Tetesi: Samia kuhudhuria mazishi ya Shinzo Abe Japan

Tetesi: Samia kuhudhuria mazishi ya Shinzo Abe Japan

Japan ni mshirika mkubwa sana wa maendelea Tanzania na katoa misaada na mikopo ming sana ya maendeleo hapa Tz.
Km ataenda ktk mazishi inaweza kua ni sawa
 
Kila la kheri Raisi wangu.huenda hata Gulf stream ilikuwa imeanza kupata kutu.
 
Chama chetu cha CUK (chama cha ujamaa na kujitegemea) Baada ya katiba Mpya kupatikana na kupewa ridhaa kuongoza nchi

"Kitahakikisha Rais wetu anaenda kwenye mazishi akiwa na Gari maalumu tena salama lililotengenezwa nchini kwetu,Ili kuepuka fedheha ya kusokomezwa kwenye bas kama Watoto wa shule"

Hatutokubali urais una hadhi yake hasa unapokuwa Rais unaetokana na chama chetu cha CUK!
 
Kuna tatizo gani akihudhuria? Tena Japan ni washirika wetu wakubwa wa kimaendeleo.

Unakoelekea unaenda kuwa mchawi kamili, Kwa Sasa umekosa vitendea kazi tu.
Walituachia mradi mzuri sana,kapunga mbeya...

Kazi za kajima na konoike nazo zilikuwa si mchezo

Taasisi ya pia ya JICA Imesaidia sana tanzania

Ova
 
Mlisema Jiwe mshamba hasafiri. Mama mnalalamika anasafiri sana. Mitanganyika bana
 
Inatarajiwa mnamo tarehe 27 mwezi huu Samia atahudhuria mazishi ya Waziri Mkuu mstaafu wa Japan Hayati Shinzo Abe.

Abe alipigwa na risasi iliyosababisha kifo chake.
Mama angepumzika jamani
 
Japan ni mshirika mkubwa sana wa maendelea Tanzania na katoa misaada na mikopo ming sana ya maendeleo hapa Tz.
Km ataenda ktk mazishi inaweza kua ni sawa
Ila bado wanatukamua sana kwenye hayo ma vx yao wanayotuuzia.

Almost kila baada ya dakika unapishana na gari ya mjapani.

Wananifaika mno na pesa zetu.
 
Amtume hata Kassim au Tulia, maana wamekaa benchi utadhani Kakolanya pale Simba
 
Ila bado wanatukamua sana kwenye hayo ma vx yao wanayotuuzia.

Almost kila baada ya dakika unapishana na gari ya mjapani.

Wananifaika mno na pesa zetu.
Wewe huna akili kama Ccm wenzako, serikali yako ya Ccm ya matapeli hawanunui magari kiwandani, wanawatumia Toyota Tanzania kuagiza Kwa sababu ya ten percent.

Hayo magari ukiagiza straight kiwandani unaokowa pesa nyingi sana Kwa kila gari, ila hizo ten percent ndio mtaji wenu wajanja wa serikali ya Ccm, na ndio maana wapo tayari kuuwa kuliko kuachia Madaraka Kwa amani.
 
Nataman ndege yake ianguke halafu .............. pekee yake tuu wengine wote wabaki ............
 
Ila bado wanatukamua sana kwenye hayo ma vx yao wanayotuuzia.

Almost kila baada ya dakika unapishana na gari ya mjapani.

Wananifaika mno na pesa zetu.
Siyo kila baada ya dakika moja, sema kwenye kila mia tisini na tano ni za japan, hasa hizi ndogo
 
Kuna tatizo gani akihudhuria? Tena Japan ni washirika wetu wakubwa wa kimaendeleo.

Unakoelekea unaenda kuwa mchawi kamili, Kwa Sasa umekosa vitendea kazi tu.

Mbona amendikwa kwa kutoa Taarifa tu kuna sehemu ameandika kua ni tatizo , nadhani mchawi atakua wewe mwenye tafsiri ovu
 
Back
Top Bottom