Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Sio vibaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona amendikwa kwa kutoa Taarifa tu kuna sehemu ameandika kua ni tatizo , nadhani mchawi atakua wewe mwenye tafsiri ovu
Sehemu kubwa ya mikopo inapelekwa Zanzibar deni tunalipa baraKuzurura kila siku kuomba mikopo ya kujenga vyoo, Kenya wanazurura wanaleta wawekezaji wa maana kama Microsoft, AWS etc. Pumbav
Kuna tatizo gani akihudhuria? Tena Japan ni washirika wetu wakubwa wa kimaendeleo.
Unakoelekea unaenda kuwa mchawi kamili, Kwa Sasa umekosa vitendea kazi tu.
Huyu mama hana wawakilishi kwani? Kila safari ya kimataifa yeye tu. Makamo wake anapigishwa town trip mpaka anakosa cha kuongea kufikia kusingizia wavuvi wanatumia maji ya maiti. Hii yote ni kudumaa kwa akili kwa safari za ndani humu humu.
Mbona enzi za umakamo wake alikuwa anatumwa kuwakilisha, ila yeye kila sehemu anakomaa mwenyewe. Yani sasa hivi watu wakiona ushungi tu wanajua shangazi kaja.
Mambo ya Ccm ni yepi?Wewe chadema mambo ya ccm yanakukereta vipi? Au unatekeleza ile sababu iliyojificha[emoji16]
Mama kweli anaupiga mwingi. Mpaka akimaliza muda wake nahisi itabaki North Korea tu. Kwingine kote atakuwa keshapamaliza.Leo yuko Msumbiji. Labda ataondokea huko huko ..
Nilimuona huko kwa BidenHuyu mama hana wawakilishi kwani? Kila safari ya kimataifa yeye tu. Makamo wake anapigishwa town trip mpaka anakosa cha kuongea kufikia kusingizia wavuvi wanatumia maji ya maiti. Hii yote ni kudumaa kwa akili kwa safari za ndani humu humu.
Mbona enzi za umakamo wake alikuwa anatumwa kuwakilisha, ila yeye kila sehemu anakomaa mwenyewe. Yani sasa hivi watu wakiona ushungi tu wanajua shangazi kaja.
Duh !!Inatarajiwa mnamo tarehe 27 mwezi huu Samia atahudhuria mazishi ya Waziri Mkuu mstaafu wa Japan Hayati Shinzo Abe.
Abe alipigwa risasi iliyosababisha kifo chake.
Umemjibu vyema maana watu wanamakasiliko mpaka yanapitiliza Rais Samia Suluhu kama akienda Japani atakua anaimarisha diplomasia ya uchumi maana japani ni washilika wetu wakubwa katika biashara mbalimbaliKuna tatizo gani akihudhuria? Tena Japan ni washirika wetu wakubwa wa kimaendeleo.
Unakoelekea unaenda kuwa mchawi kamili, Kwa Sasa umekosa vitendea kazi tu.