Pre GE2025 Samia mitano tena sio kwasababu ni Mwanamke! Ni kielelezo cha Uwezo wa Mwanamke katika Uongozi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Pascal. Nimesoma andiko lako pamoja na hiyo link uliyo ambatanisha, itoshe kusema hoja yako ipo katka U-Jinsia. Japokua umepinga kwenye kichwa chako Cha habari lakin kwenye andiko lako hoja yako imejikita huko 50/50. Tuache hilo.

Mimi nadhani Pascal katka mind hizo unazo taja hapo itoshe kusema wewe ni "Small mind" unaongea mtu na siyo mawazo yake pamoja sera zake.

Nadhani kama ungekua na "Great mind" unajadili idea ya mtu sidhani kama ungempigia Samia promotion kiasi hichi.

Kwa akili yangu ndogo hii nadhan Tungejikita zaidi kujadili mawazo ya mtu, na hii ingetusadia kupata viongozi ambao ni competence and visionary ambao wanaweza kulisogeza Taifa mbele na siyo kumpamba na kum-promote kama wewe unavyo fanya hivi.

Samia hotuba zake tu zinatosha kujua ni mtu wa aina gani? Huwezi sema tuzingatie 50/50 wakati huo aliyopo ameshindwa kuzifuata, yeye ndiye alitakiwa awe mfano, ameshindwa kuzitimiza, je! Kuna haja tena ya kuendelea kumwamini mtu huyu?

Anyway
 
Ankali P-
yangu ni haya tu - Uongozi, Bora Uongozi na Uongozi Bora. La ktaikwa maana Bora Uongozi ni yale ya combination of an Idiot and leadreship ambayo ni disaster. Najua humo hatupo. kati ya mawili yalobakia, chaguo ni UONGOZI BORA. ndilo hitaji
 
Mayala ni tapeli sana, anaandika vitu halafu anaweka mipaka ya uchangiaji eti kuna watu wataanza kumdiscuss mleta mada ! Sasa kwa vitu unaandika siku hizi unategemea tukuangalie tu na maujinga yako ya kumsifiasifia huyo mtu na sisi pia tuna akili zetu bwana, huyu bi mdashi na ccm wanazingua halafu na nyinyi wazee wa kusifia ujinga unaoendelea kwa kujifanya mna busara. NO TIME YA BUSARA NOW! mambo ni NO REFORM NO ELECTION ! OVER
 
Nilijua ungesema tumpee mitano tena kwa sababu 1,2,3,4,5,6…sasa naungana na wanaosema unaelekea kuchanganyikiwa
 
P adv.certificate ama ile press card unayo kweli au zilikuwa consficated?
 
pascal nani hajui kama remote iko msoga.,? Mbona mnamsifia lakini matendo hakuna? Hamuoni aibu? Ina maana taifa hili halina watu wenye uwezo wa kujenga ncha mnaona bora huyo anaekopa kila siku na kuingia mikataba itakayoligarimu taifa? Na mtu akisema ukweli mnamla kichwa. Hali ni mbaya kila idara. Kubali tu pascal siku hizi umekuwa chawa kwa sababu unasound kama chawa.
 
Sawa,twende na mwanamke au twende na Dr Samia ?
sijaelewa🤔🤔🤔
  1. Kwanza ni twende na mwanamke, kisha,
  2. Mwanamke huyo ni Rais Samia.
Hii ni kufuatia Rais Samia ni mwanamke, na ameupata urais kwa kudra tuu ya Mwenyezi Mungu, na hii ni awamu yake ya kwanza, nilitoa wito Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Hivyo hakuna ubishi urais wa Tanzania ni haki miliki ya CCM and CCM Only!.

Maadam CCM imempitisha Samia, then, twende na Samia!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…