Tetesi: Samia kuhudhuria mazishi ya Shinzo Abe Japan

Kuzurura kila siku kuomba mikopo ya kujenga vyoo, Kenya wanazurura wanaleta wawekezaji wa maana kama Microsoft, AWS etc. Pumbav
Sehemu kubwa ya mikopo inapelekwa Zanzibar deni tunalipa bara
 
Wewe chadema mambo ya ccm yanakukereta vipi? Au unatekeleza ile sababu iliyojificha[emoji16]
Kuna tatizo gani akihudhuria? Tena Japan ni washirika wetu wakubwa wa kimaendeleo.

Unakoelekea unaenda kuwa mchawi kamili, Kwa Sasa umekosa vitendea kazi tu.
 

Leo yuko Msumbiji. Labda ataondokea huko huko ..
 
Nilimuona huko kwa Biden
 
Kuna tatizo gani akihudhuria? Tena Japan ni washirika wetu wakubwa wa kimaendeleo.

Unakoelekea unaenda kuwa mchawi kamili, Kwa Sasa umekosa vitendea kazi tu.
Umemjibu vyema maana watu wanamakasiliko mpaka yanapitiliza Rais Samia Suluhu kama akienda Japani atakua anaimarisha diplomasia ya uchumi maana japani ni washilika wetu wakubwa katika biashara mbalimbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…