Samia Suluhu anamwogopa nani kugombea nafasi ya Urais kupitia chama?

Samia anajua kabisa kuwa hakubaliki na kama mchakato ukifuata mkondo wa kawaida hatoboi,ameonyesha dalili zote za udikteta,ni mtu hatari sana kama akitangazwa mshidi wa Urais October watu wengi sana watapotezwa kwenye utawala wake Mungu tuepushie mbali na hili jinamizi la Kizimkazi.
 
Kkuna ngoosha mmoja alijitoa mhanga akitaka zichapishwe fomu zaidi ya moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…