Pre GE2025 Samia mitano tena sio kwasababu ni Mwanamke! Ni kielelezo cha Uwezo wa Mwanamke katika Uongozi

Pre GE2025 Samia mitano tena sio kwasababu ni Mwanamke! Ni kielelezo cha Uwezo wa Mwanamke katika Uongozi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi,

Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo.

Hapa naileta kama swali, hii dhana na kauli mbiu ya Samia Mitano.Tena, kufuatia ile the spirit ya 2025, "twende na mwanamke" , hatuendi na mwanamke kwa ya jinsia yake ya kike, tunakwenda na mwanamke kwasababu ya uwezo wa mwanamke kwenye kuutumikia urais ambapo Rais Samia ameonyesha kuwa ni Kielelezo cha Uwezo wa Mwanamke Katika Uongozi kwa posti ya urais, hivyo mitano tena sio kwa rais mwanamke, bali ni mitano tena kwa rais wa JMT kwa mujibu wa katiba, ila safari hii, ame happen kuwa ni mwanamke.

Swali ni je tumpee na wabunge na madiwani wanawake wa kutosha? au mitano tena mwanamke ni kwenye urais tuu, kwenye ubunge na udiwani, tumchanganyie na midume?

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Angalizo la Uchawa!.
Baada ya kuibuka fani mpya ya ajira iitwayo, uchawa, mtu akimsifu kiongozi yoyote, atanyooshewa vidole vya uchawa. Mimi jameni sio chawa hili nimelisema wazi humu na nimeliandikia makala Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!

Kwa vile jf ni ukumbi wa wote, simple mind, discuss people, hawa watamjadili mtu, mleta mada!.
Ordinary mind wata discuss event.
Great mind wao wata discuss mada iliyo mezani, hivyo great mind watafollow link, watasoma ndipo watachangia!.


Karibuni

Paskali
 
Pascal Mayalla Mimi kama kijana wako(31yr), nimekuelewa na umeandika kitu cha maana na Cha kuwaza sana kama mwananchi wa TZ. Umeonesha kifilosofia jinsi historia inavyoandikwa sometimes bila sisi wanadamu kupanga, lakini mwisho wa siku, Mungu ndiye mpangaji mkuu. Tanzania kumpata Rais mwanamke ilikuwa kama bahati ya kisiasa, lakini ukweli ni kwamba hii ni hatua kubwa kwenye equality ya uongozi. Sasa, kama Mzee wangu unavyosema, hatutaki hii iwe tu bahati mbaya,tunataka iwe destiny tunayochagua wenyewe na kama tuamue iwe ndio standard yetu ya maisha ya Kila siku sio kufake tu.

Kama taifa, tunapaswa kuelewa kuwa leadership sio suala la jinsia, ni competence na vision. Hatuwezi kusema Samia alipata nafasi tu kwa sababu ya mazingira, lazima tukubali kwamba ana uwezo na amefanya makubwa. Kama kweli tunataka maendeleo ya ukweli, 2025 hatutaki tu kuachia mambo kwa flow au Kwa Qudura za Mungu tu. Tunataka watu waamke, wafikirie, na wachague viongozi kwa merit, sio kwa bahati tu.

Hii ni kama life yenyewe, unajipanga ama unapangika. Mungu anatoa mamlaka kwa anayestahili, lakini sisi kama watu tunahitaji kufanya maamuzi sahihi ili tusije tukawa watu wa "ilikuwa tu bahati." Time ya kulilia historia imeisha, sasa ni time ya kupanga future yetu wenyewe.

Asante Kwa Bandiko lako Mwandishi.
 
"Mayalla kikwetu maana yake njaa" Jpm
20250313_004818.jpg
 
Pascal Mayalla Mimi kama kijana wako(31yr), nimekuelewa na umeandika kitu cha maana na Cha kuwaza sana kama mwananchi wa TZ. Umeonesha kifilosofia jinsi historia inavyoandikwa sometimes bila sisi wanadamu kupanga, lakini mwisho wa siku, Mungu ndiye mpangaji mkuu. Tanzania kumpata Rais mwanamke ilikuwa kama bahati ya kisiasa, lakini ukweli ni kwamba hii ni hatua kubwa kwenye equality ya uongozi. Sasa, kama Mzee wangu unavyosema, hatutaki hii iwe tu bahati mbaya,tunataka iwe destiny tunayochagua wenyewe na kama tuamue iwe ndio standard yetu ya maisha ya Kila siku sio kufake tu.

Kama taifa, tunapaswa kuelewa kuwa leadership sio suala la jinsia, ni competence na vision. Hatuwezi kusema Samia alipata nafasi tu kwa sababu ya mazingira, lazima tukubali kwamba ana uwezo na amefanya makubwa. Kama kweli tunataka maendeleo ya ukweli, 2025 hatutaki tu kuachia mambo kwa flow au Kwa Qudura za Mungu tu. Tunataka watu waamke, wafikirie, na wachague viongozi kwa merit, sio kwa bahati tu.

Hii ni kama life yenyewe, unajipanga ama unapangika. Mungu anatoa mamlaka kwa anayestahili, lakini sisi kama watu tunahitaji kufanya maamuzi sahihi ili tusije tukawa watu wa "ilikuwa tu bahati." Time ya kulilia historia imeisha, sasa ni time ya kupanga future yetu wenyewe.

Asante Kwa Bandiko lako Mwandishi.
Mkuu Kukimonsta coockie monster, asante kwa post yako, kati ya wachangiaji wote 19 wa page 1 ya bandiko hili, you are the only one uliechangia mada iliyopo mezani. Thanks.
P
 
Back
Top Bottom