Pre GE2025 Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM Taifa, hata bila ya kampeni anaweza kushinda uchaguzi kwa kishindo kikuu

Pre GE2025 Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM Taifa, hata bila ya kampeni anaweza kushinda uchaguzi kwa kishindo kikuu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
mabilioni ya ruzuku ya chama tutayatumia wap sasa,
mabango na mapikikpiki mbona ni sehemu kidogo mno ya ruzuku gentleman?🐒

mav8 na pickup 0km ya kijani, yanakuja yote yameandikwa Dr.Samia Suluhu Hassan,
sasa itakuaje mkuu yakifika 🤣
Hamna kitu, zile ni pesa zake personal , ni personal gain baada bya kuuza nchi, na rasilimali zake kwa waarabu.
2025 atashinda Urais bwa KIZIMKAZI 😅🤣😅
 
mabilioni ya ruzuku ya chama tutayatumia wap sasa,
mabango na mapikikpiki mbona ni sehemu kidogo mno ya ruzuku gentleman?🐒

mav8 na pickup 0km ya kijani, yanakuja yote yameandikwa Dr.Samia Suluhu Hassan,
sasa itakuaje mkuu yakifika 🤣
Farasi ni WA bure kupata ushindi, shijaa hajisalimishi kwa wingi farasi.

Kifupi hana kitu Cha kuongea jukwaani
 
Hamna kitu, zile ni pesa zake personal , ni personal gain baada bya kuuza nchi, na rasilimali zake kwa waarabu.
2025 atashinda Urais bwa KIZIMKAZI 😅🤣😅
sasa kama ni hivyo,
Zikianza kutumika zile za ruzuku ya chama, wafanyabiashara na marafik wa chama itakuaje?🤣

ndio maana nakwambia huyu mama Dr SAMIA SULUHU HASSAN anaweza kushinda uchaguzi kwa kishindo bila hata kampeni 🐒
 
Farasi ni WA bure kupata ushindi, shijaa hajisalimishibkwa wingi farasi.

Kifupi hana kitu Cha kuongea jukwaani
kapumzike bas gentleman na urelax maana naona ukomo wa fikra zako dhidi ya hoja yangu umekufika...

usisahau Dr.samia suluhu hasasni anaweza kushinda uchaguzi kwa kishindo bila hata kampeni 🐒
 
sasa kama ni hivyo,
Zikianza kutumika zile za ruzuku ya chama, wafanyabiashara na marafik wa chama itakuaje?🤣

ndio maana nakwambia huyu mama Dr SAMIA SULUHU HASSAN anaweza kushinda uchaguzi kwa kishindo bila hata kampeni 🐒
Hakuna marafiki, SEMA wakwepa Kodi na waauza madawa ya kulevya NGADA
 
JamiiForums
Jukwaa la Siasa
Kuelekea 2025 Kiukweli 2025 Simwoni Rais Samia akishinda kwenye Boksi la kura kama upinzani wakiweka mtu mahiri.
Thread starterRobert Heriel Mtibeli Start dateToday at 11:36 AM Tagskura mtu rais rais samia samia uchaguzi 2025 upinzani
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
1 of 5
Next
Last
Jump to new
Subscribe

•••
Robert Heriel Mtibeli
Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
Today at 11:36 AM
Add bookmark
#1
Habari za usiku wakuu!

Licha ya kuwa Mhe. Rais anajitahidi kwa uwezo wake wote kutoa mchango wake katika kuipa nchi maendeleo lakini bado mwitikio kwa wananchi ni mdogo sana. Bado hajapata nguvu kwa wananchi waliowengi.

Najua wapo wapambe ambao wataukataa huu ukweli kwa manufaa wanayoyajua wao wenyewe. Lakiñi huku mtaani ni dhahiri kuwa Nyota ya Mama bado ipo chini. Hakubaliki.

NI vile upinzani nao upo legelege, haueleweki lakini acha tuone mpaka mwakani huenda mambo yakabadilika.

Akitokea mpinzani mzuri hasa anayetokea Bara nina hakika Samia atakuwa kwenye wakati mgumu kutetea kiti chake kwa njia halali.
Sijui kwa upande wa figisufigisu.

Kingine, Rais Samia kwenye kuongea hasa wakati wa kampeni sina hakika atazungumza kwa namna ipi ili kushawishi wananchi.
Maana uoñgeaji wake haupo kwa namna ya kushawishi. Anawéza akawa anaelezea vizuri lakini sio kueleza katika kiwango cha kumshawishi mtu kitu ambacho kwenye siasa ni kikubwa.

Binafsi nasubiri kwa hamu panapo majaliwa nione hizo kampeni.

Acha nipumzike sasa
 
Hakuna marafiki, SEMA wakwepa Kodi na waauza madawa ya kulevya NGADA
mnakoelekea ni kule panapo wahenyeshaga sana kwenye sanduku la kura,

hua mnawaita wananchi nini eti? majina gani wanapo wakataa 🤣
 
JamiiForums
Jukwaa la Siasa
Kuelekea 2025 Kiukweli 2025 Simwoni Rais Samia akishinda kwenye Boksi la kura kama upinzani wakiweka mtu mahiri.
Thread starterRobert Heriel Mtibeli Start dateToday at 11:36 AM Tagskura mtu rais rais samia samia uchaguzi 2025 upinzani
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
1 of 5
Next
Last
Jump to new
Subscribe

•••
Robert Heriel Mtibeli
Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
Today at 11:36 AM
Add bookmark
#1
Habari za usiku wakuu!

Licha ya kuwa Mhe. Rais anajitahidi kwa uwezo wake wote kutoa mchango wake katika kuipa nchi maendeleo lakini bado mwitikio kwa wananchi ni mdogo sana. Bado hajapata nguvu kwa wananchi waliowengi.

Najua wapo wapambe ambao wataukataa huu ukweli kwa manufaa wanayoyajua wao wenyewe. Lakiñi huku mtaani ni dhahiri kuwa Nyota ya Mama bado ipo chini. Hakubaliki.

NI vile upinzani nao upo legelege, haueleweki lakini acha tuone mpaka mwakani huenda mambo yakabadilika.

Akitokea mpinzani mzuri hasa anayetokea Bara nina hakika Samia atakuwa kwenye wakati mgumu kutetea kiti chake kwa njia halali.
Sijui kwa upande wa figisufigisu.

Kingine, Rais Samia kwenye kuongea hasa wakati wa kampeni sina hakika atazungumza kwa namna ipi ili kushawishi wananchi.
Maana uoñgeaji wake haupo kwa namna ya kushawishi. Anawéza akawa anaelezea vizuri lakini sio kueleza katika kiwango cha kumshawishi mtu kitu ambacho kwenye siasa ni kikubwa.

Binafsi nasubiri kwa hamu panapo majaliwa nione hizo kampeni.

Acha nipumzike sasa
hebu mtaje huyo mpinzani Taifa licheke kwa dharau kwa pamoja 🤣
 
mnakoelekea ni kule panapo wahenyeshaga sana kwenye sanduku la kura,

hua mnawaita wananchi nini eti? majina gani wanapo wakataa 🤣
Ni waauza madawa ya kulevya, na wakwepa Kodi, over CCM haina marafiki, ni wezi, majambazi,, wakwepa Kodi, ambao wanataka kujilinda dhidi ya maovu yao.

Hakuna urafiki na SHETANI
 
JamiiForums
Jukwaa la Siasa
Kuelekea 2025 Kiukweli 2025 Simwoni Rais Samia akishinda kwenye Boksi la kura kama upinzani wakiweka mtu mahiri.
Thread starterRobert Heriel Mtibeli Start dateToday at 11:36 AM Tagskura mtu rais rais samia samia uchaguzi 2025 upinzani
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
1 of 5
Next
Last
Jump to new
Subscribe

•••
Robert Heriel Mtibeli
Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
Today at 11:36 AM
Add bookmark
#1
Habari za usiku wakuu!

Licha ya kuwa Mhe. Rais anajitahidi kwa uwezo wake wote kutoa mchango wake katika kuipa nchi maendeleo lakini bado mwitikio kwa wananchi ni mdogo sana. Bado hajapata nguvu kwa wananchi waliowengi.

Najua wapo wapambe ambao wataukataa huu ukweli kwa manufaa wanayoyajua wao wenyewe. Lakiñi huku mtaani ni dhahiri kuwa Nyota ya Mama bado ipo chini. Hakubaliki.

NI vile upinzani nao upo legelege, haueleweki lakini acha tuone mpaka mwakani huenda mambo yakabadilika.

Akitokea mpinzani mzuri hasa anayetokea Bara nina hakika Samia atakuwa kwenye wakati mgumu kutetea kiti chake kwa njia halali.
Sijui kwa upande wa figisufigisu.

Kingine, Rais Samia kwenye kuongea hasa wakati wa kampeni sina hakika atazungumza kwa namna ipi ili kushawishi wananchi.
Maana uoñgeaji wake haupo kwa namna ya kushawishi. Anawéza akawa anaelezea vizuri lakini sio kueleza katika kiwango cha kumshawishi mtu kitu ambacho kwenye siasa ni kikubwa.

Binafsi nasubiri kwa hamu panapo majaliwa nione hizo kampeni.

Acha nipumzike sasa
hebu mtaje huyo mpinzani Taifa na nchi nzima icheke kwa dharau kwa pamoja🤣
Utakuwa mgeni
usione aibu we mtaje tu huyo mwwnye ushawishi zaidi ya Dr Samia Suluhu hasani, kua jasiri tafadhali 🤣
 
Ni waauza madawa ya kulevya, na wakwepa Kodi, over CCM haina marafiki, ni wezi, majambazi,, wakwepa Kodi, ambao wanataka kujilinda dhidi ya maovu yao.

Hakuna urafiki na SHETANI
ninyi watakatifu, walipa kodi, wenye marafiki ambao hamjilindi mbona mara zote wananchi huwakataa kwenye sanduku la kura 🐒
 
hebu mtaje huyo mpinzani Taifa na nchi nzima icheke kwa dharau kwa pamoja🤣

usione aibu we mtaje tu huyo mwwnye ushawishi zaidi ya Dr Samia Suluhu hasani, kua jasiri tafadhali 🤣
Ushawahi kusikia watu wanaoitwa court jesters??

Walikuwepo kwenye medieval Period, huko EUROPE, Kazi Yao ilikuwa ni kuwachekesha wafalme,malkia, wanapokuwa kwenye msongo, je wewe una tofauti gani na hao??
Aksante sana kwa thread zako za kuchekesha.

Vipi bei Gani mnalipwa siku hizi huko Lumumba?? Au bado ni buku saba ileile??

Msalimie pia mmiliki wa mgahawa SHISHI FOOD, ambaye Huwa anamfurahisha 🐸 🐸😅🤣😅🤣
 
Ushawahi kusikia watu wanaoitwa court jesters??

Walikuwepo kwenye medieval Period, huko EUROPE, Kazi Yao ilikuwa ni kuwachekesha wafalme,malkia, wanapokuwa kwenye msongo, je wewe una tofauti gani na hao??
Aksante sana kwa thread zako za kuchekesha.

Vipi bei Gani mnalipwa siku hizi huko Lumumba?? Au bado ni buku saba ileile??

Msalimie pia mmiliki wa mgahawa SHISHI FOOD, ambaye Huwa anamfurahisha 🐸 🐸😅🤣😅🤣
unaona aibu na unyonge kumtaja mgombea urasi wenu mwenye ushawishi zaidi ya Dr Samia Suluhu Hassan 🤣

unaishia kutaja hata asie husika kwenye hoja mezani 🐒

Hii Lazima ulale nayo kwamba Dr Samia Suluhu Hassan anaweza kupata ushindi wa kishindo bila hata kufanya kampeni 🐒
 
ninyi watakatifu, walipa kodi, wenye marafiki ambao hamjilindi mbona mara zote wananchi huwakataa kwenye sanduku la kura 🐒
Tanzania hamna uchaguzi, Kuna UCHAFUZI.

Election ni. Process,
1.Nomination of candidate.
2.Cmpaign to seek mass support
3.Votting kupiga kura
4.Ballot counting
5.Decrale the winner
Katika mambo hayo lazima yawe fair, pasipo figisu, na matokeo yanayotangazwa lazima yali reflect voter's will, je kinachotangawzaw ndiyo kilichotakiwa na wapiga kura??


Tanzania kunakuwa na UCHAFUZI MKUU na siyo UCHAGUZI MKUU
 
Kupiga na kushiriki chaguzi tz ni kupoteza muda
NEC ccm
Wasimamizi uchaguz ccm
Watangaza matokeo ccm
Vyombo ulinzi usalama ccm
Mahakama ccm

Sasa kwa style hiyo hata wakiweka jiwe ccm watashinda tu

Ova
 
Tanzania hamna uchaguzi, Kuna UCHAFUZI.

Election ni. Process,
1.Nomination of candidate.
2.Cmpaign to seek mass support
3.Votting kupiga kura
4.Ballot counting
5.Decrale the winner
Katika mambo hayo lazima yawe fair, pasipo figisu, na matokeo yanayotangazwa lazima yali reflect voter's will, je kinachotangawzaw ndiyo kilichotakiwa na wapiga kura??


Tanzania kunakuwa na UCHAFUZI MKUU na siyo UCHAGUZI MKUU
ndio maana watu wanahama vyama,
meaning kwenye vyama vya kisiasa hususan chedema hakuna process ya uchaguzi 🤣

na mengine uloyataja ni kama mwiba na anasa. Naskia kiongozi wao hahitaji na wala hapendi kitu inaitwa uchaguzi, kampeni wala kupiga kura ndani ya chama 🤣

ila nje ya hapo anajiita mwana Demokrasia 🤣
 
Back
Top Bottom