Samia Suluhu anamwogopa nani kugombea nafasi ya Urais kupitia chama?

Samia Suluhu anamwogopa nani kugombea nafasi ya Urais kupitia chama?

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Kitendo cha kujipendekezea jina lake lipite ni wazi samia kuna mtu au watu anawaogopa. Itakuwa makamba? Au akina nani wengine? Luhaga Mpina hapana huyu hakuwa na issues kwenye UraHis.

Watu wanajiuliza woga wake umetokana na nini? Na wanaenda mbali zaidi kuona kuwa inaonekana hajiamini na kuna kundi dogo la watu wanafaidika naye. Ambao wanahisi kama wakisema watu wachague mgombea samia anakuwa hana chance kabisa.

Wanasema ndo chanzo cha kumchukua Nchimbi kwa kuwa anaonekana anaweza ng'arisha nyota yake yeye kama yeye inasemekana amepwaya sana. Kwa sasa anatumia sana nguvu hana ushawishi wowote zaidi ya chawa wake kumshadadia kwa maslahi yao.

Ndo maana aliona Mbowe ndiye angefaa kuwa mwanachadema mwenyekiti. Sasa inaonekana hesabu nazo zimeharibika. Watu wanauliza woga wake ni nini hasa?

Tuiombee Tanganyika. Imekuwa ikikumbwa na mabalaa makubwa sana miaka ya hivi karibuni. Mungu atusikie aiponye nchi hii miaka mingi imekuwa katika laana.
 
Itakuwa makamba? Au akina nani wengine? Luhaga Mpina hapana huyu hakuwa na issues kwenye UraHis.
Hofu ni kile kilichotokea kwa Mbowe, unaweza shangaa hata Bashiru anachukua fomu alafu kura za siri wajumbe wanampa Bashiru!! Sasa kwanini mfike huko!!!

Demokrasia ipo chadema tu, huko CCM hawataki ushindani maana wanajua mgombea wao hakubaliki kwa wanachama na wapiga kura.
 
Ni tamaa tu,samia ndo binadamu wa kwanza kunijulisha kuwa kumbe hata wanawake huwa wanatamaa ya uongozi

yAan huwez kuwepo ikulu toka 2015 unataka mpaka 2030 uwepo wewe tu

Ila sio mbaya maana uongoz wake sio mbaya kihivyo
 
Hofu ni kile kilichotokea kwa Mbowe, unaweza shangaa hata Bashiru anachukua fomu alafu kura za siri wajumbe wanampa Bashiru!! Sasa kwanini mfike huko!!!

Demokrasia ipo chadema tu, huko CCM hawataki ushindani maana wanajua mgombea wao hakubaliki kwa wanachama na wapiga kura.
Demokrasia ipo chadema tu, huko CCM hawataki ushindani maana wanajua mgombea wao hakubaliki kwa wanachama na wapiga kura.👌🏿💪🏿
 
Kitendo cha kujipendekezea jina lake lipite ni wazi samia kuna mtu au watu anawaogopa. Itakuwa makamba? Au akina nani wengine? Luhaga Mpina hapana huyu hakuwa na issues kwenye UraHis.

Watu wanajiuliza woga wake umetokana na nini? Na wanaenda mbali zaidi kuona kuwa inaonekana hajiamini na kuna kundi dogo la watu wanafaidika naye. Ambao wanahisi kama wakisema watu wachague mgombea samia anakuwa hana chance kabisa.

Wanasema ndo chanzo cha kumchukua Nchimbi kwa kuwa anaonekana anaweza ng'arisha nyota yake yeye kama yeye inasemekana amepwaya sana. Kwa sasa anatumia sana nguvu hana ushawishi wowote zaidi ya chawa wake kumshadadia kwa maslahi yao.

Ndo maana aliona Mbowe ndiye angefaa kuwa mwanachadema mwenyekiti. Sasa inaonekana hesabu nazo zimeharibika. Watu wanauliza woga wake ni nini hasa?

Tuiombee Tanganyika. Imekuwa ikikumbwa na mabalaa makubwa sana miaka ya hivi karibuni. Mungu atusikie aiponye nchi hii miaka mingi imekuwa katika laana.
Huyu mzanzibar anatamani aendelee kutafuna rasilimali za Tanganyika.
 
Kitendo cha kujipendekezea jina lake lipite ni wazi samia kuna mtu au watu anawaogopa. Itakuwa makamba? Au akina nani wengine? Luhaga Mpina hapana huyu hakuwa na issues kwenye UraHis.

Watu wanajiuliza woga wake umetokana na nini? Na wanaenda mbali zaidi kuona kuwa inaonekana hajiamini na kuna kundi dogo la watu wanafaidika naye. Ambao wanahisi kama wakisema watu wachague mgombea samia anakuwa hana chance kabisa.

Wanasema ndo chanzo cha kumchukua Nchimbi kwa kuwa anaonekana anaweza ng'arisha nyota yake yeye kama yeye inasemekana amepwaya sana. Kwa sasa anatumia sana nguvu hana ushawishi wowote zaidi ya chawa wake kumshadadia kwa maslahi yao.

Ndo maana aliona Mbowe ndiye angefaa kuwa mwanachadema mwenyekiti. Sasa inaonekana hesabu nazo zimeharibika. Watu wanauliza woga wake ni nini hasa?

Tuiombee Tanganyika. Imekuwa ikikumbwa na mabalaa makubwa sana miaka ya hivi karibuni. Mungu atusikie aiponye nchi hii miaka mingi imekuwa katika laana.
We kafanye mambo yako mambo ya CCM yako juu sana ya uwezo wako
 
Nimelia sana nilipofikiria kuna mtu amependekezwa kupewa miaka mingine mitano ya kuendelea kuiuza Tanganyika,uhakika wa kuwa na hiyo miaka 5 anao hata akipata 5% ya kura ana uwezo wa kuzifanya ziwe 95%
 
Kitendo cha kujipendekezea jina lake lipite ni wazi samia kuna mtu au watu anawaogopa. Itakuwa makamba? Au akina nani wengine? Luhaga Mpina hapana huyu hakuwa na issues kwenye UraHis.

Watu wanajiuliza woga wake umetokana na nini? Na wanaenda mbali zaidi kuona kuwa inaonekana hajiamini na kuna kundi dogo la watu wanafaidika naye. Ambao wanahisi kama wakisema watu wachague mgombea samia anakuwa hana chance kabisa.

Wanasema ndo chanzo cha kumchukua Nchimbi kwa kuwa anaonekana anaweza ng'arisha nyota yake yeye kama yeye inasemekana amepwaya sana. Kwa sasa anatumia sana nguvu hana ushawishi wowote zaidi ya chawa wake kumshadadia kwa maslahi yao.

Ndo maana aliona Mbowe ndiye angefaa kuwa mwanachadema mwenyekiti. Sasa inaonekana hesabu nazo zimeharibika. Watu wanauliza woga wake ni nini hasa?

Tuiombee Tanganyika. Imekuwa ikikumbwa na mabalaa makubwa sana miaka ya hivi karibuni. Mungu atusikie aiponye nchi hii miaka mingi imekuwa katika laana.
Sasq nchimbi naye ana mng'ao gani?
 
Anaweka rekodi ya rais aliyepita mserereko ndani ya chama chake bila kushindanishwa kwa kupigiwa kura. Hii hali itafanya akutane na wakati mgumu atakaposhindana nje na wagombea wa vyama vingine, ukute anakutana na lissu itakuwa shughuli pevu
 
Demokrasia ipo chadema tu, huko CCM hawataki ushindani maana wanajua mgombea wao hakubaliki kwa wanachama na wapiga kura.👌🏿💪🏿
Wa bara na visiwani wamepitishwa kibabe 😄
Ili asitoke mtu akataka kuchukua fomu kuutaka nafasi hizo
Kweli cdm wameonesha demokrasia ya hali juu

Ova
 
Kitendo cha kujipendekezea jina lake lipite ni wazi samia kuna mtu au watu anawaogopa. Itakuwa makamba? Au akina nani wengine? Luhaga Mpina hapana huyu hakuwa na issues kwenye UraHis.

Watu wanajiuliza woga wake umetokana na nini? Na wanaenda mbali zaidi kuona kuwa inaonekana hajiamini na kuna kundi dogo la watu wanafaidika naye. Ambao wanahisi kama wakisema watu wachague mgombea samia anakuwa hana chance kabisa.

Wanasema ndo chanzo cha kumchukua Nchimbi kwa kuwa anaonekana anaweza ng'arisha nyota yake yeye kama yeye inasemekana amepwaya sana. Kwa sasa anatumia sana nguvu hana ushawishi wowote zaidi ya chawa wake kumshadadia kwa maslahi yao.

Ndo maana aliona Mbowe ndiye angefaa kuwa mwanachadema mwenyekiti. Sasa inaonekana hesabu nazo zimeharibika. Watu wanauliza woga wake ni nini hasa?

Tuiombee Tanganyika. Imekuwa ikikumbwa na mabalaa makubwa sana miaka ya hivi karibuni. Mungu atusikie aiponye nchi hii miaka mingi imekuwa katika laana.
Urais ni mzigo mkubwa sana. Wamuulize Zelenskyy. Being a one term president is more than enough..
 
Samia amepata urais kwa kurithi, halafu hataki kufuata taratibu ndani ya chama chake kushindanishwa kwa hoja, sera zake, vision zake.

Ni uhakika kwenye uchaguzi mkuu atavunja taratibu zote za uchaguzi kama uchaguzi utakuwepo kweli.
 
Kitendo cha kujipendekezea jina lake lipite ni wazi samia kuna mtu au watu anawaogopa.

Mama kajipigia cross mwenyewe na kufunga mwenyewe.

Ila kwa lile battle la mwaka 2015 kwenye kura za maoni wagombea 30 ni wazi mama ameona mbali sana, ule mchakato ungefanyika tena mwaka huu sidhani kama mama angepenya hata Top 10.
 
Dr Nchimbi heshima yake ilipungua sana aliposhindwa kudhibiti utekaji na mauaji ya kisiasa, japokua alitoa hotuba nzuri ya kukemea mauaji na utekaji lakini hakuna kilichobadilika.

Wapinzani wengi na Wanaharakati wanaishi kwa hofu kama Digidigi mwituni.
 
Back
Top Bottom