Pre GE2025 Samia ndio kiongozi pekee wa awamu ya 5 aliyeenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitalini lakini shukrani anayopata ni matusi na kumbagua

Pre GE2025 Samia ndio kiongozi pekee wa awamu ya 5 aliyeenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitalini lakini shukrani anayopata ni matusi na kumbagua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Samia suluhu Hassan ndio alikuwa Kiongozi pekee wa awamu ya 5 ambae alijitoa muhanga kwenda kumjulia Hali Tundu Lisu hospital Nairobi wakati wengine wakisubiria breaking news.

Lakini Cha ajabu Sasa Shukrani ya bwana Lisu Kwa Samia ni kumtukana,kumsinhizia anauza Mali za Watanganyika na kumfanyia ubaguzi wa kikabila na kimaeneo.

Lisu amejivika kilemba na kuwa champion wa kueneza chuki na ubaguzi Kwa Samia kana kwamba Kuna baya amelifanya.

Ikumbukwe kwamba, Ubinafsishaji wa Bandari sio kuuza na unalenga kudhibiti waliogeuza Bandari ya Dar shamba la bibi.

Ieleweke wazi kwamba Masai hawajafukuzwa Bali wamehamishiwa Kwa staha na fidia kupisha uhifadhi ya Ngorongo ambayo ilishaanza kuharibiwa na Wingi wa watu kinyume na sheria za kuanzishwa kwake.

Ikumbukwe Muungano haukusainiwa na Samia yeye kazi yake ni kuulinda ila Lisu anataka Samia auvunje, haiwezekani.

Ieleweke kwamba Asili za Watu wa Tanzania ni kutoka sehemu tofauti za Dunia ila Lisu anataka Samia ajigeuze abadili historia yake au?

Ieleweke Lisu alikimbia Nchi na Samia huyu huyu anaemtukana ndio amerenesha mazingira sawia ya uhuru wa kujieleza ila Lisu anamtusi.

View: https://twitter.com/PMadeleka/status/1792878597406855471?t=3j4TQ1NiLX56_gebKNSJFg&s=19

My Take
Ni wazi huyu bwana asiye na jema hakupaswa kuhurumiwa,waliojitosa kumsaidia wengine walifutwa kazi na wengine walidharirishwa na kusutwa ila Shukrani yake ni dhihaka.

Bora mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi, binadamu hapana.

Pole sana Samia,pole sana Tanzania.

Lisu na chama chake tuwakatae , Mwalimu alionya huu ubaguzi Toka kitambo.
 
Hivi mimi nikiitwa masai au mchaga nakuwa nibaguliwa? wewe una kitambulisho cha mzanzibar na unaruhusiwa kumiliki ardhi Zanzibar? acheni ujinga Lissu kaongea fact
Tangu lini huo ukawa Utambulisho wa Mtanzania?

Je Masai unaitwa kwenye mazingira ya utani ,kejeli au ubaguzi?

Zambi hii aliyoikataa Nyerere itawatafuna sana Chadema na Sukima gang
 
Onyesha hati ya ardhi na kitambulisho cha mzanzibar unachomiliki wewe, mimi siyo mpumbavu kama wewe na akili timamu ndiyo maana naweza kuhoji
Utaratibu wa Muungano uko wazi kwenye makubaliano yaliyofanywa baina ya Viongozi waasisi wa Tanganyika na Zanzibar

Hili la ubaguzi na kutaka kuivunja hii Nchi ni Kwa faida ya nani na ili iwaje?
 
Onyesha hati ya ardhi na kitambulisho cha mzanzibar unachomiliki wewe, mimi siyo mpumbavu kama wewe na akili timamu ndiyo maana naweza kuhoji
haha! sasa kaa hivyohivyo nakujiona unaakili kumbe zwazwa kazi kupiga kelele mitandaoni tu ndo kujiita waelevu!.. kwakuwa umekuja kimatusi nami naserereka nawewe hivyohivyo kenge kabisa!
 
Samia suluhu Hassan ndio alikuwa Kiongozi pekee wa awamu ya 5 ambae alijitoa muhanga kwenda kumjulia Hali Tundu Lisu hospital Nairobi wakati wengine wakisubiria breaking news.

Lakini Cha ajabu Sasa Shukrani ya bwana Lisu Kwa Samia ni kumtukana,kumsinhizia anauza Mali za Watanganyika na kumfanyia ubaguzi wa kikabila na kimaeneo.

Lisu amejivika kilemba na kuwa champion wa kueneza chuki na ubaguzi Kwa Samia kana kwamba Kuna baya amelifanya.

Ikumbukwe kwamba, Ubinafsishaji wa Bandari sio kuuza na unalenga kudhibiti waliogeuza Bandari ya Dar shamba la bibi.

Ieleweke wazi kwamba Masai hawajafukuzwa Bali wamehamishiwa Kwa staha na fidia kupisha uhifadhi ya Ngorongo ambayo ilishaanza kuharibiwa na Wingi wa watu kinyume na sheria za kuanzishwa kwake.

Ikumbukwe Muungano haukusainiwa na Samia yeye kazi yake ni kuulinda ila Lisu anataka Samia auvunje, haiwezekani.

Ieleweke kwamba Asili za Watu wa Tanzania ni kutoka sehemu tofauti za Dunia ila Lisu anataka Samia ajigeuze abadili historia yake au?

Ieleweke Lisu alikimbia Nchi na Samia huyu huyu anaemtukana ndio amerenesha mazingira sawia ya uhuru wa kujieleza ila Lisu anamtusi.

View: https://twitter.com/PMadeleka/status/1792878597406855471?t=3j4TQ1NiLX56_gebKNSJFg&s=19

My Take
Ni wazi huyu bwana asiye na jema hakupaswa kuhurumiwa,waliojitosa kumsaidia wengine walifutwa kazi na wengine walidharirishwa na kusutwa ila Shukrani yake ni dhihaka.

Bora mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi, binadamu hapana.

Pole sana Samia,pole sana Tanzania.

Lisu na chama chake tuwakatae , Mwalimu alionya huu ubaguzi Toka kitambo.

Sasa kwanini walifutwa kazi. Kosa lao kumsaidia binadam mwenzao. Hayo ndio mambo ya kukemea. Tunataka kudhibiti Moshi bila kudhibiti moto
 
Tangu lini huo ukawa Utambulisho wa Mtanzania?

Je Masai unaitwa kwenye mazingira ya utani ,kejeli au ubaguzi?

Zambi hii aliyoikataa Nyerere itawatafuna sana Chadema na Sukima gang
Nyerere siyo MUNGU achana naye alifanya kwa nafasi yake na hakuwa na hati miliki na nchi hii, watu wakihoji wanakuwa wabaguzi, acha upumbavu mzee wenzako wakija huku wanamiliki ardhi na kila kitu wewe huruhusiwi, Kilimanjaro au Dar kuna shida ya ardhi lakini hatujawahi kusikia Msukuma, Mnyiramba au mtanzania yoyote amezuiwa kumiliki ardhi Kilimanjaro au Dar sababu ardhi yao ni kidogo, acha ujinga amka kutoka kwenye upumbavu.
 
Ziseme hizo sababu usilete ujinga
Ujinga upi? Hujawahi sikia kwamba Zanzibar ni kisiwa kidogo kuliwa na sheria huria za Moja kwa Moja kama mnazotaka zitaua Ile identity yake?

Pili kwani wewe hujui kwamba TRA inakusanya pesa zaidi ya Bilioni 400 kutoka huko Hadi useme wao Wana Haki kuliko Bara?

Kwamba Nyerere alikuwa mjinga sana ila nyie msiojua kitu ndio werevu sio?
 
Samia suluhu Hassan ndio alikuwa Kiongozi pekee wa awamu ya 5 ambae alijitoa muhanga kwenda kumjulia Hali Tundu Lisu hospital Nairobi wakati wengine wakisubiria breaking news.

Lakini Cha ajabu Sasa Shukrani ya bwana Lisu Kwa Samia ni kumtukana,kumsinhizia anauza Mali za Watanganyika na kumfanyia ubaguzi wa kikabila na kimaeneo.

Lisu amejivika kilemba na kuwa champion wa kueneza chuki na ubaguzi Kwa Samia kana kwamba Kuna baya amelifanya.

Ikumbukwe kwamba, Ubinafsishaji wa Bandari sio kuuza na unalenga kudhibiti waliogeuza Bandari ya Dar shamba la bibi.

Ieleweke wazi kwamba Masai hawajafukuzwa Bali wamehamishiwa Kwa staha na fidia kupisha uhifadhi ya Ngorongo ambayo ilishaanza kuharibiwa na Wingi wa watu kinyume na sheria za kuanzishwa kwake.

Ikumbukwe Muungano haukusainiwa na Samia yeye kazi yake ni kuulinda ila Lisu anataka Samia auvunje, haiwezekani.

Ieleweke kwamba Asili za Watu wa Tanzania ni kutoka sehemu tofauti za Dunia ila Lisu anataka Samia ajigeuze abadili historia yake au?

Ieleweke Lisu alikimbia Nchi na Samia huyu huyu anaemtukana ndio amerenesha mazingira sawia ya uhuru wa kujieleza ila Lisu anamtusi.

View: https://twitter.com/PMadeleka/status/1792878597406855471?t=3j4TQ1NiLX56_gebKNSJFg&s=19

My Take
Ni wazi huyu bwana asiye na jema hakupaswa kuhurumiwa,waliojitosa kumsaidia wengine walifutwa kazi na wengine walidharirishwa na kusutwa ila Shukrani yake ni dhihaka.

Bora mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi, binadamu hapana.

Pole sana Samia,pole sana Tanzania.

Lisu na chama chake tuwakatae , Mwalimu alionya huu ubaguzi Toka kitambo.

Unataka kusema credit to unknown 😁😁😁
 
Maneno ya kibaguzi na chuki aliyoyatoa kumshambulia Rais wetu kipenzi kwa hakika yataendelea kuwa laana kubwa sana kwa lissu. Lissu ni mtu asiye na shukurani wala hekima za Kiutu uzima . Ni mtu aliyekosa uungwana na busara .kinywa na mdomo wake hauna kabisa staha na haelewagi azungumze nini awapo jukwaani .ni mtu asiyefaa kuwa kiongozi hata wa familia yake tu na ni bora ambapo familia yake inaishi yenyewe huko ugenini pengine inaweza kupata maarifa mazuri na ikawa na moyo wa utu,uungwana,shukurani,hekima ,busara na kujuwa namna binadamu wanavyopaswa kuishi na jamii.

Ndio maana hata suala la michango kwaajili ya kununua gari wanachama wa CHADEMA na watanzania wamegoma kumchangia kwa moyo maana wameona hana shukurani na ni mtu ambaye unaweza kumchangia leo na kesho akaja kukutukana matusi hadharani bila kosa lolote lile.
 
Back
Top Bottom