Samia Suluhu, doa la kumfunga Mbowe halitafutika, watangulizi wako wote walilikwepa

Samia Suluhu, doa la kumfunga Mbowe halitafutika, watangulizi wako wote walilikwepa

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Nyerere alisema hakuna chama makini kama Chadema wakati huo Mbowe akiwa Katibu Mkuu wa chama, Mkapa akaona isiwe tabu akatunga sheria Mwenyekiti na Mkurugenzi wa NEC wateuliwe na rais lengo likiwa ni kui-contain Chadema na Mbowe, Kikwete hadi akamuita Mbowe ikulu akanywa nae juice.

Magufuli pamoja na ujeuri wake alikuwa na uwezo wa kumfanya Mbowe chochote lakini hakuthubutu, alikuwa anafanya timing ili jumba bovu lisimwangukie yeye, wewe umethubutu kwa kuingizwa kingi na wajanja.

Uongozi ni KARAMA siyo kila mtu amepewa, jitahidi kuishi na viongozi wenzako vizuri hata kama ni kiongozi wa kijiji, elewa kuna watu wako nyuma yake wanamheshimu walimchagua.

Vyovyote utakavyofanya umfunge Mbowe au umuachie lakini hilo doa kwenye utawala wako huwezi kulifuta kamwe kama vile makaburu walivyomfunga Mandela wakamwachia lakini hadi leo dunia nzima inakumbuka.

Nimeshauri kwa staha.
 
Kwa hili la Mbowe Hangaya hachomiki
emoji1.png
 
Nyerere alisema hakuna chama makini kama Chadema wakati huo Mbowe akiwa Katibu Mkuu wa chama, Mkapa akaona isiwe tabu akatunga sheria Mwenyekiti na Mkurugenzi wa NEC wateuliwe na rais lengo likiwa ni kui-contain Chadema na Mbowe, Kikwete hadi akamuita Mbowe ikulu akanywa nae juice.

Magufuli pamoja na ujeuri wake alikuwa na uwezo wa kumfanya Mbowe chochote lakini hakuthubutu, alikuwa anafanya timing ili jumba bovu lisimwangukie yeye, wewe umethubutu kwa kuingizwa kingi na wajanja.

Uongozi ni KARAMA siyo kila mtu amepewa, jitahidi kuishi na viongozi wenzako vizuri hata kama ni kiongozi wa kijiji, elewa kuna watu wako nyuma yake wanamheshimu walimchagua.

Vyovyote utakavyofanya umfunge Mbowe au umuachie lakini hilo doa kwenye utawala wako huwezi kulifuta kamwe kama vile makaburu walivyomfunga Mandela wakamwachia lakini hadi leo dunia nzima inakumbuka.

Nimeshauri kwa staha.
nyie siasa hamuijui hapo mbowe hafungwi kinachofanyika ni kumchosha tu na kumpotezea muda baaadaee anaachiwa watu washafanya yao wala msifikiri anafungwa siasa ni kazi kama kazi zingine tu
 
Hakuna aliye juu ya sheria za nchi. Acha mkondo wa sheria ufanye kazi yake. Wasiwasi wako ni nini? Kama Mbowe atathibitika siyo gaidi mkondo wa sheria utamuachia huru. Akithibitika ni gaidi mkondo wa sheria utamuhifadhi mahala salaama anapostahili na nyie mtachagua mwenyekiti mwingine mzuri. Huo ndiyo utawala wa sheria unavyopaswa kuwa. Raisi hapaswi kuuingilia kwani akifanya hivyo atakuwa dikiteta. Acheni kulialia. Kazi iendelee.
 
Nyerere alisema hakuna chama makini kama Chadema wakati huo Mbowe akiwa Katibu Mkuu wa chama, Mkapa akaona isiwe tabu akatunga sheria Mwenyekiti na Mkurugenzi wa NEC wateuliwe na rais lengo likiwa ni kui-contain Chadema na Mbowe, Kikwete hadi akamuita Mbowe ikulu akanywa nae juice.

Magufuli pamoja na ujeuri wake alikuwa na uwezo wa kumfanya Mbowe chochote lakini hakuthubutu, alikuwa anafanya timing ili jumba bovu lisimwangukie yeye, wewe umethubutu kwa kuingizwa kingi na wajanja.

Uongozi ni KARAMA siyo kila mtu amepewa, jitahidi kuishi na viongozi wenzako vizuri hata kama ni kiongozi wa kijiji, elewa kuna watu wako nyuma yake wanamheshimu walimchagua.

Vyovyote utakavyofanya umfunge Mbowe au umuachie lakini hilo doa kwenye utawala wako huwezi kulifuta kamwe kama vile makaburu walivyomfunga Mandela wakamwachia lakini hadi leo dunia nzima inakumbuka.

Nimeshauri kwa staha.
Baada ya kufa mkapa stateman aliyebaki ni mbowe! Eti unamfunga stateman alafu nchi iende thubutu!
 
Nyerere alisema hakuna chama makini kama Chadema wakati huo Mbowe akiwa Katibu Mkuu wa chama, Mkapa akaona isiwe tabu akatunga sheria Mwenyekiti na Mkurugenzi wa NEC wateuliwe na rais lengo likiwa ni kui-contain Chadema na Mbowe, Kikwete hadi akamuita Mbowe ikulu akanywa nae juice.

Magufuli pamoja na ujeuri wake alikuwa na uwezo wa kumfanya Mbowe chochote lakini hakuthubutu, alikuwa anafanya timing ili jumba bovu lisimwangukie yeye, wewe umethubutu kwa kuingizwa kingi na wajanja.

Uongozi ni KARAMA siyo kila mtu amepewa, jitahidi kuishi na viongozi wenzako vizuri hata kama ni kiongozi wa kijiji, elewa kuna watu wako nyuma yake wanamheshimu walimchagua.

Vyovyote utakavyofanya umfunge Mbowe au umuachie lakini hilo doa kwenye utawala wako huwezi kulifuta kamwe kama vile makaburu walivyomfunga Mandela wakamwachia lakini hadi leo dunia nzima inakumbuka.

Nimeshauri kwa staha.
Samia kaongeza umaarufu kwa kukubali Mbowe aendelee kusota lupango!
 
nyie siasa hamuijui hapo mbowe hafungwi kinachofanyika ni kumchosha tu na kumpotezea muda baaadaee anaachiwa watu washafanya yao wala msifikiri anafungwa siasa ni kazi kama kazi zingine tu
Kumchosha au kumpa umaarufu.
 
Hakuna aliye juu ya sheria za nchi. Acha mkondo wa sheria ufanye kazi yake. Wasiwasi wako ni nini? Kama Mbowe atathibitika siyo gaidi mkondo wa sheria utamuachia huru. Akithibitika ni gaidi mkondo wa sheria utamuhifadhi mahala salaama anapostahili na nyie mtachagua mwenyekiti mwingine mzuri. Huo ndiyo utawala wa sheria unavyopaswa kuwa. Raisi hapaswi kuuingilia kwani akifanya hivyo atakuwa dikiteta. Acheni kulialia. Kazi iendelee.
Alipohojiwa na Kikeke BBC akasema ushahidi wa Mbowe gaidi uko wazi hakuingilia mahakama?
 
hakuna umaarufu anapata huyo jamaa kesi inaisha uchaguzi ushapita sasa mpaka miaka kumi tena mbowe keshazeeka na chadema hoi
Chaguzi ngapi zilipita baada ya Mandela kufungwa miaka 27, ANC ilikuwa hoi?
 
Nyerere alisema hakuna chama makini kama Chadema wakati huo Mbowe akiwa Katibu Mkuu wa chama, Mkapa akaona isiwe tabu akatunga sheria Mwenyekiti na Mkurugenzi wa NEC wateuliwe na rais lengo likiwa ni kui-contain Chadema na Mbowe, Kikwete hadi akamuita Mbowe ikulu akanywa nae juice.

Magufuli pamoja na ujeuri wake alikuwa na uwezo wa kumfanya Mbowe chochote lakini hakuthubutu, alikuwa anafanya timing ili jumba bovu lisimwangukie yeye, wewe umethubutu kwa kuingizwa kingi na wajanja.

Uongozi ni KARAMA siyo kila mtu amepewa, jitahidi kuishi na viongozi wenzako vizuri hata kama ni kiongozi wa kijiji, elewa kuna watu wako nyuma yake wanamheshimu walimchagua.

Vyovyote utakavyofanya umfunge Mbowe au umuachie lakini hilo doa kwenye utawala wako huwezi kulifuta kamwe kama vile makaburu walivyomfunga Mandela wakamwachia lakini hadi leo dunia nzima inakumbuka.

Nimeshauri kwa staha.
Uongozi ni KARAMA siyo kila mtu amepewa, jitahidi kuishi na viongozi wenzako vizuri hata kama ni kiongozi wa kijiji, elewa kuna watu wako nyuma yake wanamheshimu walimchagua.
 
Chaguzi ngapi zilipita baada ya Mandela kufungwa miaka 27, ANC ilikuwa hoi?
usimlnganishe mandela na hawa jamaa mandela ile kichwa nyingine acha kabisa mbowe alishaonyesha udhaifu hata ndani ya chama chake kukatalia kwenye uenyekiti hataki wenzie warithi miaka nenda rudi mandela uliona anatabia hizo
 
usimlnganishe mandela na hawa jamaa mandela ile kichwa nyingine acha kabisa mbowe alishaonyesha udhaifu hata ndani ya chama chake kukatalia kwenye uenyekiti hataki wenzie warithi miaka nenda rudi mandela uliona anatabia hizo
Enzi zile kuna watu walikuwa wanam-dis Mandela kama wewe leo unavyotakam-dis Mbowe lkn baadae walikuja kumkumbuka.

Kwa kumbukumbu zangu Mbowe hajawahi kukatalia kiti ni wanachama wake huwa wanamchagua.
 
Back
Top Bottom