Ewaaah, Ushikaji na kufurahisha watu, anasahau kwamba kupendwa na wengi kunakuweka karibu na wasiokupenda wengi kwa mara moja, hivyo inakuwa rahisi sana kukuondoa.Maza anaangalia dini na jinsia pekee na siyo uwezo wa mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ewaaah, Ushikaji na kufurahisha watu, anasahau kwamba kupendwa na wengi kunakuweka karibu na wasiokupenda wengi kwa mara moja, hivyo inakuwa rahisi sana kukuondoa.Maza anaangalia dini na jinsia pekee na siyo uwezo wa mtu
Yeye hataki kujuaEwaaah, Ushikaji na kufurahisha watu, anasahau kwamba kupendwa na wengi kunakuweka karibu na wasiokupenda wengi kwa mara moja, hivyo inakuwa rahisi sana kukuondoa.
2025 lazima wampige chini kwenye chama chake, hahaYeye hataki kujua
Haitawezekana, majangili yanafurahia kupiga pesa kupitia utawala dhaifu2025 lazima wampige chini kwenye chama chake, haha
Hanang kuna mtungi wa hewa?Mnatuchanganya sasa.
Lucas mwashambwa kasema atatua Hanang
Sijui mkuu, wanahitaji hewa?Hanang kuna mtungi wa hewa?
Namaanisha airport vinginevyo atatua wapi?Sijui mkuu, wanahitaji hewa?
Labda na ungo😀Namaanisha airport vinginevyo atatua wapi?
nchi ya vi wonderMama Samia akitoka Dubai kuna taarifa ya yeye kutua moja kwa moja Mwanza kisha kuelekea Tanesco Nyakato Mwanza.
Hii inafuatia kutokupata majibu anayoyataka kwa miezi kadhaa sasa.
Ikumbukwe kuwa kituo hicho kina uwezo wa kuzalisha MW 60 kikifanya kazi kwa asilimia mia, lakini kwa miezi kadhaa sasa kimekuwa kikiwasha jenereta moja huku mengine 9 yakiwa yamezimwa.
Kilichomshutua mama ni baada ya kupata taarifa kuwa kituo kikubwa kama hicho kinafanyiwa ukarabati na watu 5 ambao hutumia masaa 4 kwa ajili ya chai na lunch kati ya masaa 8 ya kazi.
Karibu sana mwanza
Dunia imeelekeza macho yake HanangMama Samia akitoka Dubai kuna taarifa ya yeye kutua moja kwa moja Mwanza kisha kuelekea Tanesco Nyakato Mwanza.
Hii inafuatia kutokupata majibu anayoyataka kwa miezi kadhaa sasa.
Ikumbukwe kuwa kituo hicho kina uwezo wa kuzalisha MW 60 kikifanya kazi kwa asilimia mia, lakini kwa miezi kadhaa sasa kimekuwa kikiwasha jenereta moja huku mengine 9 yakiwa yamezimwa.
Kilichomshutua mama ni baada ya kupata taarifa kuwa kituo kikubwa kama hicho kinafanyiwa ukarabati na watu 5 ambao hutumia masaa 4 kwa ajili ya chai na lunch kati ya masaa 8 ya kazi.
Karibu sana mwanza