Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Pascal Mayalla ni CHAWA pro, CHAWA plus, CHAWA lialiaWanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo.
Hapa naileta kama swali, hii dhana na kauli mbiu ya Samia Mitano.Tena, kufuatia ile the spirit ya 2025, "twende na mwanamke" , hatuendi na mwanamke kwa ya jinsia yake ya kike, tunakwenda na mwanamke kwasababu ya uwezo wa mwanamke kwenye kuutumikia urais ambapo Rais Samia ameonyesha kuwa ni Kielelezo cha Uwezo wa Mwanamke Katika Uongozi kwa posti ya urais, hivyo mitano tena sio kwa rais mwanamke, bali ni mitano tena kwa rais wa JMT kwa mujibu wa katiba, ila safari hii, ame happen kuwa ni mwanamke!.
Swali ni je tumpee na wabunge na madiwani wanawake wa kutosha? au mitano tena mwanamke ni kwenye urais tuu, kwenye ubunge na udiwani, tumchanganyie na midume?.
Angalizo la Uchawa!.
Baada ya kuibuka fani mpya ya ajira iitwayo, uchawa, mtu akimsifu kiongozi yoyote, atanyooshewa vidole vya uchawa!, mimi jameni sio chawa!, hili nimelisema wazi humu na nimeliandikia makala Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
Kwa vile jf ni ukumbi wa wote, simple mind, discuss people, hawa watamjadili mtu, mleta mada!.
Ordinary mind wata discuss event.
Great mind wao wata discuss mada iliyo mezani, hivyo great mind watafollow link, watasoma ndipo watachangia!.
Karibuni
Paskali
Nawe umeangukia kundi hili?Inasikitisha sana Mzee kama wewe kuwa Chawa
Vipi Comrade, Mama ameshakubali kuifanyia marekebisho tume ya uchaguzi ili iwe huru kwa 100%, na hivyo kutengeneza mazingira ya kufanyika kwa uchaguzi huru na wa haki? Vipi kuhusu yale mapungufu ya kuzuia mgombea binafsi, yamepatiwa ufumbuzi?Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo.
Hapa naileta kama swali, hii dhana na kauli mbiu ya Samia Mitano.Tena, kufuatia ile the spirit ya 2025, "twende na mwanamke" , hatuendi na mwanamke kwa ya jinsia yake ya kike, tunakwenda na mwanamke kwasababu ya uwezo wa mwanamke kwenye kuutumikia urais ambapo Rais Samia ameonyesha kuwa ni Kielelezo cha Uwezo wa Mwanamke Katika Uongozi kwa posti ya urais, hivyo mitano tena sio kwa rais mwanamke, bali ni mitano tena kwa rais wa JMT kwa mujibu wa katiba, ila safari hii, ame happen kuwa ni mwanamke!.
Swali ni je tumpee na wabunge na madiwani wanawake wa kutosha? au mitano tena mwanamke ni kwenye urais tuu, kwenye ubunge na udiwani, tumchanganyie na midume?.
Angalizo la Uchawa!.
Baada ya kuibuka fani mpya ya ajira iitwayo, uchawa, mtu akimsifu kiongozi yoyote, atanyooshewa vidole vya uchawa!, mimi jameni sio chawa!, hili nimelisema wazi humu na nimeliandikia makala Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
Kwa vile jf ni ukumbi wa wote, simple mind, discuss people, hawa watamjadili mtu, mleta mada!.
Ordinary mind wata discuss event.
Great mind wao wata discuss mada iliyo mezani, hivyo great mind watafollow link, watasoma ndipo watachangia!.
Karibuni
Paskali
Duh...!.Uhalisia ni kwamba wewe mwenyewe unajua ulichoandika sio ukweli.
Kuna watu wakuandika ilimradi wameandika. Lakini mwandishi makini, mwenye msimamo na ambae anajitambua ni sehemu ya balance and checks za nchi hawezi andika upuuzi huu.
Ndio ‘bi-tozo’, keshapitishwa na CCM, kwa mazingira ya Tanzania atashinda uchaguzi (might as well maana upinzani wenyewe hovyo), lakini uwezi kutuandikia jukwaani huyo mama ana uwezo wa kuendesha nchi.
Hata wewe deep down, unajua that’s a lie.
Tafuta namna nyingine ya ku-promote propaganda causes zako lakini sio kuandika uongo ambao ni wa wazi; hata wewe unajua .unaandika uongo.
Nchi yetu tumekuwa wajinga wajinga mfano huyu mayala ni role model wa waandishi wengi lakini anachoandika kama yupo sober
Ulitegemea nini mkuu huyo uwezo wake mdogo sana ni mfuata upepoNawe umeangukia kundi hili?
Unaniuliza maswali ambayo nikisema tuyafumue kwa basis ya ‘critical analysis’ kutokana na ulichoandika. Hiyo post yangu aitokuwa kind to you kutokatana na ulichoandika.Duh...!.
Nimeleta bandiko lenye hoja, nimetetea hoja yangu, you are free, kupangua hoja, kwa hoja mbadala,
Ina maana mimi ni muongo na nasema uongo kumhusu Samia.
Je hoja hizi ni uongo kumhusu Rais Samia?.
P
Rais Bora kabisa kuwahi kutokea.Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo.
Hapa naileta kama swali, hii dhana na kauli mbiu ya Samia Mitano.Tena, kufuatia ile the spirit ya 2025, "twende na mwanamke" , hatuendi na mwanamke kwa ya jinsia yake ya kike, tunakwenda na mwanamke kwasababu ya uwezo wa mwanamke kwenye kuutumikia urais ambapo Rais Samia ameonyesha kuwa ni Kielelezo cha Uwezo wa Mwanamke Katika Uongozi kwa posti ya urais, hivyo mitano tena sio kwa rais mwanamke, bali ni mitano tena kwa rais wa JMT kwa mujibu wa katiba, ila safari hii, ame happen kuwa ni mwanamke!.
Swali ni je tumpee na wabunge na madiwani wanawake wa kutosha? au mitano tena mwanamke ni kwenye urais tuu, kwenye ubunge na udiwani, tumchanganyie na midume?.
Angalizo la Uchawa!.
Baada ya kuibuka fani mpya ya ajira iitwayo, uchawa, mtu akimsifu kiongozi yoyote, atanyooshewa vidole vya uchawa!, mimi jameni sio chawa!, hili nimelisema wazi humu na nimeliandikia makala Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
Kwa vile jf ni ukumbi wa wote, simple mind, discuss people, hawa watamjadili mtu, mleta mada!.
Ordinary mind wata discuss event.
Great mind wao wata discuss mada iliyo mezani, hivyo great mind watafollow link, watasoma ndipo watachangia!.
Karibuni
Paskali
NO REFORMS NO ELECTION DADEKIWanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo.
Hapa naileta kama swali, hii dhana na kauli mbiu ya Samia Mitano.Tena, kufuatia ile the spirit ya 2025, "twende na mwanamke" , hatuendi na mwanamke kwa ya jinsia yake ya kike, tunakwenda na mwanamke kwasababu ya uwezo wa mwanamke kwenye kuutumikia urais ambapo Rais Samia ameonyesha kuwa ni Kielelezo cha Uwezo wa Mwanamke Katika Uongozi kwa posti ya urais, hivyo mitano tena sio kwa rais mwanamke, bali ni mitano tena kwa rais wa JMT kwa mujibu wa katiba, ila safari hii, ame happen kuwa ni mwanamke!.
Swali ni je tumpee na wabunge na madiwani wanawake wa kutosha? au mitano tena mwanamke ni kwenye urais tuu, kwenye ubunge na udiwani, tumchanganyie na midume?.
Angalizo la Uchawa!.
Baada ya kuibuka fani mpya ya ajira iitwayo, uchawa, mtu akimsifu kiongozi yoyote, atanyooshewa vidole vya uchawa!, mimi jameni sio chawa!, hili nimelisema wazi humu na nimeliandikia makala Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
Kwa vile jf ni ukumbi wa wote, simple mind, discuss people, hawa watamjadili mtu, mleta mada!.
Ordinary mind wata discuss event.
Great mind wao wata discuss mada iliyo mezani, hivyo great mind watafollow link, watasoma ndipo watachangia!.
Karibuni
Paskali
Pascal Mayalla Mimi kama kijana wako(31yr), nimekuelewa na umeandika kitu cha maana na Cha kuwaza sana kama mwananchi wa TZ. Umeonesha kifilosofia jinsi historia inavyoandikwa sometimes bila sisi wanadamu kupanga, lakini mwisho wa siku, Mungu ndiye mpangaji mkuu. Tanzania kumpata Rais mwanamke ilikuwa kama bahati ya kisiasa, lakini ukweli ni kwamba hii ni hatua kubwa kwenye equality ya uongozi. Sasa, kama Mzee wangu unavyosema, hatutaki hii iwe tu bahati mbaya,tunataka iwe destiny tunayochagua wenyewe na kama tuamue iwe ndio standard yetu ya maisha ya Kila siku sio kufake tu.
Kama taifa, tunapaswa kuelewa kuwa leadership sio suala la jinsia, ni competence na vision. Hatuwezi kusema Samia alipata nafasi tu kwa sababu ya mazingira, lazima tukubali kwamba ana uwezo na amefanya makubwa. Kama kweli tunataka maendeleo ya ukweli, 2025 hatutaki tu kuachia mambo kwa flow au Kwa Qudura za Mungu tu. Tunataka watu waamke, wafikirie, na wachague viongozi kwa merit, sio kwa bahati tu.
Hii ni kama life yenyewe, unajipanga ama unapangika. Mungu anatoa mamlaka kwa anayestahili, lakini sisi kama watu tunahitaji kufanya maamuzi sahihi ili tusije tukawa watu wa "ilikuwa tu bahati." Time ya kulilia historia imeisha, sasa ni time ya kupanga future yetu wenyewe.
Asante Kwa Bandiko lako Mwandishi.
Mada yako inahitaji great thinkers wanaosoma na kuelewa maudhui ya kile ulichokiandika. Wengi wetu tumesoma tu kichwa cha habari na kuanza kutukana. Kama wangesoma na kuelewa ulichokiandika kwakweli ungepata sifa lukuki. Tatizo letu hatusomi na tunapenda nyuzi nyepesi nyepesi ambazo haziumizi kichwa kuzielewa. Mzee wangu endelea hivi hivi sisi wachache tunakuelewa sana na wewe siyo Chawa ila ni great thinker na only great thinkers ndio wanakuelewa.Mkuu Kukimonsta coockie monster, asante kwa post yako, kati ya wachangiaji wote 19 wa page 1 ya bandiko hili, you are the only one uliechangia mada iliyopo mezani. Thanks.
P
Huna mtu mseng...km p"Mayalla kikwetu maana yake njaa" Jpm
View attachment 3268478
Performance yake kwenye Uongozi.Unaniuliza maswali ambayo nikisema tuyafumue kwa basis of ‘critical analysis’ kutokana na ulichoandika. Hiyo post yangu aitokuwa kind kutokatana na ulichoandika.
Kwa mfano what metric measure, umetumia kusema Samia ni kielelezo cha mafanikio ya mwanamke (based on performance, meritocracy hadi kufikia hapo) zaidi ya kudra za mwenyezi mungu tu.
Au wanawake gani Tanzania wenye ubinifu waliojuu zaidi ya bahati tu au hata huko private mafanikio yao ni kutegemea serikali tu.
Hakuna wanawake wa maana Tanzania ya kubebwa tu.
Sawasawa kampeni Meneja . Lakini hatashindaWanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo.
Hapa naileta kama swali, hii dhana na kauli mbiu ya Samia Mitano.Tena, kufuatia ile the spirit ya 2025, "twende na mwanamke" , hatuendi na mwanamke kwa ya jinsia yake ya kike, tunakwenda na mwanamke kwasababu ya uwezo wa mwanamke kwenye kuutumikia urais ambapo Rais Samia ameonyesha kuwa ni Kielelezo cha Uwezo wa Mwanamke Katika Uongozi kwa posti ya urais, hivyo mitano tena sio kwa rais mwanamke, bali ni mitano tena kwa rais wa JMT kwa mujibu wa katiba, ila safari hii, ame happen kuwa ni mwanamke.
Swali ni je tumpee na wabunge na madiwani wanawake wa kutosha? au mitano tena mwanamke ni kwenye urais tuu, kwenye ubunge na udiwani, tumchanganyie na midume?
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Angalizo la Uchawa!.
Baada ya kuibuka fani mpya ya ajira iitwayo, uchawa, mtu akimsifu kiongozi yoyote, atanyooshewa vidole vya uchawa. Mimi jameni sio chawa hili nimelisema wazi humu na nimeliandikia makala Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
Kwa vile jf ni ukumbi wa wote, simple mind, discuss people, hawa watamjadili mtu, mleta mada!.
Ordinary mind wata discuss event.
Great mind wao wata discuss mada iliyo mezani, hivyo great mind watafollow link, watasoma ndipo watachangia!.
Karibuni
Paskali
Duuuuh.... hakika Mungu pokea dua zetu tupate hela... Umaskini unatweza utu wetu Mwenyezi Mungu. Waliotuheshimu sasa wanatudharau sababu ya njaa zetu Mwenyezi Mungu. Eeeh baba tufungulie milango ya rizki za halali yetu. Tunajidhalilisha sana hivi sasa, maana inatulazimu kufanya tusiyopenda mradi tupate chochote cha familia...Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo.
Hapa naileta kama swali, hii dhana na kauli mbiu ya Samia Mitano.Tena, kufuatia ile the spirit ya 2025, "twende na mwanamke" , hatuendi na mwanamke kwa ya jinsia yake ya kike, tunakwenda na mwanamke kwasababu ya uwezo wa mwanamke kwenye kuutumikia urais ambapo Rais Samia ameonyesha kuwa ni Kielelezo cha Uwezo wa Mwanamke Katika Uongozi kwa posti ya urais, hivyo mitano tena sio kwa rais mwanamke, bali ni mitano tena kwa rais wa JMT kwa mujibu wa katiba, ila safari hii, ame happen kuwa ni mwanamke.
Swali ni je tumpee na wabunge na madiwani wanawake wa kutosha? au mitano tena mwanamke ni kwenye urais tuu, kwenye ubunge na udiwani, tumchanganyie na midume?
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Angalizo la Uchawa!.
Baada ya kuibuka fani mpya ya ajira iitwayo, uchawa, mtu akimsifu kiongozi yoyote, atanyooshewa vidole vya uchawa. Mimi jameni sio chawa hili nimelisema wazi humu na nimeliandikia makala Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
Kwa vile jf ni ukumbi wa wote, simple mind, discuss people, hawa watamjadili mtu, mleta mada!.
Ordinary mind wata discuss event.
Great mind wao wata discuss mada iliyo mezani, hivyo great mind watafollow link, watasoma ndipo watachangia!.
Karibuni
Paskali
Hii style inaitwa "Anzisha thread na mama"Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo.
Hapa naileta kama swali, hii dhana na kauli mbiu ya Samia Mitano.Tena, kufuatia ile the spirit ya 2025, "twende na mwanamke" , hatuendi na mwanamke kwa ya jinsia yake ya kike, tunakwenda na mwanamke kwasababu ya uwezo wa mwanamke kwenye kuutumikia urais ambapo Rais Samia ameonyesha kuwa ni Kielelezo cha Uwezo wa Mwanamke Katika Uongozi kwa posti ya urais, hivyo mitano tena sio kwa rais mwanamke, bali ni mitano tena kwa rais wa JMT kwa mujibu wa katiba, ila safari hii, ame happen kuwa ni mwanamke.
Swali ni je tumpee na wabunge na madiwani wanawake wa kutosha? au mitano tena mwanamke ni kwenye urais tuu, kwenye ubunge na udiwani, tumchanganyie na midume?
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Angalizo la Uchawa!.
Baada ya kuibuka fani mpya ya ajira iitwayo, uchawa, mtu akimsifu kiongozi yoyote, atanyooshewa vidole vya uchawa. Mimi jameni sio chawa hili nimelisema wazi humu na nimeliandikia makala Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
Kwa vile jf ni ukumbi wa wote, simple mind, discuss people, hawa watamjadili mtu, mleta mada!.
Ordinary mind wata discuss event.
Great mind wao wata discuss mada iliyo mezani, hivyo great mind watafollow link, watasoma ndipo watachangia!.
Karibuni
Paskali