Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Ye!... Obvi. Kashasahau!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Mungu,Je aliharibu kipi? Hadhi ya Dar na Zanzibar ni sawa? Ardhi Tanznaia hii imeisha Hadi nyie wa Dar mseme hamna Ardhi?Nyerere siyo MUNGU achana naye alifanya kwa nafasi yake na hakuwa na hati miliki na nchi hii, watu wakihoji wanakuwa wabaguzi, acha upumbavu mzee wenzako wakija huku wanamiliki ardhi na kila kitu wewe huruhusiwi, Kilimanjaro au Dar kuna shida ya ardhi lakini hatujawahi kusikia Msukuma, Mnyiramba au mtanzania yoyote amezuiwa kumiliki ardhi Kilimanjaro au Dar sababu ardhi yao ni kidogo, acha ujinga amka kutoka kwenye upumbavu.
Baki na ujinga wako wa kuishi mawazo ya Nyerere ya mwaka 47, humwamini hata babu yako ila unaamini akili ya Nyerere pekee, sijui hata shule ulienda kufanya nini kama bado huna akili, tuonyeshe mtu kutoka bara ambaye ameajiriwa Zanzibar na ana haki zote kama wao huku hata kwenye Wizara ambazo siyo za muunganoUjinga upi? Hujawahi sikia kwamba Zanzibar ni kisiwa kidogo kuliwa na sheria huria za Moja kwa Moja kama mnazotaka zitaua Ile identity yake?
Pili kwani wewe hujui kwamba TRA inakusanya pesa zaidi ya Bilioni 400 kutoka huko Hadi useme wao Wana Haki kuliko Bara?
Kwamba Nyerere alikuwa mjinga sana ila nyie msiojua kitu ndio werevu sio?
Baki na ujinga wako wa kuishi mawazo ya Nyerere ya mwaka 47, humwamini hata babu yako ila unaamini akili ya Nyerere pekee, sijui hata shule ulienda kufanya nini kama bado huna akili, tuonyeshe mtu kutoka bara ambaye ameajiriwa Zanzibar na ana haki zote kama wao huku hata kwenye Wizara ambazo siyo za muunganoUjinga upi? Hujawahi sikia kwamba Zanzibar ni kisiwa kidogo kuliwa na sheria huria za Moja kwa Moja kama mnazotaka zitaua Ile identity yake?
Pili kwani wewe hujui kwamba TRA inakusanya pesa zaidi ya Bilioni 400 kutoka huko Hadi useme wao Wana Haki kuliko Bara?
Kwamba Nyerere alikuwa mjinga sana ila nyie msiojua kitu ndio werevu sio?
Lisu siyo mjinga kama nyie UWT, mimi siwezi kuishi mawazo ya mtu alifariki 1999 kama vile sina akili, kwanini wewe unaruhusiwa kununua ardhi Kilimanjaro na wakati ardhi ni kidogo? acha ujinga amka, kama Tanzania ni moja kwanini mimi nizuiwe kumiliki ardhi Zanzibar lakini mzanzibar anaweza kumiliki ardhi popote pale Tanzania? taja faida za muunga kwa mtu wa baraSio Mungu,Je aliharibu kipi? Hadhi ya Dar na Zanzibar ni sawa? Ardhi Tanznaia hii imeisha Hadi nyie wa Dar mseme hamna Ardhi?
Mwisho mwambieni Lisu atubu kabla hajapokea stahiki ya matendo yake ya ubaguzi,chuki na uzushi.
Kati ya Lisu na Nyerere unadhani wewe nani anastahili Kufuata mawazao yake?Baki na ujinga wako wa kuishi mawazo ya Nyerere ya mwaka 47, humwamini hata babu yako ila unaamini akili ya Nyerere pekee, sijui hata shule ulienda kufanya nini kama bado huna akili, tuonyeshe mtu kutoka bara ambaye ameajiriwa Zanzibar na ana haki zote kama wao huku hata kwenye Wizara ambazo siyo za muungano
Mawazo ya Plato yanatumika Hadi Kenyo alifariki lini? Jione ulivyo mpumbavuLisu siyo mjinga kama nyie UWT, mimi siwezi kuishi mawazo ya mtu alifariki 1999 kama vile sina akili, kwanini wewe unaruhusiwa kununua ardhi Kilimanjaro na wakati ardhi ni kidogo? acha ujinga amka, kama Tanzania ni moja kwanini mimi nizuiwe kumiliki ardhi Zanzibar lakini mzanzibar anaweza kumiliki ardhi popote pale Tanzania? taja faida za muunga kwa mtu wa bara
Samia suluhu Hassan ndio alikuwa Kiongozi pekee wa awamu ya 5 ambae alijitoa muhanga kwenda kumjulia Hali Tundu Lisu hospital Nairobi wakati wengine wakisubiria breaking news.
Lakini Cha ajabu Sasa Shukrani ya bwana Lisu Kwa Samia ni kumtukana,kumsinhizia anauza Mali za Watanganyika na kumfanyia ubaguzi wa kikabila na kimaeneo.
Lisu amejivika kilemba na kuwa champion wa kueneza chuki na ubaguzi Kwa Samia kana kwamba Kuna baya amelifanya.
Ikumbukwe kwamba, Ubinafsishaji wa Bandari sio kuuza na unalenga kudhibiti waliogeuza Bandari ya Dar shamba la bibi.
Ieleweke wazi kwamba Masai hawajafukuzwa Bali wamehamishiwa Kwa staha na fidia kupisha uhifadhi ya Ngorongo ambayo ilishaanza kuharibiwa na Wingi wa watu kinyume na sheria za kuanzishwa kwake.
Ikumbukwe Muungano haukusainiwa na Samia yeye kazi yake ni kuulinda ila Lisu anataka Samia auvunje, haiwezekani.
Ieleweke kwamba Asili za Watu wa Tanzania ni kutoka sehemu tofauti za Dunia ila Lisu anataka Samia ajigeuze abadili historia yake au?
Ieleweke Lisu alikimbia Nchi na Samia huyu huyu anaemtukana ndio amerenesha mazingira sawia ya uhuru wa kujieleza ila Lisu anamtusi.
View: https://twitter.com/PMadeleka/status/1792878597406855471?t=3j4TQ1NiLX56_gebKNSJFg&s=19
My Take
Ni wazi huyu bwana asiye na jema hakupaswa kuhurumiwa,waliojitosa kumsaidia wengine walifutwa kazi na wengine walidharirishwa na kusutwa ila Shukrani yake ni dhihaka.
Bora mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi, binadamu hapana.
Pole sana Samia,pole sana Tanzania.
Lisu na chama chake tuwakatae , Mwalimu alionya huu ubaguzi Toka kitambo.
Ndio uelewe sasa kwamba Kuna watu na binadamu.Sasa kwanini walifutwa kazi. Kosa lao kumsaidia binadam mwenzao. Hayo ndio mambo ya kukemea. Tunataka kudhibiti Moshi bila kudhibiti moto
Samia suluhu Hassan ndio alikuwa Kiongozi pekee wa awamu ya 5 ambae alijitoa muhanga kwenda kumjulia Hali Tundu Lisu hospital Nairobi wakati wengine wakisubiria breaking news.
Lakini Cha ajabu Sasa Shukrani ya bwana Lisu Kwa Samia ni kumtukana,kumsinhizia anauza Mali za Watanganyika na kumfanyia ubaguzi wa kikabila na kimaeneo.
Lisu amejivika kilemba na kuwa champion wa kueneza chuki na ubaguzi Kwa Samia kana kwamba Kuna baya amelifanya.
Ikumbukwe kwamba, Ubinafsishaji wa Bandari sio kuuza na unalenga kudhibiti waliogeuza Bandari ya Dar shamba la bibi.
Ieleweke wazi kwamba Masai hawajafukuzwa Bali wamehamishiwa Kwa staha na fidia kupisha uhifadhi ya Ngorongo ambayo ilishaanza kuharibiwa na Wingi wa watu kinyume na sheria za kuanzishwa kwake.
Ikumbukwe Muungano haukusainiwa na Samia yeye kazi yake ni kuulinda ila Lisu anataka Samia auvunje, haiwezekani.
Ieleweke kwamba Asili za Watu wa Tanzania ni kutoka sehemu tofauti za Dunia ila Lisu anataka Samia ajigeuze abadili historia yake au?
Ieleweke Lisu alikimbia Nchi na Samia huyu huyu anaemtukana ndio amerenesha mazingira sawia ya uhuru wa kujieleza ila Lisu anamtusi.
View: https://twitter.com/PMadeleka/status/1792878597406855471?t=3j4TQ1NiLX56_gebKNSJFg&s=19
My Take
Ni wazi huyu bwana asiye na jema hakupaswa kuhurumiwa,waliojitosa kumsaidia wengine walifutwa kazi na wengine walidharirishwa na kusutwa ila Shukrani yake ni dhihaka.
Bora mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi, binadamu hapana.
Pole sana Samia,pole sana Tanzania.
Lisu na chama chake tuwakatae , Mwalimu alionya huu ubaguzi Toka kitambo.
Ubaguzi na matusi ni hoja? Hayo mtafanya nyie wenye akili kisodaLissu ajibiwe kwa hoja sio upuuzi huu unaoongea
Wewe hata Nyumba hauna.. unaongeza kama mtu ambaye amepanga kichumba...aliekuambia huwezi kumiliki ardhi Zanzibar ni nani..?
Samia suluhu Hassan ndio alikuwa Kiongozi pekee wa awamu ya 5 ambae alijitoa muhanga kwenda kumjulia Hali Tundu Lisu hospital Nairobi wakati wengine wakisubiria breaking news.
Lakini Cha ajabu Sasa Shukrani ya bwana Lisu Kwa Samia ni kumtukana,kumsinhizia anauza Mali za Watanganyika na kumfanyia ubaguzi wa kikabila na kimaeneo.
Lisu amejivika kilemba na kuwa champion wa kueneza chuki na ubaguzi Kwa Samia kana kwamba Kuna baya amelifanya.
Ikumbukwe kwamba, Ubinafsishaji wa Bandari sio kuuza na unalenga kudhibiti waliogeuza Bandari ya Dar shamba la bibi.
Ieleweke wazi kwamba Masai hawajafukuzwa Bali wamehamishiwa Kwa staha na fidia kupisha uhifadhi ya Ngorongo ambayo ilishaanza kuharibiwa na Wingi wa watu kinyume na sheria za kuanzishwa kwake.
Ikumbukwe Muungano haukusainiwa na Samia yeye kazi yake ni kuulinda ila Lisu anataka Samia auvunje, haiwezekani.
Ieleweke kwamba Asili za Watu wa Tanzania ni kutoka sehemu tofauti za Dunia ila Lisu anataka Samia ajigeuze abadili historia yake au?
Ieleweke Lisu alikimbia Nchi na Samia huyu huyu anaemtukana ndio amerenesha mazingira sawia ya uhuru wa kujieleza ila Lisu anamtusi.
View: https://twitter.com/PMadeleka/status/1792878597406855471?t=3j4TQ1NiLX56_gebKNSJFg&s=19
My Take
Ni wazi huyu bwana asiye na jema hakupaswa kuhurumiwa,waliojitosa kumsaidia wengine walifutwa kazi na wengine walidharirishwa na kusutwa ila Shukrani yake ni dhihaka.
Bora mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi, binadamu hapana.
Pole sana Samia,pole sana Tanzania.
Lisu na chama chake tuwakatae , Mwalimu alionya huu ubaguzi Toka kitambo.
Ni uhuni wa kina Nape tuuUnajua kama hata vocha sasa zimepanda bei?
Badala ya elfu 1 sasa hivi ni elfu 1 na 100
Aliewaweka hapo siyo mhuni?Ni uhuni wa kina Nape tuu
Achana na mambo ya kijinga ya kumtukuza mtu tumia akili yako, ulienda shule kufanya nini kama unaishi kwa kutegemea mawazo ya mtu? nipe faida 5 za huu muuungano fake kwa watu wa baraMawazo ya Plato yanatumika Hadi Kenyo alifariki lini? Jione ulivyo mpumbavu