Pre GE2025 Samia ndio kiongozi pekee wa awamu ya 5 aliyeenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitalini lakini shukrani anayopata ni matusi na kumbagua

Pre GE2025 Samia ndio kiongozi pekee wa awamu ya 5 aliyeenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitalini lakini shukrani anayopata ni matusi na kumbagua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
..Samia Suluhu alianza kumkebehi Lissu wakati wa kampeni kwa ile kauli ya " risasi tatu. "

..mtu muungwana aliyemuona Lissu akiwa mahututi hospitali hawezi kumtolea kebehi kama alivyofanya Samia Suluhu.

..kama Samia ni mtenda haki kama anavyotaka watu waamini alipaswa kuunda TUME YA KIJAJI YA UCHUNGUZI kufuatilia nani wamehusika ktk jaribio la kumuua Lissu.
 
Hayo ya Machadomo ni ya kwenu mliokubali kutawaliwa na ujinga wa wanasiasa na ukada wa hayo mavyama yenu. Kiuhalisia Muungano una changamoto lukuki, zisipotatuliwa utavunjika tu, iwe leo au kesho
Wacha longolongo wewe nyumbu wa Chadema.

Hasara ya Muungano ni ipi?
 
..Samia Suluhu alianza kumkebehi Lissu wakati wa kampeni kwa ile kauli ya " risasi tatu. "

..mtu muungwana aliyemuona Lissu akiwa mahututi hospitali hawezi kumtolea kebehi kama alivyofanya Samia Suluhu.

..kama Samia ni mtenda haki kama anavyotaka watu waamini alipaswa kuunda TUME YA KIJAJI YA UCHUNGUZI kufuatilia nani wamehusika ktk jaribio la kumuua Lissu.
Acha kumsingizia Samia
 
..Ssh ni mwanasiasa laghai, na si muungwana kama chawa wake mnavyotaka tuamini.
Sawa ila uungwana ni vitendo sio maneno picha na matendo yanaongea wewe waweza ropoka chochote kumhusu
 
Samia suluhu Hassan ndio alikuwa Kiongozi pekee wa awamu ya 5 ambae alijitoa muhanga kwenda kumjulia Hali Tundu Lisu hospital Nairobi wakati wengine wakisubiria breaking news.

Lakini Cha ajabu Sasa Shukrani ya bwana Lisu Kwa Samia ni kumtukana,kumsinhizia anauza Mali za Watanganyika na kumfanyia ubaguzi wa kikabila na kimaeneo.

Lisu amejivika kilemba na kuwa champion wa kueneza chuki na ubaguzi Kwa Samia kana kwamba Kuna baya amelifanya.

Ikumbukwe kwamba, Ubinafsishaji wa Bandari sio kuuza na unalenga kudhibiti waliogeuza Bandari ya Dar shamba la bibi.

Ieleweke wazi kwamba Masai hawajafukuzwa Bali wamehamishiwa Kwa staha na fidia kupisha uhifadhi ya Ngorongo ambayo ilishaanza kuharibiwa na Wingi wa watu kinyume na sheria za kuanzishwa kwake.

Ikumbukwe Muungano haukusainiwa na Samia yeye kazi yake ni kuulinda ila Lisu anataka Samia auvunje, haiwezekani.

Ieleweke kwamba Asili za Watu wa Tanzania ni kutoka sehemu tofauti za Dunia ila Lisu anataka Samia ajigeuze abadili historia yake au?

Ieleweke Lisu alikimbia Nchi na Samia huyu huyu anaemtukana ndio amerenesha mazingira sawia ya uhuru wa kujieleza ila Lisu anamtusi.

View: https://twitter.com/PMadeleka/status/1792878597406855471?t=3j4TQ1NiLX56_gebKNSJFg&s=19

My Take
Ni wazi huyu bwana asiye na jema hakupaswa kuhurumiwa,waliojitosa kumsaidia wengine walifutwa kazi na wengine walidharirishwa na kusutwa ila Shukrani yake ni dhihaka.

Bora mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi, binadamu hapana.

Pole sana Samia,pole sana Tanzania.

Lisu na chama chake tuwakatae , Mwalimu alionya huu ubaguzi Toka kitambo.

Masahihisho: Samia hakwenda Kenya kumuona Lissu, alienda kwenye Kikao cha viongozi ila akapitia hospitali kumuona Lissu baada ya kusutwa na viongozi wa nchi zingine, alienda kwa aibu tu.

Ali Hassan Mwinyi ndiye aliyefunga safari kumuona Lissu Nairobi moja kwa moja kutoka Tanzania.
 
Masahihisho: Samia hakwenda Kenya kumuona Lissu, alienda kwenye Kikao cha viongozi ila akapitia hospitali kumuona Lissu baada ya kusutwa na viongozi wa nchi zingine, alienda kwa aibu tu.

Ali Hassan Mwinyi ndiye aliyefunga safari kumuona Lissu Nairobi moja kwa moja kutoka Tanzania.
Kwa hiyo hizo picha hapo ulienda wewe si ndio? Zero brain.

Always Waislamu ni waungwana,huyo Mwinyi ndio alikuwa anampakaza Jiwe sifa kemkem ili amkumbuke mwanae.
 
Samia suluhu Hassan ndio alikuwa Kiongozi pekee wa awamu ya 5 ambae alijitoa muhanga kwenda kumjulia Hali Tundu Lisu hospital Nairobi wakati wengine wakisubiria breaking news.

Lakini Cha ajabu Sasa Shukrani ya bwana Lisu Kwa Samia ni kumtukana,kumsinhizia anauza Mali za Watanganyika na kumfanyia ubaguzi wa kikabila na kimaeneo.

Lisu amejivika kilemba na kuwa champion wa kueneza chuki na ubaguzi Kwa Samia kana kwamba Kuna baya amelifanya.

Ikumbukwe kwamba, Ubinafsishaji wa Bandari sio kuuza na unalenga kudhibiti waliogeuza Bandari ya Dar shamba la bibi.

Ieleweke wazi kwamba Masai hawajafukuzwa Bali wamehamishiwa Kwa staha na fidia kupisha uhifadhi ya Ngorongo ambayo ilishaanza kuharibiwa na Wingi wa watu kinyume na sheria za kuanzishwa kwake.

Ikumbukwe Muungano haukusainiwa na Samia yeye kazi yake ni kuulinda ila Lisu anataka Samia auvunje, haiwezekani.

Ieleweke kwamba Asili za Watu wa Tanzania ni kutoka sehemu tofauti za Dunia ila Lisu anataka Samia ajigeuze abadili historia yake au?

Ieleweke Lisu alikimbia Nchi na Samia huyu huyu anaemtukana ndio amerenesha mazingira sawia ya uhuru wa kujieleza ila Lisu anamtusi.

View: https://twitter.com/PMadeleka/status/1792878597406855471?t=3j4TQ1NiLX56_gebKNSJFg&s=19

My Take
Ni wazi huyu bwana asiye na jema hakupaswa kuhurumiwa,waliojitosa kumsaidia wengine walifutwa kazi na wengine walidharirishwa na kusutwa ila Shukrani yake ni dhihaka.

Bora mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi, binadamu hapana.

Pole sana Samia,pole sana Tanzania.

Lisu na chama chake tuwakatae , Mwalimu alionya huu ubaguzi Toka kitambo.

Machawa Ni wachonganishi Sana. Samia Kwa kunywa chake alisema NI Mzanzibar
Na kitambulisho chake Kinamtambua Kama Mzanzibar. Sasa shida nini
 
binafsi nimegundua kwamba ,tundulisu anasemwa na hawa wajinga kama mleta mada

Kwamba
Mheshimiwa sana Tundulisu amekuwa na utaratibu wa kusema sheria na katiba ya nchi kwamba mbovu

Hivyo
Kwenye hayo mambo samia lazima atajwe sababu kwenye hayo mambo samia nikielelezo ,mlitaka ataje mkunda wakati sio rais wa nchi ni mkuu wamajeshi tupunguze ujinga
 
Machawa Ni wachonganishi Sana. Samia Kwa kunywa chake alisema NI Mzanzibar
Na kitambulisho chake Kinamtambua Kama Mzanzibar. Sasa shida nini
Ubaguzi mnaoeneza,chuki mnazohubiri haikubaliki.

Mtakuja kukatana mapanga sababu ya kushabikia upumbavu wa huyo kibaraka wa Wazungu, Watoto wake ni raia wa USA sijui wa kwako ni raia wa wapi 😁😁
 
Kwa hiyo hizo picha hapo ulienda wewe si ndio? Zero brain.

Always Waislamu ni waungwana,huyo Mwinyi ndio alikuwa anampakaza Jiwe sifa kemkem ili amkumbuke mwanae.
Sijasema hakufika hospitali, ila hakwenda kumuona Lissu
 
binafsi nimegundua kwamba ,tundulisu anasemwa na hawa wajinga kama mleta mada

Kwamba
Mheshimiwa sana Tundulisu amekuwa na utaratibu wa kusema sheria na katiba ya nchi kwamba mbovu

Hivyo
Kwenye hayo mambo samia lazima atajwe sababu kwenye hayo mambo samia nikielelezo ,mlitaka ataje mkunda wakati sio rais wa nchi ni mkuu wamajeshi tupunguze ujinga
Personal attack za identity za Samia ndio Katiba ya Nchi sio?

Mtakuja kukatana mapanga na ndugu zenu sababu ya huyo kibaraka wa Wazungu, Watoto wake wako Nje na yeye ana sehemu ya kukimbilia.

Endelea kuchekelea upumbavu
 
Kwa hivyo mleta mada, kwa kigezo hicho mleta mada kwamba Samia alikwenda kumsalimua Lissu hosp ndio kusema hiyo ndio tiketi Samia akifanya uzembe Lisu hapaswi tena kumkosoa?!
Kwa mfano Samia kamteua Mzenji Shaka kuwa mkuu wa wilaya huku Tanganyika wakati hicho sio cheo cha ki muungano...hiyo sio sawa.
Kwa kifupi Lissu sio mnafki anapaswa kupongezwa badala ya kubezwa!.
Kwa CCM hicho ni kigezo kikubwa sana. Ndio maana hatuna bunge kwa sababu Tulia aliwekwa na Rais
 
Kwa hivyo mleta mada, kwa kigezo hicho mleta mada kwamba Samia alikwenda kumsalimua Lissu hosp ndio kusema hiyo ndio tiketi Samia akifanya uzembe Lisu hapaswi tena kumkosoa?!
Kwa mfano Samia kamteua Mzenji Shaka kuwa mkuu wa wilaya huku Tanganyika wakati hicho sio cheo cha ki muungano...hiyo sio sawa.
Kwa kifupi Lissu sio mnafki anapaswa kupongezwa badala ya kubezwa!.
What kind of Uzembe are you talking about?

Lisu si anahubiri chuki? Ni uzembe wa Samia au?
 
Personal attack za identity za Samia ndio Katiba ya Nchi sio?

Mtakuja kukatana mapanga na ndugu zenu sababu ya huyo kibaraka wa Wazungu, Watoto wake wako Nje na yeye ana sehemu ya kukimbilia.

Endelea kuchekelea upumbavu
Jibu swali hili mjinga mwingine

Sheria kuhusu rasilimali za nchi ,iliyesaini ili zibadilike na dp wold waziendeshe watakavyo ni mama ako wewe au rais wanchi

Nakama
RAIS WA nchi anaitwa nani?
 
Jibu swali hili mjinga mwingine

Sheria kuhusu rasilimali za nchi ,iliyesaini ili zibadilike na dp wold waziendeshe watakavyo ni mama ako wewe au rais wanchi

Nakama
RAIS WA nchi anaitwa nani?
Kwani sheria ni biblia au msahafu? Mbona zinabadilishwa Kila siku Ili ku suit mazingira ya kibiashara ya wakati husika in case zinazuia badala ya kusaidia? Hapo Cha ajabu ni kipi?

Kwa hiyo wewe ulitaka kama.sheria zinakwamisha wawekezaji ziachwe au? Acha ujinga
 
Back
Top Bottom