Pre GE2025 Samia ndio kiongozi pekee wa awamu ya 5 aliyeenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitalini lakini shukrani anayopata ni matusi na kumbagua

Pre GE2025 Samia ndio kiongozi pekee wa awamu ya 5 aliyeenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitalini lakini shukrani anayopata ni matusi na kumbagua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Narudia tena, mbona Israel Hana Cha kupoteza kwa kutoungana na aliye karibu naye? Mbona Korea Kusini hajaungana na Korea Kaskazini na ana uchumi bab kubwa?
Narudia tena Israel Yuko mfukoni Kwa Beberu USA.
 
Kwani ni kazi ya serikali kuweka hiyo balance ya dini? Chama kazi yake ni kuhakikisha watu wa dini tofauti wanapata uwakilishi.

Sasa chama Cha Wachaga Wakristo Chadema hakijui hili ndio maana hakuna watu wanalipa attention.

Mumekuwa kama wasanii kuja kutoa burudani kwenye mikutano then uchaguzi mnapigwa chini 🤣🤣🤣
Chama Cha siasa kiwe na kazi ya kubalance dini, ama unadhani Kila mtu anaendekeza hizo imani za kujazana woga?
 
Chama Cha siasa kiwe na kazi ya kubalance dini, ama unadhani Kila mtu anaendekeza hizo imani za kujazana woga?
Ndio ni kazi ya chama Cha siasa ,ndio maana mtazidi kukataliwa miaka na miaka Hadi hapo mtakapokuwa chama Cha Kitaifa na sio chama Cha kidini
 
Wakristo wa Bara waende Zanzibar kufanya nini kwenye Serikali ya Zanzibar? Wako Zanzibar kufanya kaiz kwenye maeneo ya Muungano wako wengi sana huko.

Serikali ya Zanzibar na mambo yake ni Kwa Ajili ya Wazanzibar,Sekta za Muungano ni za wote.Huelewi nini Sasa hapa labda.
Unaongelea serekali au vyama vya siasa? Kwahiyo unaposema cdm ina udini unaamanisha ni serekali au umevurugwa? Hebu kaa kimya pls.
 
Unaongelea serekali au vyama vya siasa? Kwahiyo unaposema cdm ina udini unaamanisha ni serekali au umevurugwa? Hebu kaa kimya pls.
Chama Cha Chadema kina udini(Wakristo),Serikali ya CCM na chaka chake hakina udini.
 
Watanganyika wanataka kuongozwa na mtanganyika . Watanganyika hawataki rais wa kupachikiwa .
 
Samia suluhu Hassan ndio alikuwa Kiongozi pekee wa awamu ya 5 ambae alijitoa muhanga kwenda kumjulia Hali Tundu Lisu hospital Nairobi wakati wengine wakisubiria breaking news.

Lakini Cha ajabu Sasa Shukrani ya bwana Lisu Kwa Samia ni kumtukana,kumsinhizia anauza Mali za Watanganyika na kumfanyia ubaguzi wa kikabila na kimaeneo.

Lisu amejivika kilemba na kuwa champion wa kueneza chuki na ubaguzi Kwa Samia kana kwamba Kuna baya amelifanya.

Ikumbukwe kwamba, Ubinafsishaji wa Bandari sio kuuza na unalenga kudhibiti waliogeuza Bandari ya Dar shamba la bibi.

Ieleweke wazi kwamba Masai hawajafukuzwa Bali wamehamishiwa Kwa staha na fidia kupisha uhifadhi ya Ngorongo ambayo ilishaanza kuharibiwa na Wingi wa watu kinyume na sheria za kuanzishwa kwake.

Ikumbukwe Muungano haukusainiwa na Samia yeye kazi yake ni kuulinda ila Lisu anataka Samia auvunje, haiwezekani.

Ieleweke kwamba Asili za Watu wa Tanzania ni kutoka sehemu tofauti za Dunia ila Lisu anataka Samia ajigeuze abadili historia yake au?

Ieleweke Lisu alikimbia Nchi na Samia huyu huyu anaemtukana ndio amerenesha mazingira sawia ya uhuru wa kujieleza ila Lisu anamtusi.

View: https://twitter.com/PMadeleka/status/1792878597406855471?t=3j4TQ1NiLX56_gebKNSJFg&s=19

My Take
Ni wazi huyu bwana asiye na jema hakupaswa kuhurumiwa,waliojitosa kumsaidia wengine walifutwa kazi na wengine walidharirishwa na kusutwa ila Shukrani yake ni dhihaka.

Bora mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi, binadamu hapana.

Pole sana Samia,pole sana Tanzania.

Lisu na chama chake tuwakatae , Mwalimu alionya huu ubaguzi Toka kitambo.

😁😁tumia akili wewe🐸👈, watu wanajiandaa na kampeni sasa asipo mtukana mama atamtukana nani tukutane 2025.😜
 
Apa atamimi najionaga chura yaani awa wanashikilia nchi mbili kwa wakati mmoja afu tunachekelea.
Watanganyika wanataka kuongozwa na mtanganyika . Watanganyika hawataki rais wa kupachikiwa .
 
Ujinga ni kujiaminisha kuwa Samia alienda Nairobi kumjulia Hali Lissu bila go ahead ya jiwe.
 
Utaratibu wa Muungano uko wazi kwenye makubaliano yaliyofanywa baina ya Viongozi waasisi wa Tanganyika na Zanzibar

Hili la ubaguzi na kutaka kuivunja hii Nchi ni Kwa faida ya nani na ili iwaje?
Makubaliano ya kibinafsi na kipumbavu kabisa, hayana tija tena kwa wakati huu na wakati ujao.
 
haha! sasa kaa hivyohivyo nakujiona unaakili kumbe zwazwa kazi kupiga kelele mitandaoni tu ndo kujiita waelevu!.. kwakuwa umekuja kimatusi nami naserereka nawewe hivyohivyo kenge kabisa!
Acha ubishi usio na tija, huwezi kumiliki ardhi Zanzibar kama wewe si mzanzibari
 
Kwa mujibu wa Machadomo labda
Hayo ya Machadomo ni ya kwenu mliokubali kutawaliwa na ujinga wa wanasiasa na ukada wa hayo mavyama yenu. Kiuhalisia Muungano una changamoto lukuki, zisipotatuliwa utavunjika tu, iwe leo au kesho
 
Back
Top Bottom