Samia hataki kabisa kusikia habari za urais 2025

Kuna unabii unanijia ntausema muda na majira yake ikifika
 

Hivi nyie sukuma gang bado mnaendelea kuota mchana..
 
Zisiwe hadithi za kufikirika.
 
Nina ndugu yng mmoja akikwambiya chakula fulani hapendi kula,

Siku kikipikwa kile asichopenda atakomba hadi sufuria..


Asiyependa kula huonekana mezani,
Na sio blah blah.
 
Umesahau legacy yake iwe kujenga madarasa na vyoo vingi mashuleni, stendi na vyuoni.
Amefanikiwa kuwasaidia wananchi zaidi kt masuala ya kunya na kukojoa tu, bure kabisa huyu mwanamke anayewaza kunya tu uko chooni
 
Utakuwa mwandishi wa raia mwema wewe si bure. Uraisi mtamu wengi afrika wanatamani wafie kwennye hicho kiti wakibadili katiba na uongo mwingi.reference iko kwa M7.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…