Nyerere alisema hakuna chama makini kama Chadema wakati huo Mbowe akiwa Katibu Mkuu wa chama, Mkapa akaona isiwe tabu akatunga sheria Mwenyekiti na Mkurugenzi wa NEC wateuliwe na rais lengo likiwa ni kui-contain Chadema na Mbowe, Kikwete hadi akamuita Mbowe ikulu akanywa nae juice.
Magufuli pamoja na ujeuri wake alikuwa na uwezo wa kumfanya Mbowe chochote lakini hakuthubutu, alikuwa anafanya timing ili jumba bovu lisimwangukie yeye, wewe umethubutu kwa kuingizwa kingi na wajanja.
Uongozi ni KARAMA siyo kila mtu amepewa, jitahidi kuishi na viongozi wenzako vizuri hata kama ni kiongozi wa kijiji, elewa kuna watu wako nyuma yake wanamheshimu walimchagua.
Vyovyote utakavyofanya umfunge Mbowe au umuachie lakini hilo doa kwenye utawala wako huwezi kulifuta kamwe kama vile makaburu walivyomfunga Mandela wakamwachia lakini hadi leo dunia nzima inakumbuka.
Nimeshauri kwa staha.
Magufuli pamoja na ujeuri wake alikuwa na uwezo wa kumfanya Mbowe chochote lakini hakuthubutu, alikuwa anafanya timing ili jumba bovu lisimwangukie yeye, wewe umethubutu kwa kuingizwa kingi na wajanja.
Uongozi ni KARAMA siyo kila mtu amepewa, jitahidi kuishi na viongozi wenzako vizuri hata kama ni kiongozi wa kijiji, elewa kuna watu wako nyuma yake wanamheshimu walimchagua.
Vyovyote utakavyofanya umfunge Mbowe au umuachie lakini hilo doa kwenye utawala wako huwezi kulifuta kamwe kama vile makaburu walivyomfunga Mandela wakamwachia lakini hadi leo dunia nzima inakumbuka.
Nimeshauri kwa staha.