Samia awapiga ‘stop’ mawaziri kuajiri maofisa habari binafsi

Maofisa habari binafsi ndio chawa wa wanasiasa.
 
Endelea kujidanganya kama waliokua na nguvu kubwa kisiasa saa hizi hawasikiki sidhani kama hiko CHAUMA kina cha kufanya 2025 hakuna mwenye hoja wote walamba asali bora tuendelee na CCM
Nani aongozwe na chama cha mashangingi na madangaji..!!
 
Ya faragha yanaanikwa nje?
 
Mimi kama mimi.

Nani alikudanganya kuna kiumbe kisichohitaji huruma?
Ajabu sana!

Yani kuna watu wanamuona Rais kama nani sijui!

Yule ni mwanadamu kama wanadamu wengine tu. Ndiyo maana mara kwa mara anaomba tumuombee.

Kwenye Biblia, Mfalme Farao mwenyewe alishindwa kutafsiri ndoto akaomba msaada kwa Yusufu aliyekuwa mtumwa tu aliyefungwa gerezani. Unaweza ukawa Rais lkn baadhi ya mambo ukashindwa kuyafanya mwenyewe pamoja na mamlaka makubwa uliyonayo.

Kusema ukweli mama anastahili kuhurumiwa na kuombewa sana.
 
Mbona matusi? We ni mwanamke kutongozwa ni sunna na bahati... acha kibri nataka niurahisishe uzee wako.
Tafadhali usiinguze mambo dini usiyoyajua, wacha kuuzulia Uislam.

Huelewi maana ya neno "sunna". Nakushauri kabla hujakurupuka na maneno usiyoyajua uliza.
 
Tafadhali usiinguze mambo dini usiyoyajua, wacha kuuzulia Uislam.

Huelewi maana ya neno "sunna". Nakushauri kabla hujakurupuka na maneno usiyoyajua uliza.
Uislam umeingiaje hapo? Anyway najua unataka kuniburuta kwenye kichaka chenu huko siji...

Faiza najua menopause na upweke unakusumbua, nipe nafasi nikusaidie katika uzee na kuyapooza maradhi yako.
 
Uislam umeingiaje hapo? Anyway najua unataka kuniburuta kwenye kichaka chenu huko siji...

Faiza najua menopause na upweke unakusumbua, nipe nafasi nikusaidie katika uzee na kuyapooza maradhi yako.
Nikuuluze wewe ulieleta neno "sunna", neno na mila ya Waislam ilihusu nini?

Ulianzishe wewe utake kuusukuma mpira kwengjne? Unaelewa maana ya neno sunna?
 
hilo tu linatosha kumtengua waziri. kwa nini anawabembeleza kama watoto aliowazaa yeye mwenyewe? hii ni nchi siyo familia yake binafsi
 
Nikuuluze wewe ulieleta neno "sunna", neno na mila ya Waislam ilihusu nini?

Ulianzishe wewe utake kuusukuma mpira kwengjne? Unaelewa maana ya neno sunna?
Haya tuyaache, turudi kwenye ishu ya msingi.

Nakupenda faiza, unajua tumetoka mbali sana eeh... tumalizie uzee basi nikuuguze na vimarqdhi vyako.
 
Yule ni tskataka ya chooni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…