Mgonja.
Niwaambie CCM itamleta Mbunge chaguo la wananchi wa Same MAGHARIBI siyo wa hao wajumbe mliokula nao njama.
CCM ni chama la Ukombozi Afrika na Duniani kote imejipambanua kama chama cha kutetea wanyonge kokote walipo.
Hakutakuwepo na kura za huruma, SAME ndiyo THAME, Tutamchagua John Pombe Joseph MAGUFULI son of Afrika .
HongereniBaba tuko vizuri Mno.