Samia akitoka Dubai kutua moja kwa moja Tanesco Nyakato Mwanza

Samia akitoka Dubai kutua moja kwa moja Tanesco Nyakato Mwanza

Tuna wagonjwa wa akili wengi
Umasikini unafanya hata akili isikue hata miaka 200
Evolution of life bado sana kwetu hata ndege wanatupita
Hapo wanapanga namna ya kumdanganya na atatoa hela ndefu zipigwe tena na umeme hampati
Yaani ni usanii baada ya usanii tena wa kijinga
 
TANESCO Mwanza wanatia hasira sana yaani mtu unaweza ukajawa na hasira mpaka ukang'ata ulimi, mvua inanyesha mafuriko yote haya lakini mtu haoni aibu bado anakata umeme? Shwaiiiin kabisa.
Mama Samia akitoka Dubai kuna taarifa ya yeye kutua moja kwa moja Mwanza kisha kuelekea Tanesco Nyakato Mwanza.

Hii inafuatia kutokupata majibu anayoyataka kwa miezi kadhaa sasa.

Ikumbukwe kuwa kituo hicho kina uwezo wa kuzalisha MW 60 kikifanya kazi kwa asilimia mia, lakini kwa miezi kadhaa sasa kimekuwa kikiwasha jenereta moja huku mengine 9 yakiwa yamezimwa.

Kilichomshutua mama ni baada ya kupata taarifa kuwa kituo kikubwa kama hicho kinafanyiwa ukarabati na watu 5 ambao hutumia masaa 4 kwa ajili ya chai na lunch kati ya masaa 8 ya kazi.

Karibu sana mwanza
 
Hii ndiyo CCM ninayoijua na hapo kuna RC/RAS/RPC/RSO/DC/DAS/DED/DSO/OCD na Mbunge wote hapo wapo tu
Yaani tuna utitiri wa viongozi katika eneo moja wakiwa na jukumu la kufanya kazi moja lakini kazi hawafanyi..

Honestly, kuwa na utitiri wa viongozi hawa eneo moja ni wastage of resources..

Mathalani kwenye hili RC anakuwa anafanya nini? Mkurugenzi wa Jiji au manispaa anakuwa anafanya nini? Na si kuna Mayor wa Jiji na manispaa pia? Wanafamya nini wote hawa? Na, waziri anayesimamia sekta ya nishati anakuwa anafanya nini? Vipi naibu wake na vipi katibu mkuu wa wizara ya sekta ya nishati?

Yaani hata hili la kuhakikisha tu kuwa genereta zilizo kwenye eneo la utawala la RC wa Mwanza zinafanya kazi na watu kupata umeme ni mpaka Rais wa nchi ende kulitatua!!?????

Ki ukweli huu ni uthibitisho tosha kuwa tunatakiwa kuungalia upya mfumo wetu wa utawala. Huu tulio nao una kasoro kubwa sana.

Nguvu na maamuzi yamekuwa centralized serikali kuu zaidi badala ya local governments. Inawezekana hawa wanaliona tatizo lakini hawana mamlaka na baadhi ya watendaji wa taasisi fulani fulani. Maamuzi mpaka yafanywe na Rais...
 
Yaani tuna utitiri wa viongozi katika eneo moja wakiwa na jukumu la kufanya kazi moja lakini kazi hawafanyi..

Honestly, kuwa na utitiri wa viongozi hawa eneo moja ni wastage of resources..

Mathalani kwenye hili RC anakuwa anafanya nini? Mkurugenzi wa Jiji au manispaa anakuwa anafanya nini? Na si kuna Mayor wa Jiji na manispaa pia? Wanafamya nini wote hawa? Na, waziri anayesimamia sekta ya nishati anakuwa anafanya nini? Vipi naibu wake na vipi katibu mkuu wa wizara ya sekta ya nishati?

Yaani hata hili la kuhakikisha tu kuwa genereta zilizo kwenye eneo la utawala la RC wa Mwanza zinafanya kazi na watu kupata umeme ni mpaka Rais wa nchi ende kulitatua!!?????

Ki ukweli huu ni uthibitisho tosha kuwa tunatakiwa kuungalia upya mfumo wetu wa utawala. Huu tulio nao una kasoro kubwa sana.

Nguvu na maamuzi yamekuwa centralized serikali kuu zaidi badala ya local governments. Inawezekana hawa wanaliona tatizo lakini hawana mamlaka na baadhi ya watendaji wa taasisi fulani fulani. Maamuzi mpaka yafanywe na Rais...
Shida sio mfumo, shida hapa ni uzembe wa watu,
Unataka nambia Waziri/katibu wa wizara anashindwa solve issue hii?
 
Mama Samia akitoka Dubai kuna taarifa ya yeye kutua moja kwa moja Mwanza kisha kuelekea Tanesco Nyakato Mwanza.

Hii inafuatia kutokupata majibu anayoyataka kwa miezi kadhaa sasa.

Ikumbukwe kuwa kituo hicho kina uwezo wa kuzalisha MW 60 kikifanya kazi kwa asilimia mia, lakini kwa miezi kadhaa sasa kimekuwa kikiwasha jenereta moja huku mengine 9 yakiwa yamezimwa.

Kilichomshutua mama ni baada ya kupata taarifa kuwa kituo kikubwa kama hicho kinafanyiwa ukarabati na watu 5 ambao hutumia masaa 4 kwa ajili ya chai na lunch kati ya masaa 8 ya kazi.

Karibu sana mwanza
Shida Ni huyo anaekuja Mwanza .. sidhani kama Ni kituo.
 
Hii nchi imekua na mambo ya hivyo sana aiseeeee.... yaani kila idara na wizara zimejaa vichefchef....
 
Mama Samia akitoka Dubai kuna taarifa ya yeye kutua moja kwa moja Mwanza kisha kuelekea Tanesco Nyakato Mwanza.

Hii inafuatia kutokupata majibu anayoyataka kwa miezi kadhaa sasa.

Ikumbukwe kuwa kituo hicho kina uwezo wa kuzalisha MW 60 kikifanya kazi kwa asilimia mia, lakini kwa miezi kadhaa sasa kimekuwa kikiwasha jenereta moja huku mengine 9 yakiwa yamezimwa.

Kilichomshutua mama ni baada ya kupata taarifa kuwa kituo kikubwa kama hicho kinafanyiwa ukarabati na watu 5 ambao hutumia masaa 4 kwa ajili ya chai na lunch kati ya masaa 8 ya kazi.

Karibu sana mwanza
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mama Samia akitoka Dubai kuna taarifa ya yeye kutua moja kwa moja Mwanza kisha kuelekea Tanesco Nyakato Mwanza.

Hii inafuatia kutokupata majibu anayoyataka kwa miezi kadhaa sasa.

Ikumbukwe kuwa kituo hicho kina uwezo wa kuzalisha MW 60 kikifanya kazi kwa asilimia mia, lakini kwa miezi kadhaa sasa kimekuwa kikiwasha jenereta moja huku mengine 9 yakiwa yamezimwa.

Kilichomshutua mama ni baada ya kupata taarifa kuwa kituo kikubwa kama hicho kinafanyiwa ukarabati na watu 5 ambao hutumia masaa 4 kwa ajili ya chai na lunch kati ya masaa 8 ya kazi.

Karibu sana mwanza
One in a million,
Yapo mengi kama hayo,
Jamaa zangu wa Makumbusho u may work close to assist this....
 
Back
Top Bottom