Pre GE2025 Samia ndio kiongozi pekee wa awamu ya 5 aliyeenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitalini lakini shukrani anayopata ni matusi na kumbagua

Pre GE2025 Samia ndio kiongozi pekee wa awamu ya 5 aliyeenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitalini lakini shukrani anayopata ni matusi na kumbagua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Achana na mambo ya kijinga ya kumtukuza mtu tumia akili yako, ulienda shule kufanya nini kama unaishi kwa kutegemea mawazo ya mtu? nipe faida 5 za huu muuungano fake kwa watu wa bara
Akili yangu ndio hii naitumia.Lisu anahubiri chuki Kwa maslahi ya nani? Mgawanyiko Ili nani afaidike? Matusi ilomkitikee nini?
 
Samia suluhu Hassan ndio alikuwa Kiongozi pekee wa awamu ya 5 ambae alijitoa muhanga kwenda kumjulia Hali Tundu Lisu hospital Nairobi wakati wengine wakisubiria breaking news.

Lakini Cha ajabu Sasa Shukrani ya bwana Lisu Kwa Samia ni kumtukana,kumsinhizia anauza Mali za Watanganyika na kumfanyia ubaguzi wa kikabila na kimaeneo.

Lisu amejivika kilemba na kuwa champion wa kueneza chuki na ubaguzi Kwa Samia kana kwamba Kuna baya amelifanya.

Ikumbukwe kwamba, Ubinafsishaji wa Bandari sio kuuza na unalenga kudhibiti waliogeuza Bandari ya Dar shamba la bibi.

Ieleweke wazi kwamba Masai hawajafukuzwa Bali wamehamishiwa Kwa staha na fidia kupisha uhifadhi ya Ngorongo ambayo ilishaanza kuharibiwa na Wingi wa watu kinyume na sheria za kuanzishwa kwake.

Ikumbukwe Muungano haukusainiwa na Samia yeye kazi yake ni kuulinda ila Lisu anataka Samia auvunje, haiwezekani.

Ieleweke kwamba Asili za Watu wa Tanzania ni kutoka sehemu tofauti za Dunia ila Lisu anataka Samia ajigeuze abadili historia yake au?

Ieleweke Lisu alikimbia Nchi na Samia huyu huyu anaemtukana ndio amerenesha mazingira sawia ya uhuru wa kujieleza ila Lisu anamtusi.

View: https://twitter.com/PMadeleka/status/1792878597406855471?t=3j4TQ1NiLX56_gebKNSJFg&s=19

My Take
Ni wazi huyu bwana asiye na jema hakupaswa kuhurumiwa,waliojitosa kumsaidia wengine walifutwa kazi na wengine walidharirishwa na kusutwa ila Shukrani yake ni dhihaka.

Bora mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi, binadamu hapana.

Pole sana Samia,pole sana Tanzania.

Lisu na chama chake tuwakatae , Mwalimu alionya huu ubaguzi Toka kitambo.

Lakini si ni Samia huyu huyu kwenye kampeni alisema kuna mtu anajitembeza anasema kapigwa risasi! akaongeza kua askari wetu hawewezi kukosea na kama akipiga risasi tatu aspoua atawajibishwa. Umesahau mkuu?! CCM WANA UNAFIKI MWINGI SANA, USIPOKUA MAKINI UNAWEZA UKAWAAMINI.
 
Lissu inabidi afanye siasa lakini na utu pia auzingatie.

Mama Samia alimuonyesha upendo mkubwa sana wakati wa dhiki yake. Inabidi ampige spana za kisiasa lakini utu wake aulinde kwa unyenyekevu mkubwa!.

Nampenda Lissu mwenye hoja, Simpendi Lissu arrogant!
 
Lissu inabidi afanye siasa lakini na utu pia auzingatie.

Mama Samia alimuonyesha upendo mkubwa sana wakati wa dhiki yake. Inabidi ampige spana za kisiasa lakini utu wake aulinde kwa unyenyekevu mkubwa!.

Nampenda Lissu mwenye hoja, Simpendi Lissu arrogant!
Kuitwa mzanzibar ni kosa? hana kitambulisho cha mzanzibar?
 
Lissu inabidi afanye siasa lakini na utu pia auzingatie.

Mama Samia alimuonyesha upendo mkubwa sana wakati wa dhiki yake. Inabidi ampige spana za kisiasa lakini utu wake aulinde kwa unyenyekevu mkubwa!.

Nampenda Lissu mwenye hoja, Simpendi Lissu arrogant!
Lisu na Freeman Mbowe ni watu wawili tofauti kabisa.

Mbowe anakupiga spana bila kukuudhi, kwenye msiba wa Lowasa Mbowe alipewa nafasi kuongea kama mwanafamilia lakini alipiga spana kwa lugha ya kiungwana kabisa.

Ile nafasi angepewa Tundu Lisu huenda angezimiwa mic, hiyo ndio tofauti ya Freeman Mbowe na Tundu Lisu.

Ukweli mchungu Lisu ni mwanasiasa mzuri sana lakini siyo Presidential material hana tofauti na kina Magufuli.
 
Samia suluhu Hassan ndio alikuwa Kiongozi pekee wa awamu ya 5 ambae alijitoa muhanga kwenda kumjulia Hali Tundu Lisu hospital Nairobi wakati wengine wakisubiria breaking news.

Lakini Cha ajabu Sasa Shukrani ya bwana Lisu Kwa Samia ni kumtukana,kumsinhizia anauza Mali za Watanganyika na kumfanyia ubaguzi wa kikabila na kimaeneo.

Lisu amejivika kilemba na kuwa champion wa kueneza chuki na ubaguzi Kwa Samia kana kwamba Kuna baya amelifanya.

Ikumbukwe kwamba, Ubinafsishaji wa Bandari sio kuuza na unalenga kudhibiti waliogeuza Bandari ya Dar shamba la bibi.

Ieleweke wazi kwamba Masai hawajafukuzwa Bali wamehamishiwa Kwa staha na fidia kupisha uhifadhi ya Ngorongo ambayo ilishaanza kuharibiwa na Wingi wa watu kinyume na sheria za kuanzishwa kwake.

Ikumbukwe Muungano haukusainiwa na Samia yeye kazi yake ni kuulinda ila Lisu anataka Samia auvunje, haiwezekani.

Ieleweke kwamba Asili za Watu wa Tanzania ni kutoka sehemu tofauti za Dunia ila Lisu anataka Samia ajigeuze abadili historia yake au?

Ieleweke Lisu alikimbia Nchi na Samia huyu huyu anaemtukana ndio amerenesha mazingira sawia ya uhuru wa kujieleza ila Lisu anamtusi.

View: https://twitter.com/PMadeleka/status/1792878597406855471?t=3j4TQ1NiLX56_gebKNSJFg&s=19

My Take
Ni wazi huyu bwana asiye na jema hakupaswa kuhurumiwa,waliojitosa kumsaidia wengine walifutwa kazi na wengine walidharirishwa na kusutwa ila Shukrani yake ni dhihaka.

Bora mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi, binadamu hapana.

Pole sana Samia,pole sana Tanzania.

Lisu na chama chake tuwakatae , Mwalimu alionya huu ubaguzi Toka kitambo.

Tumekusikia ewe mshauri wa mama a.k.a CHAWA SUGU
 
Ujinga upi? Hujawahi sikia kwamba Zanzibar ni kisiwa kidogo kuliwa na sheria huria za Moja kwa Moja kama mnazotaka zitaua Ile identity yake?

Pili kwani wewe hujui kwamba TRA inakusanya pesa zaidi ya Bilioni 400 kutoka huko Hadi useme wao Wana Haki kuliko Bara?

Kwamba Nyerere alikuwa mjinga sana ila nyie msiojua kitu ndio werevu sio?
Nyerere hakuwa Mungu.... Tafakari
 
Lissu inabidi afanye siasa lakini na utu pia auzingatie.

Mama Samia alimuonyesha upendo mkubwa sana wakati wa dhiki yake. Inabidi ampige spana za kisiasa lakini utu wake aulinde kwa unyenyekevu mkubwa!.

Nampenda Lissu mwenye hoja, Simpendi Lissu arrogant!
Lisu amenifundisha kitu kwamba majitu ya dizaini yake sio ya kusaidia Kwa lolote
 
Back
Top Bottom