Pre GE2025 Samia ndio kiongozi pekee wa awamu ya 5 aliyeenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitalini lakini shukrani anayopata ni matusi na kumbagua

Pre GE2025 Samia ndio kiongozi pekee wa awamu ya 5 aliyeenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitalini lakini shukrani anayopata ni matusi na kumbagua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nyerere siyo MUNGU achana naye alifanya kwa nafasi yake na hakuwa na hati miliki na nchi hii, watu wakihoji wanakuwa wabaguzi, acha upumbavu mzee wenzako wakija huku wanamiliki ardhi na kila kitu wewe huruhusiwi, Kilimanjaro au Dar kuna shida ya ardhi lakini hatujawahi kusikia Msukuma, Mnyiramba au mtanzania yoyote amezuiwa kumiliki ardhi Kilimanjaro au Dar sababu ardhi yao ni kidogo, acha ujinga amka kutoka kwenye upumbavu.
Sio Mungu,Je aliharibu kipi? Hadhi ya Dar na Zanzibar ni sawa? Ardhi Tanznaia hii imeisha Hadi nyie wa Dar mseme hamna Ardhi?

Mwisho mwambieni Lisu atubu kabla hajapokea stahiki ya matendo yake ya ubaguzi,chuki na uzushi.
 
Ujinga upi? Hujawahi sikia kwamba Zanzibar ni kisiwa kidogo kuliwa na sheria huria za Moja kwa Moja kama mnazotaka zitaua Ile identity yake?

Pili kwani wewe hujui kwamba TRA inakusanya pesa zaidi ya Bilioni 400 kutoka huko Hadi useme wao Wana Haki kuliko Bara?

Kwamba Nyerere alikuwa mjinga sana ila nyie msiojua kitu ndio werevu sio?
Baki na ujinga wako wa kuishi mawazo ya Nyerere ya mwaka 47, humwamini hata babu yako ila unaamini akili ya Nyerere pekee, sijui hata shule ulienda kufanya nini kama bado huna akili, tuonyeshe mtu kutoka bara ambaye ameajiriwa Zanzibar na ana haki zote kama wao huku hata kwenye Wizara ambazo siyo za muungano
 
Ujinga upi? Hujawahi sikia kwamba Zanzibar ni kisiwa kidogo kuliwa na sheria huria za Moja kwa Moja kama mnazotaka zitaua Ile identity yake?

Pili kwani wewe hujui kwamba TRA inakusanya pesa zaidi ya Bilioni 400 kutoka huko Hadi useme wao Wana Haki kuliko Bara?

Kwamba Nyerere alikuwa mjinga sana ila nyie msiojua kitu ndio werevu sio?
Baki na ujinga wako wa kuishi mawazo ya Nyerere ya mwaka 47, humwamini hata babu yako ila unaamini akili ya Nyerere pekee, sijui hata shule ulienda kufanya nini kama bado huna akili, tuonyeshe mtu kutoka bara ambaye ameajiriwa Zanzibar na ana haki zote kama wao huku hata kwenye Wizara ambazo siyo za muungano
 
Sio Mungu,Je aliharibu kipi? Hadhi ya Dar na Zanzibar ni sawa? Ardhi Tanznaia hii imeisha Hadi nyie wa Dar mseme hamna Ardhi?

Mwisho mwambieni Lisu atubu kabla hajapokea stahiki ya matendo yake ya ubaguzi,chuki na uzushi.
Lisu siyo mjinga kama nyie UWT, mimi siwezi kuishi mawazo ya mtu alifariki 1999 kama vile sina akili, kwanini wewe unaruhusiwa kununua ardhi Kilimanjaro na wakati ardhi ni kidogo? acha ujinga amka, kama Tanzania ni moja kwanini mimi nizuiwe kumiliki ardhi Zanzibar lakini mzanzibar anaweza kumiliki ardhi popote pale Tanzania? taja faida za muunga kwa mtu wa bara
 
Baki na ujinga wako wa kuishi mawazo ya Nyerere ya mwaka 47, humwamini hata babu yako ila unaamini akili ya Nyerere pekee, sijui hata shule ulienda kufanya nini kama bado huna akili, tuonyeshe mtu kutoka bara ambaye ameajiriwa Zanzibar na ana haki zote kama wao huku hata kwenye Wizara ambazo siyo za muungano
Kati ya Lisu na Nyerere unadhani wewe nani anastahili Kufuata mawazao yake?

Lisu Toka amezakiwa Hadi anazeeka Kuna jema lolote amewahi lisema kwenye Nchi hii?

Kote anakopita Lisu anakuta maendeleo ila inakuaje anasema hakuna kilichofanyika? Huyo ni mzima au mgonjwa wa akili? Ndio unataka tumfuate huyo? Labda mpumbavu kama wewe.
 
Lisu siyo mjinga kama nyie UWT, mimi siwezi kuishi mawazo ya mtu alifariki 1999 kama vile sina akili, kwanini wewe unaruhusiwa kununua ardhi Kilimanjaro na wakati ardhi ni kidogo? acha ujinga amka, kama Tanzania ni moja kwanini mimi nizuiwe kumiliki ardhi Zanzibar lakini mzanzibar anaweza kumiliki ardhi popote pale Tanzania? taja faida za muunga kwa mtu wa bara
Mawazo ya Plato yanatumika Hadi Kenyo alifariki lini? Jione ulivyo mpumbavu
 
Samia suluhu Hassan ndio alikuwa Kiongozi pekee wa awamu ya 5 ambae alijitoa muhanga kwenda kumjulia Hali Tundu Lisu hospital Nairobi wakati wengine wakisubiria breaking news.

Lakini Cha ajabu Sasa Shukrani ya bwana Lisu Kwa Samia ni kumtukana,kumsinhizia anauza Mali za Watanganyika na kumfanyia ubaguzi wa kikabila na kimaeneo.

Lisu amejivika kilemba na kuwa champion wa kueneza chuki na ubaguzi Kwa Samia kana kwamba Kuna baya amelifanya.

Ikumbukwe kwamba, Ubinafsishaji wa Bandari sio kuuza na unalenga kudhibiti waliogeuza Bandari ya Dar shamba la bibi.

Ieleweke wazi kwamba Masai hawajafukuzwa Bali wamehamishiwa Kwa staha na fidia kupisha uhifadhi ya Ngorongo ambayo ilishaanza kuharibiwa na Wingi wa watu kinyume na sheria za kuanzishwa kwake.

Ikumbukwe Muungano haukusainiwa na Samia yeye kazi yake ni kuulinda ila Lisu anataka Samia auvunje, haiwezekani.

Ieleweke kwamba Asili za Watu wa Tanzania ni kutoka sehemu tofauti za Dunia ila Lisu anataka Samia ajigeuze abadili historia yake au?

Ieleweke Lisu alikimbia Nchi na Samia huyu huyu anaemtukana ndio amerenesha mazingira sawia ya uhuru wa kujieleza ila Lisu anamtusi.

View: https://twitter.com/PMadeleka/status/1792878597406855471?t=3j4TQ1NiLX56_gebKNSJFg&s=19

My Take
Ni wazi huyu bwana asiye na jema hakupaswa kuhurumiwa,waliojitosa kumsaidia wengine walifutwa kazi na wengine walidharirishwa na kusutwa ila Shukrani yake ni dhihaka.

Bora mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi, binadamu hapana.

Pole sana Samia,pole sana Tanzania.

Lisu na chama chake tuwakatae , Mwalimu alionya huu ubaguzi Toka kitambo.

unafahamu hata mchawi anashiriki kwenye msiba wako na vilio juu.
 
Sasa kwanini walifutwa kazi. Kosa lao kumsaidia binadam mwenzao. Hayo ndio mambo ya kukemea. Tunataka kudhibiti Moshi bila kudhibiti moto
Ndio uelewe sasa kwamba Kuna watu na binadamu.

Samia mwenyewe alisutwa na uvumi uliwahi enezwa anataka kujiuzulu ila akawekwa sawa.

Lakini haya Kwa bwana Lisu sio jambo la msingi kwake ila chuki , matusi na ubaguzi ndio msingi.
 
Lissu ajibiwe kwa hoja sio upuuzi huu unaoongea
 
Samia suluhu Hassan ndio alikuwa Kiongozi pekee wa awamu ya 5 ambae alijitoa muhanga kwenda kumjulia Hali Tundu Lisu hospital Nairobi wakati wengine wakisubiria breaking news.

Lakini Cha ajabu Sasa Shukrani ya bwana Lisu Kwa Samia ni kumtukana,kumsinhizia anauza Mali za Watanganyika na kumfanyia ubaguzi wa kikabila na kimaeneo.

Lisu amejivika kilemba na kuwa champion wa kueneza chuki na ubaguzi Kwa Samia kana kwamba Kuna baya amelifanya.

Ikumbukwe kwamba, Ubinafsishaji wa Bandari sio kuuza na unalenga kudhibiti waliogeuza Bandari ya Dar shamba la bibi.

Ieleweke wazi kwamba Masai hawajafukuzwa Bali wamehamishiwa Kwa staha na fidia kupisha uhifadhi ya Ngorongo ambayo ilishaanza kuharibiwa na Wingi wa watu kinyume na sheria za kuanzishwa kwake.

Ikumbukwe Muungano haukusainiwa na Samia yeye kazi yake ni kuulinda ila Lisu anataka Samia auvunje, haiwezekani.

Ieleweke kwamba Asili za Watu wa Tanzania ni kutoka sehemu tofauti za Dunia ila Lisu anataka Samia ajigeuze abadili historia yake au?

Ieleweke Lisu alikimbia Nchi na Samia huyu huyu anaemtukana ndio amerenesha mazingira sawia ya uhuru wa kujieleza ila Lisu anamtusi.

View: https://twitter.com/PMadeleka/status/1792878597406855471?t=3j4TQ1NiLX56_gebKNSJFg&s=19

My Take
Ni wazi huyu bwana asiye na jema hakupaswa kuhurumiwa,waliojitosa kumsaidia wengine walifutwa kazi na wengine walidharirishwa na kusutwa ila Shukrani yake ni dhihaka.

Bora mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi, binadamu hapana.

Pole sana Samia,pole sana Tanzania.

Lisu na chama chake tuwakatae , Mwalimu alionya huu ubaguzi Toka kitambo.

🚮
 
aliekuambia huwezi kumiliki ardhi Zanzibar ni nani..?
Wewe hata Nyumba hauna.. unaongeza kama mtu ambaye amepanga kichumba...
Watu wa aina yako hutumia maneno ya kujifananisha wanacho kumbe hawana..

Usilete ushabiki katika mambo Muhimu unless uwe Mzanzibar..

Makamu wa pili wa Rais Zanzibar alitoa ufafanuzi kabisa kuhusu umiliki wa Ardhi Zanzibar halafu wewe unaleta ushabiki..
 
Samia suluhu Hassan ndio alikuwa Kiongozi pekee wa awamu ya 5 ambae alijitoa muhanga kwenda kumjulia Hali Tundu Lisu hospital Nairobi wakati wengine wakisubiria breaking news.

Lakini Cha ajabu Sasa Shukrani ya bwana Lisu Kwa Samia ni kumtukana,kumsinhizia anauza Mali za Watanganyika na kumfanyia ubaguzi wa kikabila na kimaeneo.

Lisu amejivika kilemba na kuwa champion wa kueneza chuki na ubaguzi Kwa Samia kana kwamba Kuna baya amelifanya.

Ikumbukwe kwamba, Ubinafsishaji wa Bandari sio kuuza na unalenga kudhibiti waliogeuza Bandari ya Dar shamba la bibi.

Ieleweke wazi kwamba Masai hawajafukuzwa Bali wamehamishiwa Kwa staha na fidia kupisha uhifadhi ya Ngorongo ambayo ilishaanza kuharibiwa na Wingi wa watu kinyume na sheria za kuanzishwa kwake.

Ikumbukwe Muungano haukusainiwa na Samia yeye kazi yake ni kuulinda ila Lisu anataka Samia auvunje, haiwezekani.

Ieleweke kwamba Asili za Watu wa Tanzania ni kutoka sehemu tofauti za Dunia ila Lisu anataka Samia ajigeuze abadili historia yake au?

Ieleweke Lisu alikimbia Nchi na Samia huyu huyu anaemtukana ndio amerenesha mazingira sawia ya uhuru wa kujieleza ila Lisu anamtusi.

View: https://twitter.com/PMadeleka/status/1792878597406855471?t=3j4TQ1NiLX56_gebKNSJFg&s=19

My Take
Ni wazi huyu bwana asiye na jema hakupaswa kuhurumiwa,waliojitosa kumsaidia wengine walifutwa kazi na wengine walidharirishwa na kusutwa ila Shukrani yake ni dhihaka.

Bora mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi, binadamu hapana.

Pole sana Samia,pole sana Tanzania.

Lisu na chama chake tuwakatae , Mwalimu alionya huu ubaguzi Toka kitambo.

wahenga walisema,
nanukuu....

"hakuna jema kwa mwanadamu"

mwisho wa kunukuu.
sasa, huyo muungwana ni kielelezo kimojawapo mwa tafsiri za maana ya msemo huo wa wahenga, jamaa hana shukran kabisaa 🐒
 
Unajua kama hata vocha sasa zimepanda bei?

Badala ya elfu 1 sasa hivi ni elfu 1 na 100
 
Kwa hivyo mleta mada, kwa kigezo hicho mleta mada kwamba Samia alikwenda kumsalimua Lissu hosp ndio kusema hiyo ndio tiketi Samia akifanya uzembe Lisu hapaswi tena kumkosoa?!
Kwa mfano Samia kamteua Mzenji Shaka kuwa mkuu wa wilaya huku Tanganyika wakati hicho sio cheo cha ki muungano...hiyo sio sawa.
Kwa kifupi Lissu sio mnafki anapaswa kupongezwa badala ya kubezwa!.
 
Mawazo ya Plato yanatumika Hadi Kenyo alifariki lini? Jione ulivyo mpumbavu
Achana na mambo ya kijinga ya kumtukuza mtu tumia akili yako, ulienda shule kufanya nini kama unaishi kwa kutegemea mawazo ya mtu? nipe faida 5 za huu muuungano fake kwa watu wa bara
 
Back
Top Bottom