Nimemuona Ruto pia na mke wake...ila Biden karuhusiwa kutumia the BeastAt least imeijionea kwa macho yake bosi kapakiwa kwenye POLEPOLE EXPRESS huko Uingereza 😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemuona Ruto pia na mke wake...ila Biden karuhusiwa kutumia the BeastAt least imeijionea kwa macho yake bosi kapakiwa kwenye POLEPOLE EXPRESS huko Uingereza 😀😀
Nimetoa taarifa za ki- duru.Imekuuumaaaa pyeeeeeeee
Walituachia mradi mzuri sana,kapunga mbeya...Kuna tatizo gani akihudhuria? Tena Japan ni washirika wetu wakubwa wa kimaendeleo.
Unakoelekea unaenda kuwa mchawi kamili, Kwa Sasa umekosa vitendea kazi tu.
Mama angepumzika jamaniInatarajiwa mnamo tarehe 27 mwezi huu Samia atahudhuria mazishi ya Waziri Mkuu mstaafu wa Japan Hayati Shinzo Abe.
Abe alipigwa na risasi iliyosababisha kifo chake.
Ila bado wanatukamua sana kwenye hayo ma vx yao wanayotuuzia.Japan ni mshirika mkubwa sana wa maendelea Tanzania na katoa misaada na mikopo ming sana ya maendeleo hapa Tz.
Km ataenda ktk mazishi inaweza kua ni sawa
Usalama wa ndege ni lazima iwe angani masaa mengi !!Kila la kheri Raisi wangu.huenda hata Gulf stream ilikuwa imeanza kupata kutu.
Wewe huna akili kama Ccm wenzako, serikali yako ya Ccm ya matapeli hawanunui magari kiwandani, wanawatumia Toyota Tanzania kuagiza Kwa sababu ya ten percent.Ila bado wanatukamua sana kwenye hayo ma vx yao wanayotuuzia.
Almost kila baada ya dakika unapishana na gari ya mjapani.
Wananifaika mno na pesa zetu.
Wewe bado kupata tunguri tu lakini tayari wewe ni mchawi kamili.Nataman ndege yake ianguke halafu .............. pekee yake tuu wengine wote wabaki ............
Wap nimesema mambo ya kifo.?Wewe bado kupata tunguri tu lakini tayari wewe ni mchawi kamili.
Sasa utakufa wewe huyo utamuacha hai.
Siyo kila baada ya dakika moja, sema kwenye kila mia tisini na tano ni za japan, hasa hizi ndogoIla bado wanatukamua sana kwenye hayo ma vx yao wanayotuuzia.
Almost kila baada ya dakika unapishana na gari ya mjapani.
Wananifaika mno na pesa zetu.
WeeeeeeAbe alipigwa na risasi iliyosababisha kifo chake.
Kuna tatizo gani akihudhuria? Tena Japan ni washirika wetu wakubwa wa kimaendeleo.
Unakoelekea unaenda kuwa mchawi kamili, Kwa Sasa umekosa vitendea kazi tu.