RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Ha ha ha mkuu huko Dar wote mna TV 65" na kuendelea?TV kama za Dar 65" na kuendelea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha mkuu huko Dar wote mna TV 65" na kuendelea?TV kama za Dar 65" na kuendelea?
Yawezekana.Ila,umejumlisha mnoo!Unataka kutueleza kwamba upareni neno wizi/mwizi huwa wanalisoma tu shuleni au kulisikia nyumbani na hawajawahi kushuhudia?Hata wizi wa wanawake/wanaume wa wenzao?Mpare na wizi wapi na wapi Mkuu.
Tangu nimezaliwa sijawahi kuona Mpare Mwizi.
Hata serikalini ni ngumu kusikia Mpare akihusishwa na wizi au ufisadi.
Wapare wanamadhaifu mengine ila kwenye suala la haki na kutopenda wizi wanajitahidi.
Mkikata mwizi chukua sheria mkononi!!W
Wanabomoa madirisha kitaalamu sana huwezi kuwasikia.
Kwani walikuwa wanaziogopa?Wapare nao siku hizi wanamiliki TV? Ndio nasikia leo
Ubahili uliopitiliza walikuwa hawanuniiKwani walikuwa wanaziogopa?
Yawezekana.Ila,umejumlisha mnoo!Unataka kutueleza kwamba upareni neno wizi/mwizi huwa wanalisoma tu shuleni au kulisikia nyumbani na hawajawahi kushuhudia?Hata wizi wa wanawake/wanaume wa wenzao?
Mnashindwa nini kuzifungia GPS?Mh flat tv zinaibiwa sana. Kama Dar ndio balaa.
Ungejikita kwenye wizi mkubwa/ufusadi,sawa.Hakuna jamii inayokosa wezi,vibaka,makahaba,waongo,wafitini,matapeli nk.Kwa kweli wapare kwa wizi hiyo sifa hawana.
Labda tuseme mchanganyiko na utandawazi inaweza kusababisha
Wapare siku hizi wanaiba hadi kande Kwa mama Ntilie akizubaaKwa kweli wapare kwa wizi hiyo sifa hawana.
Labda tuseme mchanganyiko na utandawazi inaweza kusababisha
😀😀Wapare siku hizi wanaiba hadi kande Kwa mama Ntilie akizubaa
Mpare mstaarabu ni yule aliyekufa.Wachaga ndio wana tabia za wizi, sisi wapare ni watu wastaarabu mno.
Ungejikita kwenye wizi mkubwa/ufusadi,sawa.Hakuna jamii inayokosa wezi,vibaka,makahaba,waongo,wafitini,matapeli nk.
Lakini,wizi huo umefanyika na unafanyika miongoni mwa wapare.Labda,kwa uthibitisho tupate wanaishi na akina nani jirani.Nazungumzia utambulisho wa jamii.
Mfano hakuna asiyejua kuwa Watani zetu Wachagga ni wezi. Hiyo ni nchi nzima wala sio siri
Mkuu unatukosea sna wakali wa same boys🤣🤣Sehemu kama same unakosea kutumia neno 'mjini' Sema same kijiweni
Zinavushwa Boda Zambia, Msumbiji, Malawi, Congo, Burundi, Kenya, Uganda, Zenji, Rwandaje, zinakwenda wapi? Au zinauzwa wapi?
Ni kweli mtani zenu ni mambo ya chini ya kitovu tu , hilo halipingiki mkuu.Mpare na wizi wapi na wapi Mkuu.
Tangu nimezaliwa sijawahi kuona Mpare Mwizi.
Hata serikalini ni ngumu kusikia Mpare akihusishwa na wizi au ufisadi.
Wapare wanamadhaifu mengine ila kwenye suala la haki na kutopenda wizi wanajitahidi.