Samia kashidwa swala la Rushwa, Haki na umasikini

Samia kashidwa swala la Rushwa, Haki na umasikini

Usaid ililetwa na Samia?
Jibu hoja maswali ya nini ? Yaani mkishidwa hoja mnakuja na maswali toa hoja yako tofauti na yangu. Huwezi kuwa Raisi badala ya kutatua matatizo unaweka lawama wakati wewe ndiyo kiongozi. Hata umasikini na Rushwa haujaletwa na Samia lakini kama Raisi ni mambo ambayo yamemshinda kwa hii miaka yake ya Uraisi. Tokea Magufuli aondoke rushwa kwa maono ya wengi imeongezeka na haijapungua. Hivyo naombeni mjibu hoja sio kuweka maswali. Huwezi kwenda kwenye debate badala ya kutoa hoja una uliza maswali tu kama huna hoja unavyamaza

"Umasikini: Huwezi kununua magari ya milioni 400 kwa bilioni 600 halafu unategemea dawa za ukimwi kutoka USAID! kwanini usiombe magari kama tatizo ni magari kama zamani. Dawa hazina 10%!!! na ndiyo sababu wakati haya magari ni rahisi kupata 10%. "

Jibu hoja
 



Samia kashidwa swala la Rushwa, Haki na umasikini

Rushwa: Imeongezeka. Mikataba ya sirisiri na rushwa kila mahali
Haki: Hakuna tume huru ambayo haimtegemei raisi. wizi wa kura kwa kutumia Polisi na usalama
Umasikini: Huwezi kununua magari ya milioni 400 kwa bilioni 600 halafu unategemea dawa za ukimwi kutoka USAID! kwanini usiombe magari kama tatizo ni magari kama zamani. Dawa hazina 10%!!! na ndiyo sababu wakati haya magari ni rahisi kupata 10%
 
Samia kashidwa swala la Rushwa, Haki na umasikini

Rushwa: Imeongezeka. Mikataba ya sirisiri na rushwa kila mahali
Haki: Hakuna tume huru ambayo haimtegemei raisi. wizi wa kura kwa kutumia Polisi na usalama
Umasikini: Huwezi kununua magari ya milioni 400 kwa bilioni 600 halafu unategemea dawa za ukimwi kutoka USAID! kwanini usiombe magari kama tatizo ni magari kama zamani. Dawa hazina 10%!!! na ndiyo sababu wakati haya magari ni rahisi kupata 10%
Rushwa imeongezekea wapi na Kwa kipimo kipi?

Ni lini au tuwekee hapa mkataba ambao wewe unaujua ambao sio wa Siri.

Tangu lini Rais aliyekuza Kilimo,maelfu ya ajira,maelfu ya biashara nk akaongeza umaskini badala ya kupunguza?

Kuna hospitali huko kwenu Haina dawa?

Useless

View: https://x.com/TheSwahiliPost/status/1890422660972126221?t=qL_TOsvMF6X7mcbzLhjR9Q&s=19
 
Jibu hoja maswali ya nini ? Yaani mkishidwa hoja mnakuja na maswali toa hoja yako tofauti na yangu. Huwezi kuwa Raisi badala ya kutatua matatizo unaweka lawama wakati wewe ndiyo kiongozi. Hata umasikini na Rushwa haujaletwa na Samia lakini kama Raisi ni mambo ambayo yamemshinda kwa hii miaka yake ya Uraisi. Tokea Magufuli aondoke rushwa kwa maono ya wengi imeongezeka na haijapungua. Hivyo naombeni mjibu hoja sio kuweka maswali. Huwezi kwenda kwenye debate badala ya kutoa hoja una uliza maswali tu kama huna hoja unavyamaza

"Umasikini: Huwezi kununua magari ya milioni 400 kwa bilioni 600 halafu unategemea dawa za ukimwi kutoka USAID! kwanini usiombe magari kama tatizo ni magari kama zamani. Dawa hazina 10%!!! na ndiyo sababu wakati haya magari ni rahisi kupata 10%. "

Jibu hoja
Jibu swali langu

Usaid ililetwa na samia?
 
Jibu swali langu

Usaid ililetwa na samia?
Imeletwa na Mama yako Samia. Nenda sasa kamuambie Mama yako aache kununua magari ya billion 600 mpaka ahakikishe kuna dawa za kuokoa maisha ya watanzania.

Samia kashidwa swala la Rushwa, Haki na umasikini

Rushwa: Imeongezeka. Mikataba ya sirisiri na rushwa kila mahali
Haki: Hakuna tume huru ambayo haimtegemei raisi. wizi wa kura kwa kutumia Polisi na usalama
Umasikini: Huwezi kununua magari ya milioni 400 kwa bilioni 600 halafu unategemea dawa za ukimwi kutoka USAID! kwanini usiombe magari kama tatizo ni magari kama zamani. Dawa hazina 10%!!! na ndiyo sababu wakati haya magari ni rahisi kupata 10%
 
Rushwa imeongezekea wapi na Kwa kipimo kipi?

Ni lini au tuwekee hapa mkataba ambao wewe unaujua ambao sio wa Siri.

Tangu lini Rais aliyekuza Kilimo,maelfu ya ajira,maelfu ya biashara nk akaongeza umaskini badala ya kupunguza?

Kuna hospitali huko kwenu Haina dawa?

Useless

View: https://x.com/TheSwahiliPost/status/1890422660972126221?t=qL_TOsvMF6X7mcbzLhjR9Q&s=19



Nendeni kawaulizeni Watanzania. Tatizo lenu data kama hizi kuzipata ni ngumu maana serikali inataka data za uchawa tu. Sababu mojawapo ya Mama kufanya vibaya ni hilo anapewa data za kuongo tu hasa kutoka kwa machawa kama wewe
 
Rushwa imeongezekea wapi na Kwa kipimo kipi?

Ni lini au tuwekee hapa mkataba ambao wewe unaujua ambao sio wa Siri.

Tangu lini Rais aliyekuza Kilimo,maelfu ya ajira,maelfu ya biashara nk akaongeza umaskini badala ya kupunguza?

Kuna hospitali huko kwenu Haina dawa?

Useless

View: https://x.com/TheSwahiliPost/status/1890422660972126221?t=qL_TOsvMF6X7mcbzLhjR9Q&s=19



MSD mwaka 2016 nilikataa kazi ya kuwa Director wa supply chain. Najua hii kampuni kuliko wengi hapa. Kuna Madudu mengi sana na mimi namjua mtu ambaye anafanya audit wa EY mpaka leo. Nilikataa kuwa mtu wa kuuza vifaa kwa watu binafsi na kuibia walala hoi. Kuna mambo mengi sana haomjui mnaishia kulisha maneno na viji budget vya uongo. Hao MD wote nawafahamu personally
 
Rushwa imeongezekea wapi na Kwa kipimo kipi?

Ni lini au tuwekee hapa mkataba ambao wewe unaujua ambao sio wa Siri.

Tangu lini Rais aliyekuza Kilimo,maelfu ya ajira,maelfu ya biashara nk akaongeza umaskini badala ya kupunguza?

Kuna hospitali huko kwenu Haina dawa?

Useless

View: https://x.com/TheSwahiliPost/status/1890422660972126221?t=qL_TOsvMF6X7mcbzLhjR9Q&s=19

sisi tunajua MSD kuliko wengi

 
sisi tunajua MSD kuliko wengi


View: https://x.com/cwjroberts/status/1772883422580556089?t=5k_VKJjgk47GO7kfZLicAQ&s=19
 


Unajua tofauti ya B1 na B2?. Hii topic wala haina uhusiano na ya kwangu mimi nimeongelea mambo mengine kabisa. Rushwa, haki na umasikini. wewe unaongelea credit rating. !!


Samia kashidwa swala la Rushwa, Haki na umasikini

Rushwa: Imeongezeka. Mikataba ya sirisiri na rushwa kila mahali
Haki: Hakuna tume huru ambayo haimtegemei raisi. wizi wa kura kwa kutumia Polisi na usalama
Umasikini: Huwezi kununua magari ya milioni 400 kwa bilioni 600 halafu unategemea dawa za ukimwi kutoka USAID! kwanini usiombe magari kama tatizo ni magari kama zamani. Dawa hazina 10%!!! na ndiyo sababu wakati haya magari ni rahisi kupata 10%
 
Unajua tofauti ya B1 na B2?. Hii topic wala haina uhusiano na ya kwangu mimi nimeongelea mambo mengine kabisa. Rushwa, haki na umasikini. wewe unaongelea credit rating. !!


Samia kashidwa swala la Rushwa, Haki na umasikini

Rushwa: Imeongezeka. Mikataba ya sirisiri na rushwa kila mahali
Haki: Hakuna tume huru ambayo haimtegemei raisi. wizi wa kura kwa kutumia Polisi na usalama
Umasikini: Huwezi kununua magari ya milioni 400 kwa bilioni 600 halafu unategemea dawa za ukimwi kutoka USAID! kwanini usiombe magari kama tatizo ni magari kama zamani. Dawa hazina 10%!!! na ndiyo sababu wakati haya magari ni rahisi kupata 10%
Haya mambo Huwa hayatokei kwenye rushwa 😁 😁 👇 👇
Screenshot_20250214-215811.jpg
 
Haya mambo Huwa hayatokei kwenye rushwa 😁 😁 👇 👇
View attachment 3236591
Nani kasema. Hakuna nchi EA uchumi haukui. Wewe kama unabisha hakuna rushwa tembea na gari kwenda mkoani uone utatoa pesa kiasi gani kwa Polisi.Mimi siko hapa kubishana kama huwezi kijibu hoja naomba endelea na topic nyingine za uchawa tuachie topic yetu ya msingi
 
Imeletwa na Mama yako Samia. Nenda sasa kamuambie Mama yako aache kununua magari ya billion 600 mpaka ahakikishe kuna dawa za kuokoa maisha ya watanzania.

Samia kashidwa swala la Rushwa, Haki na umasikini

Rushwa: Imeongezeka. Mikataba ya sirisiri na rushwa kila mahali
Haki: Hakuna tume huru ambayo haimtegemei raisi. wizi wa kura kwa kutumia Polisi na usalama
Umasikini: Huwezi kununua magari ya milioni 400 kwa bilioni 600 halafu unategemea dawa za ukimwi kutoka USAID! kwanini usiombe magari kama tatizo ni magari kama zamani. Dawa hazina 10%!!! na ndiyo sababu wakati haya magari ni rahisi kupata 10%
Samia was here when we signed prtenship framework na usaid over 40 years ago?

Did she sign an Pepfar partnership in 2003?

Utakua na shida kubwa sana ya uelewa wa very basic issues

You May complain about rushwa but can’t link it with trump
 
Samia was here when we signed prtenship framework na usaid over 40 years ago?

Did she sign an Pepfar partnership in 2003?

Utakua na shida kubwa sana ya uelewa wa very basic issues

You May complain about rushwa but can’t link it with trump
Acheni ujinga huu ni mfano mmoja kwani mkataba wa USAID una uhusiano gani na matumizi yetu mabaya? Kuanzia Samia aingie madarakana kafanya nini kupunguza matumizi yasiyo na lazima. Hakuna mkataba wowote huu ni msaada tu ambao unaweza kuisha wakati wowote kama ulivyoisha. Lakini kama Raisi Samia kajiandaa vitu na katumia vipi pesa za kodi. Kununua magari ya 600B gari moja 400M wewe tu ndiye unaona matumizi hayo ni muhimu. Huu ni mfano mmoja tu wa matumizi mabaya kati ya mengi.


Raisi Samia kashidwa kwenye
Rushwa, Umasikini na Haki jibu kwa hoja usije kubadilisha topic hapa
 
Acheni ujinga huu ni mfano mmoja kwani mkataba wa USAID una uhusiano gani na matumizi yetu mabaya? Kuanzia Samia aingie madarakana kafanya nini kupunguza matumizi yasiyo na lazima. Hakuna mkataba wowote huu ni msaada tu ambao unaweza kuisha wakati wowote kama ulivyoisha. Lakini kama Raisi Samia kajiandaa vitu na katumia vipi pesa za kodi. Kununua magari ya 600B gari moja 400M wewe tu ndiye unaona matumizi hayo ni muhimu. Huu ni mfano mmoja tu wa matumizi mabaya kati ya mengi.


Raisi Samia kashidwa kwenye
Rushwa, Umasikini na Haki jibu kwa hoja usije kubadilisha topic hapa
Kumbe wewe ni mpuuzi namna hii

Context ya usaid imekushinda sasa umehanisha Magoli

Hizo nyingine anzisha thread tukujibu

But DONT mix usaid na samia
 
Kumbe wewe ni mpuuzi namna hii

Context ya usaid imekushinda sasa umehanisha Magoli

Hizo nyingine anzisha thread tukujibu

But DONT mix usaid na samia

Mjadala ni huu nikumbushe tu sio USAID

Samia kashidwa swala la Rushwa, Haki na umasikini

Rushwa: Imeongezeka. Mikataba ya sirisiri na rushwa kila mahali
Haki: Hakuna tume huru ambayo haimtegemei raisi. wizi wa kura kwa kutumia Polisi na usalama
Umasikini: Huwezi kununua magari ya milioni 400 kwa bilioni 600 halafu unategemea dawa za ukimwi kutoka USAID! kwanini usiombe magari kama tatizo ni magari kama zamani. Dawa hazina 10%!!! na ndiyo sababu wakati haya magari ni rahisi kupata 10%
 
Mjadala ni huu nikumbushe tu sio USAID

Samia kashidwa swala la Rushwa, Haki na umasikini

Rushwa: Imeongezeka. Mikataba ya sirisiri na rushwa kila mahali
Haki: Hakuna tume huru ambayo haimtegemei raisi. wizi wa kura kwa kutumia Polisi na usalama
Umasikini: Huwezi kununua magari ya milioni 400 kwa bilioni 600 halafu unategemea dawa za ukimwi kutoka USAID! kwanini usiombe magari kama tatizo ni magari kama zamani. Dawa hazina 10%!!! na ndiyo sababu wakati haya magari ni rahisi kupata 10%
Tupe data mkuu from reputable indices

Because they all speak different language

And btw, from Mwinyi, mkapa, jakaya, magufujo…. Samia will be thr first president kutenga pesa na kununua arv Kwa pesa ya serikali

Watch this space
 
..Mama Abduli anachoweza ni kupigwa picha baas. Hana kitu kingine anachoweza.
 
Back
Top Bottom