Samia Suluhu, doa la kumfunga Mbowe halitafutika, watangulizi wako wote walilikwepa

Samia Suluhu, doa la kumfunga Mbowe halitafutika, watangulizi wako wote walilikwepa

Enzi zile kuna watu walikuwa wanam-dis Mandela kama wewe leo unavyotakam-dis Mbowe lkn baadae walikuja kumkumbuka.
Akili zenu sijui zina nini hadi kumlinganisha Mbowe na akina Mandela, Nyerere, Mugabe, Kaunda, Samora etc enzi hizo za mapambano ya ukombozi dhidi ya tawala za ukoloni.

Enzi hizo zilikuwa za mapambano. Hakukuwa na demokrasia wala nini kwenye mapambano hayo. Hata damu zilimwagika kwenye mapambano hayo. Sasa kama Mbowe wenu anafikiri nchi hii iko kwenye mapambano ya aina hiyo basi asijute atakapohukumiwa kuwa gaidi. Vyama vya siasa vinapogeuka kuwa vyama vya kigaidi lazima vitashughulikiwa na mkondo wa sheria.
 
Hajaingilia mahakama labda kama hujui huo mkondo wa sheria ulivyo. Mkondo huu unaanzia kwa vyombo vya serikali kukusanya ushahidi dhidi ya mtuhumiwa. Serikali ikishajiridhisha kuwa ushahidi dhidi ya mtuhumiwa umekuwa wazi ndipo serikali humkamata mtuhumiwa na kumpeleka mahakamani. Serikali haiwezi kupeleka mahakamani mtuhumiwa ye yote kama haijapata ushahidi ulio wazi dhidi yake. Baada ya kumfikisha mtuhumiwa mahakamani, mkondo wa kisheria wa mahakama huanza na hukamilika kwa maamuzi/ hukumu ya hakimu / jaji. Serikali huwa haiingilii huo mkondo (mchakato) wa kisheria wa mahakamani.
Sawa, kama rais aliposema kuna ushahidi wa wazi hajaingilia mahakama, basi na watu wanaosema Mbowe si Gaidi waachwe waseme sio kuwaambia wanaingilia mahakama.
 
Akili zenu sijui zina nini hadi kumlinganisha Mbowe na akina Mandela, Nyerere, Mugabe, Kaunda, Samora etc enzi hizo za mapambano ya ukombozi dhidi ya tawala za ukoloni.

Enzi hizo zilikuwa za mapambano. Hakukuwa na demokrasia wala nini kwenye mapambano hayo. Hata damu zilimwagika kwenye mapambano hayo. Sasa kama Mbowe wenu anafikiri nchi hii iko kwenye mapambano ya aina hiyo basi asijute atakapohukumiwa kuwa gaidi. Vyama vya siasa vinapogeuka kuwa vyama vya kigaidi lazima vitashughulikiwa na mkondo wa sheria.
Kwahiyo tayari umeshahukumu kuwa kuna vyama vya kigaidi, kwa ushahidi wa kina Kingai?

Wala Mbowe hajuti ndio maana kila siku anatabasamu wala wana Chadema hawatajuta bali waliotengeneza UONEVU ndio watakaojuta na vizazi vyao.
 
Kwa kiasi kikubwa ulichokiandika kina mrengo wa kichama na hadithi za kusadikika.
  • unaposema Nyerere alisema Chadema ni chama makini unamaana alikipa Chedema immunity ya viongozi wake kutoshitakiwa hata kama wametenda jinai? Nini point yako hapa?
  • kusema kuwa Maraisi wote waliopita waliamua kumfumbia macho Mbowe, hii imekaa zaidi kama story za kwenye vijiwe vya kahawa. Je, una fact ya hili?
  • Raisi Kiwete kuwaita wapinzani Ikulu haikuwa na maana ya kuwaogopa bali wakati huo vuguvugu la vyama vya siasa nchini lilikuwa kubwa hivyo ilikuwa ni busara kutafuta common ground. Na wakati huo Mbowe hakuwa na shutuma za jinai.
 
Kwa kiasi kikubwa ulichokiandika kina mrengo wa kichama na hadithi za kusadikika.
  • unaposema Nyerere alisema Chadema ni chama makini unamaana alikipa Chedema immunity ya viongozi wake kutoshitakiwa hata kama wametenda jinai? Nini point yako hapa?
  • kusema kuwa Maraisi wote waliopita waliamua kumfumbia macho Mbowe, hii imekaa zaidi kama story za kwenye vijiwe vya kahawa. Je, una fact ya hili?
  • Raisi Kiwete kuwaita wapinzani Ikulu haikuwa na maana ya kuwaogopa bali wakati huo vuguvugu la vyama vya siasa nchini lilikuwa kubwa hivyo ilikuwa ni busara kutafuta common ground. Na wakati huo Mbowe hakuwa na shutuma za jinai.
Wakati Nyerere anasema Chadema ni chama makini sio kwamba hakukuwa na vyama vingine alimaanisha.

Facts ni kwamba Mbowe yupo tangu enzi za Nyerere ugaidi uonekane ndani ya miezi mitatu ya Samia?

Kikwete kuwaita Chadema ikulu hizo ni Karama za uongozi sio udhaifu.
 
Hakuna aliye juu ya sheria za nchi. Acha mkondo wa sheria ufanye kazi yake. Wasiwasi wako ni nini? Kama Mbowe atathibitika siyo gaidi mkondo wa sheria utamuachia huru. Akithibitika ni gaidi mkondo wa sheria utamuhifadhi mahala salaama anapostahili na nyie mtachagua mwenyekiti mwingine mzuri. Huo ndiyo utawala wa sheria unavyopaswa kuwa. Raisi hapaswi kuuingilia kwani akifanya hivyo atakuwa dikiteta. Acheni kulialia. Kazi iendelee.
Alafu unajiita docta akili!
 
Wakati Nyerere anasema Chadema ni chama makini sio kwamba hakukuwa na vyama vingine alimaanisha.

Facts ni kwamba Mbowe yupo tangu enzi za Nyerere ugaidi uonekane ndani ya miezi mitatu ya Samia?

Kikwete kuwaita Chadema ikulu hizo ni Karama za uongozi sio udhaifu.
Ndugu jinai haina umri. Unaweza kuishi miaka yote safi ukatenda jinai at your 80s.
 
Nyerere alisema hakuna chama makini kama Chadema wakati huo Mbowe akiwa Katibu Mkuu wa chama, Mkapa akaona isiwe tabu akatunga sheria Mwenyekiti na Mkurugenzi wa NEC wateuliwe na rais lengo likiwa ni kui-contain Chadema na Mbowe, Kikwete hadi akamuita Mbowe ikulu akanywa nae juice.

Magufuli pamoja na ujeuri wake alikuwa na uwezo wa kumfanya Mbowe chochote lakini hakuthubutu, alikuwa anafanya timing ili jumba bovu lisimwangukie yeye, wewe umethubutu kwa kuingizwa kingi na wajanja.

Uongozi ni KARAMA siyo kila mtu amepewa, jitahidi kuishi na viongozi wenzako vizuri hata kama ni kiongozi wa kijiji, elewa kuna watu wako nyuma yake wanamheshimu walimchagua.

Vyovyote utakavyofanya umfunge Mbowe au umuachie lakini hilo doa kwenye utawala wako huwezi kulifuta kamwe kama vile makaburu walivyomfunga Mandela wakamwachia lakini hadi leo dunia nzima inakumbuka.

Nimeshauri kwa staha.
si mnasema ndagu ya kuupata rais ni kufungwa jela- wacha aende jela akirudi urais ataukuta tu
 
Ningekuwa mimi ni Samia, kesi zote zilizotokana na Uchaguzi ningeachana nazo ikiwemo hii kesi ya Rau Madukani kwa msingi kwamba siwezi kurithi uadui yaani visa, mateso na dhambi mimi ningeamua kurithi upendo na stawi wa Taifa linalotabasamu.

Baada ya hapo ningeweka utaratibu nikutane na vyama vyote kwa pamoja au indiviually ili nione wao kwani wanasemaje?

Kumsikiliza mtu si kosa, sasa tatizo la CCM wao wanataka kuongoza nchi hii peke yao - haiwezekani tena, mshaurini mama vitu positive - kumzuia kwamba KATIBA MPYA si agenda ya CCM ni kutaka kumwagushia Jumba mbovu - Katiba mpya kwa mazingira ya sasa HAIKWEPEKI TENA.
 
Ndugu jinai haina umri. Unaweza kuishi miaka yote safi ukatenda jinai at your 80s.
Sawa kwahiyo Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli wote hawakuona jinai ya Mbowe kaja Samia hata hajamaliza miezi mitatu kaiona? Think!
 
Sawa kwahiyo Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli wote hawakuona jinai ya Mbowe kaja Samia hata hajamaliza miezi mitatu kaiona? Think!

Mwache mama afanye kazi yake, ucmpangie cha kufanya kijana
 
Ningekuwa mimi ni Samia, kesi zote zilizotokana na Uchaguzi ningeachana nazo ikiwemo hii kesi ya Rau Madukani kwa msingi kwamba siwezi kurithi uadui yaani visa, mateso na dhambi mimi ningeamua kurithi upendo na stawi wa Taifa linalotabasamu.

Baada ya hapo ningeweka utaratibu nikutane na vyama vyote kwa pamoja au indiviually ili nione wao kwani wanasemaje?

Kumsikiliza mtu si kosa, sasa tatizo la CCM wao wanataka kuongoza nchi hii peke yao - haiwezekani tena, mshaurini mama vitu positive - kumzuia kwamba KATIBA MPYA si agenda ya CCM ni kutaka kumwagushia Jumba mbovu - Katiba mpya kwa mazingira ya sasa HAIKWEPEKI TENA.
Tatizo la mama ni ‘inferiority’ hajiamini hasa ukizingatia kundi linalomzunguka la Magufuli.
 
Waliokuwa wanaiita takataka kuwa ni "Mama" shame on you all!

Having a vagina is no proof that one cannot be a tyrant.
 
Tatizo la mama ni ‘inferiority’ hajiamini hasa ukizingatia kundi linalomzunguka la Magufuli.
afu hili kundi lishajua mama ni muoga, linataka kupata recognition na yale mambo aliyoyasimalia Mzee yote yakamilike sababu hii awamu bado ni ya Mzee si yake maza.

Sasa utaka kujua zaidi fuatilia issue ya sukari.
 
Nyerere alisema hakuna chama makini kama Chadema wakati huo Mbowe akiwa Katibu Mkuu wa chama, Mkapa akaona isiwe tabu akatunga sheria Mwenyekiti na Mkurugenzi wa NEC wateuliwe na rais lengo likiwa ni kui-contain Chadema na Mbowe, Kikwete hadi akamuita Mbowe ikulu akanywa nae juice.

Magufuli pamoja na ujeuri wake alikuwa na uwezo wa kumfanya Mbowe chochote lakini hakuthubutu, alikuwa anafanya timing ili jumba bovu lisimwangukie yeye, wewe umethubutu kwa kuingizwa kingi na wajanja.

Uongozi ni KARAMA siyo kila mtu amepewa, jitahidi kuishi na viongozi wenzako vizuri hata kama ni kiongozi wa kijiji, elewa kuna watu wako nyuma yake wanamheshimu walimchagua.

Vyovyote utakavyofanya umfunge Mbowe au umuachie lakini hilo doa kwenye utawala wako huwezi kulifuta kamwe kama vile makaburu walivyomfunga Mandela wakamwachia lakini hadi leo dunia nzima inakumbuka.

Nimeshauri kwa staha.
"Safari ya wawekezaji kuja ni ndefu, bado nitaendelea kuzunguka na kuwaambia njooni Tanzania, nafanya hivyo kwa sababu ilani imenituma kama nimekubali kubeba mzigo wa kuongoza hii nchi kuna mambo kadhaa yaliyoelekezwa niyatimize na hayo mambo sitoyatimiza kwa kukaa ndani,"-Rais @samia_suluhu_hassan

"Unaambiwa ukiwa kiongozi una maswali ya kujibu kwa Mungu, na mimi ndiko nikakuogpopa zaidi, nafanya ninavyoweza ili nikifika huko kesho na keshokutwa nikiulizwa niseme nimefanya hiki, kwa usafi, kuliko kwamba ooh nilisema sikusikilizwa, nataka nijisafishie njia yangu,"- Rais Samia

#Hawa huongea toka rohoni au ni kufarahisha umati tuu???
Mtu kamsingizia Mbowe halafu ana payuka @ najiandaa Mungu akienda kuniuliza!! Wakati hata huyo Mungu hawata muona
 
Back
Top Bottom