Samia hataki kabisa kusikia habari za urais 2025

Samia hataki kabisa kusikia habari za urais 2025

Kutoka korido za CCM Chamwino, mama ameanza kuwaambia wandani wake kuwa habari za kugombea urais 2025 hataki kabisa kusikia, tena anadai Kama ingekuwa ni kitu chepesi basi angestaafu hata Jana. Madai yake makubwa ni jinsi kila Jambo analogusa linashindwa kabisa kufanyika.

Miradi iliyokuwa inaenda vizuri kabla ya yeye kushika usukani imekwama, Dar haina maji, nchi haina umeme. Watu wanajenga shade ya mlinzi kwa mil 11, watoto mikopo yao vyuoni haileweki, kwa mujibu wa ilani ya chama chake ilitakiwa vijiji vyote viwe na umeme lakini mpaka Sasa mambo yanasusua

Kitu kinachomuumiza mama akili ni jinsi gani anavyojitahidi kukopa lakini hela zikifika nyumbani hamna Cha maana kinachofanyika zaidi ya TRAB na TRAT.

Mama kaamua 2025 anarudi nyumbani kupumzika kulea wajukuu na kufanya majukumu mengine madogo madogo Kama ya usuluhishi wa kimataifa atakapochaguliwa na rais anayefuata.

Pia mama anataka legacy yake kubwa iwe ni rais pekee aliyejenga madarasa mengi kwa muda mfupi tangu tupate Uhuru.
Sa100 yupi huyo?
 
Huyu Alidhani Mtangulizi wake Alikua Katili na mwenye kufokea wasaidizi wake. Yeye Akataka kucheka Cheka na nyani. Sasa Atavuna Alichopanda.

Watanzania bila kuswagwa nchi Haiendi. Alikuja kikwete Mzee wa Tabasamu. Akaula wachuya Ndoto za maisha bora kwa kila Mtanzania zikabaki kabatini. Ikawa maisha bora kwa chawa wake.
 
Huyu Alidhani Mtangulizi wake Alikua Katili na mwenye kufokea wasaidizi wake. Yeye Akataka kucheka Cheka na nyani. Sasa Atavuna Alichopanda.

Watanzania bila kuswagwa nchi Haiendi. Alikuja kikwete Mzee wa Tabasamu. Akaula wachuya Ndoto za maisha bora kwa kila Mtanzania zikabaki kabatini. Ikawa maisha bora kwa chawa wake.
Huyu kashisnwa mapema sn
 
Kutoka korido za CCM Chamwino, mama ameanza kuwaambia wandani wake kuwa habari za kugombea urais 2025 hataki kabisa kusikia, tena anadai Kama ingekuwa ni kitu chepesi basi angestaafu hata Jana. Madai yake makubwa ni jinsi kila Jambo analogusa linashindwa kabisa kufanyika.

Miradi iliyokuwa inaenda vizuri kabla ya yeye kushika usukani imekwama, Dar haina maji, nchi haina umeme. Watu wanajenga shade ya mlinzi kwa mil 11, watoto mikopo yao vyuoni haileweki, kwa mujibu wa ilani ya chama chake ilitakiwa vijiji vyote viwe na umeme lakini mpaka Sasa mambo yanasusua

Kitu kinachomuumiza mama akili ni jinsi gani anavyojitahidi kukopa lakini hela zikifika nyumbani hamna Cha maana kinachofanyika zaidi ya TRAB na TRAT.

Mama kaamua 2025 anarudi nyumbani kupumzika kulea wajukuu na kufanya majukumu mengine madogo madogo Kama ya usuluhishi wa kimataifa atakapochaguliwa na rais anayefuata.

Pia mama anataka legacy yake kubwa iwe ni rais pekee aliyejenga madarasa mengi kwa muda mfupi tangu tupate Uhuru.

Nkikumbuka ulivokua ukimsifia magu then mama alivoingia umegeuka [emoji23][emoji23]
 
Msikilizeni Kakurwa hapa kuna kitu huko ndani kwao

View attachment 2420578
Ukiwaangalia vizuri wasikilizaji nyuso zao zinaonyesha mashaka mashaka na akili zao zinajiuliza huyu mheshimiwa anajiamini nini kuongea maneno kama hayo mbele ya hadhira iliyosheheni makamera na vinasa sauti kibao ?!! The guy is so firm into his beliefs !! Tusubiri tuone !!!
 
Ukiwaangalia vizuri wasikilizaji nyuso zao zinaonyesha mashaka mashaka na akili zao zinajiuliza huyu mheshimiwa anajiamini nini kuongea maneno kama hayo mbele ya hadhira iliyosheheni makamera na vinasa sauti kibao ?!! The guy is so firm into his beliefs !! Tusubiri tuone !!!
Ni calculated move. Hakuongea tu!
 
kama ni kweli watu wengi watafrahi
inawezekana kabisa unajua hata yeye sio kwamba akitoka kazini anaenda nyumbani anajifungia tu anaongea na mume wake anapga stori na marafiki zake nfdugu zake labda wengine wanamwona kwa mbali tu wanawake wengi hueleza mambo mengi ya moyoni kuliko wanaume
 
Hizi ni ndoto za alinacha,asikwambie mtu cheo kitamu
Kutoka korido za CCM Chamwino, mama ameanza kuwaambia wandani wake kuwa habari za kugombea urais 2025 hataki kabisa kusikia, tena anadai Kama ingekuwa ni kitu chepesi basi angestaafu hata Jana. Madai yake makubwa ni jinsi kila Jambo analogusa linashindwa kabisa kufanyika.

Miradi iliyokuwa inaenda vizuri kabla ya yeye kushika usukani imekwama, Dar haina maji, nchi haina umeme. Watu wanajenga shade ya mlinzi kwa mil 11, watoto mikopo yao vyuoni haileweki, kwa mujibu wa ilani ya chama chake ilitakiwa vijiji vyote viwe na umeme lakini mpaka Sasa mambo yanasusua

Kitu kinachomuumiza mama akili ni jinsi gani anavyojitahidi kukopa lakini hela zikifika nyumbani hamna Cha maana kinachofanyika zaidi ya TRAB na TRAT.

Mama kaamua 2025 anarudi nyumbani kupumzika kulea wajukuu na kufanya majukumu mengine madogo madogo Kama ya usuluhishi wa kimataifa atakapochaguliwa na rais anayefuata.

Pia mama anataka legacy yake kubwa iwe ni rais pekee aliyejenga madarasa mengi kwa muda mfupi tangu tupate Uhuru.
 
Kutoka korido za CCM Chamwino, mama ameanza kuwaambia wandani wake kuwa habari za kugombea urais 2025 hataki kabisa kusikia, tena anadai Kama ingekuwa ni kitu chepesi basi angestaafu hata Jana. Madai yake makubwa ni jinsi kila Jambo analogusa linashindwa kabisa kufanyika.

Miradi iliyokuwa inaenda vizuri kabla ya yeye kushika usukani imekwama, Dar haina maji, nchi haina umeme. Watu wanajenga shade ya mlinzi kwa mil 11, watoto mikopo yao vyuoni haileweki, kwa mujibu wa ilani ya chama chake ilitakiwa vijiji vyote viwe na umeme lakini mpaka Sasa mambo yanasusua

Kitu kinachomuumiza mama akili ni jinsi gani anavyojitahidi kukopa lakini hela zikifika nyumbani hamna Cha maana kinachofanyika zaidi ya TRAB na TRAT.

Mama kaamua 2025 anarudi nyumbani kupumzika kulea wajukuu na kufanya majukumu mengine madogo madogo Kama ya usuluhishi wa kimataifa atakapochaguliwa na rais anayefuata.

Pia mama anataka legacy yake kubwa iwe ni rais pekee aliyejenga madarasa mengi kwa muda mfupi tangu tupate Uhuru.
Mkuu

KWELI wewe ni msagasumu!!

Sisi tunaimba na kina Lucas mwashambwa kuwa "Mama anaupiga mwingi, wewe una saga sumuui!!!

Sawa jamaa aiseh!!
 
Ni calculated move. Hakuongea tu!
Inaonekana kama ni move ya kumuachia MADARAKA FDR,kama Tumia Akili alivotuandikia huku jamvini!

"Last digit ya miaka inajidhirisha"

Ukiangalia last digit ya 3 na 5 inatupa 2023/2035 Ili upate 12!

Sasa inaonekana 2023 ni very crucial year KWA nchi yangu Tanzania!

Mungu atutangulie kwenye hayo mageuzi kwa maana mageuzi huwa ni machungu mno!!
 
Mama anataka kabla ya kuondoka anataka auze bandari
 
Kutoka korido za CCM Chamwino, mama ameanza kuwaambia wandani wake kuwa habari za kugombea urais 2025 hataki kabisa kusikia, tena anadai Kama ingekuwa ni kitu chepesi basi angestaafu hata Jana. Madai yake makubwa ni jinsi kila Jambo analogusa linashindwa kabisa kufanyika.

Miradi iliyokuwa inaenda vizuri kabla ya yeye kushika usukani imekwama, Dar haina maji, nchi haina umeme. Watu wanajenga shade ya mlinzi kwa mil 11, watoto mikopo yao vyuoni haileweki, kwa mujibu wa ilani ya chama chake ilitakiwa vijiji vyote viwe na umeme lakini mpaka Sasa mambo yanasusua

Kitu kinachomuumiza mama akili ni jinsi gani anavyojitahidi kukopa lakini hela zikifika nyumbani hamna Cha maana kinachofanyika zaidi ya TRAB na TRAT.

Mama kaamua 2025 anarudi nyumbani kupumzika kulea wajukuu na kufanya majukumu mengine madogo madogo Kama ya usuluhishi wa kimataifa atakapochaguliwa na rais anayefuata.

Pia mama anataka legacy yake kubwa iwe ni rais pekee aliyejenga madarasa mengi kwa muda mfupi tangu tupate Uhuru.
Ndoto za Ali nacha ndio maana mnamkwamisha basi kwa taarifa zetu haondoki mpaka ahakikishe Zanzibar inakuwa huru kwa sababu tushajuwa huu muungano ni chaka la nyinyi wabongo kutukandamiza c muungano wenye manufaa kwetu.
 
Kutoka korido za CCM Chamwino, mama ameanza kuwaambia wandani wake kuwa habari za kugombea urais 2025 hataki kabisa kusikia, tena anadai Kama ingekuwa ni kitu chepesi basi angestaafu hata Jana. Madai yake makubwa ni jinsi kila Jambo analogusa linashindwa kabisa kufanyika.

Miradi iliyokuwa inaenda vizuri kabla ya yeye kushika usukani imekwama, Dar haina maji, nchi haina umeme. Watu wanajenga shade ya mlinzi kwa mil 11, watoto mikopo yao vyuoni haileweki, kwa mujibu wa ilani ya chama chake ilitakiwa vijiji vyote viwe na umeme lakini mpaka Sasa mambo yanasusua

Kitu kinachomuumiza mama akili ni jinsi gani anavyojitahidi kukopa lakini hela zikifika nyumbani hamna Cha maana kinachofanyika zaidi ya TRAB na TRAT.

Mama kaamua 2025 anarudi nyumbani kupumzika kulea wajukuu na kufanya majukumu mengine madogo madogo Kama ya usuluhishi wa kimataifa atakapochaguliwa na rais anayefuata.

Pia mama anataka legacy yake kubwa iwe ni rais pekee aliyejenga madarasa mengi kwa muda mfupi tangu tupate Uhuru.
Kuna gazeti liliandika kuwa Mama hatagombea uchaguzi ujao, aliliijia juu, na likala BAN ya muda!
 
Back
Top Bottom