Samia kapitishwa kimakosa kugombea urais. Katiba ya CCM haikufuatwa

Mhe. Rais Samia kapiga hat-trick; tumepata mgombea Urais wa Muungano, Zanzibar na Mgombea Mwenza wa Muungano. Pia, sielewi Mhe. Dk. Nchimbi kosa lake nini wakati hoja ilianzia kwa wajumbe kutaka utekelezaji . Nilidhani tuwapongeze viongozi wakuu wa CCM kuwa wasikivu #Nimeipenda hat-trick ya kwanza kwa mwaka 2025.
 
Saa 100 anaogopa hata kivuli chake ......anaogopa mitihani ndio hulka yake ....
 
Msajiri yupo wapi Sheria zinataka mgombea kabla hajapitishwa na chama aende majimboni kupata saini za wapiga kura
 
Chama Cha kijani na utapeli ni kama Pete na kidole. Wanalumumba poleni na hongereni kwa kutapeliwa kwa mara nyingine.
 
Mkutano ulikuwa wa kumchagua mrithi wa Kinana. Huyu mrithi wa Mipango si angesubiri atakapo jiuzulu.
 
Jana nimeandika CCM wamevunja ibara ya 100 (5) c ya katiba ya CCM ya 1977 toleo la Disemba 2022.
Unaweza kutuweka hapa maelezo yake , tuone kama Sharia za mirathi zimefuatwa.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Unaweza kutuweka hapa maelezo yake , tuone kama Sharia za mirathi zimefuatwa.
Katiba ipo online, hata mimi nimei Google nikaipata kama PDF online.

Katiba ya CCM ya 1977, toleo la Disemba 2022.
 
Fuata ninavyo kwambia. Usifuate ilivyoandikwa. Kauli ilitoka kwenye mkutano mkuu mmoja wa CCM akijibiwa mjumbe aliyetaka katiba ifatwe.
 
CCM mna kazi kubwa ya kuwa chama chenye demokrasia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…