TOKA MAKTABA
20 March 2021
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole amesema chama hicho kinajiandaa kufanya mkutano mkuu maalum ili kumpendekeza na kumthibitisha Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mwenyekiti wa chama kufuatia msiba wa aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho hayati John Magufuli.
View: https://m.youtube.com/watch?v=K_BO0LXnpcY&
30 Aprili 2021
Wajumbe 1876 wa mkutano mkuu CCM wanatarajiwa kupiga kura jina moja
View: https://m.youtube.com/watch?v=K5cuNtTMGlk
Wajumbe 1876 wa mkutano mkuu maalumu wa CCM wanatarajiwa kupiga kura jina moja litakalowasilishwa katika mkutano huo kumchagua mwenyekiti mpya wa chama hicho tawala nchini.Mkutano huu unafanyika baada ya aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, rais wa awamu ya tano, Hayati John Magufuli kufariki dunia Machi 17,2021 na atakayechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya ni Rais Samia Suluhu Hassan.
20 March 2021
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole amesema chama hicho kinajiandaa kufanya mkutano mkuu maalum ili kumpendekeza na kumthibitisha Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mwenyekiti wa chama kufuatia msiba wa aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho hayati John Magufuli.
View: https://m.youtube.com/watch?v=K_BO0LXnpcY&
30 Aprili 2021
Wajumbe 1876 wa mkutano mkuu CCM wanatarajiwa kupiga kura jina moja
View: https://m.youtube.com/watch?v=K5cuNtTMGlk
Wajumbe 1876 wa mkutano mkuu maalumu wa CCM wanatarajiwa kupiga kura jina moja litakalowasilishwa katika mkutano huo kumchagua mwenyekiti mpya wa chama hicho tawala nchini.Mkutano huu unafanyika baada ya aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, rais wa awamu ya tano, Hayati John Magufuli kufariki dunia Machi 17,2021 na atakayechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya ni Rais Samia Suluhu Hassan.