Samia Suluhu Hassan ni Rais halali kabisa wa Tanzania, tusimdharau ila tumuombee afya, amani na azidishiwe hekima ya kutuongoza watanzania

Wanaomtukana Rais ni wafuasi wa magufuli,Hawa wanafadhiliwa na Humphrey,na bashite,

Pia Wengine wanaomtukana Rais ni baadhi ya wajinga wenye mentality za udini, wao kwao wanatamani nchi hiwe au iongozwe na mkristo tu daima

Wewe naweeeee
Sasa huo udini na uchochezi. Nyie ndio mnatuharibia

Halafu Black belts nikuulize, hiyo video umeisikiliza? Huyo kwenye video na Rais Samia ni wa imani moja?
 
Wewe naweeeee
Sasa huo udini na uchochezi. Nyie ndio mnatuharibia
Hapana,ukweli lazima usemwe,Kuna watu wachache Wana fikra za udini tu hi Nchi, Wana chuki na Samia sababu ya dini yake,

Hawa ni wapuuzi kabisa
 
Naona umeanza kuwageuka chato gang taratibu.

Vizuri sana!

Wacha kueneza chuki za kikabila Lord denning

Haitabadilika Rais John Pombe Joseph Magufuli ataendelea kuishi na dunia itamkumbuka kama rais wa watanzania kwa misimamo yake kusimamia na kuongoza watu wake kwa kile alichokiamini.

Atabaki kuwa Mwamba Shujaa na rais wa karne kwa mengi makubwa na mazuri aliyofanya kwa taifa hili. Aendelee kulala salama kipenzi chetu

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote
 
Unapoteza hadhi ya ulokole, ujue.

Kumbe nilikua na hadhi hiyo🤣🤣🤣

Mimi kuwa kuwa au kutokua mlokole ni maoni yako na unavyoniwazia; na hadi kuamua kunipa hiyo hadhi na baadae kuamua kwamba nimeipoteza ni mapenzi yako binafsi sio yangu
 
Hiko kichwa chako unatumia kufikiri au kufugia nywele ?
Mpaka muda huu huelewei hii ni nchi inayoundwa na Waislamu, Wakristo, Wachawi, Wapagani, Wahindu, Mabohora, Wabudha n.k na hivyo huwezi kutumia kitabu cha dini yako kujenga hoja kama hii?!

Yoda kwani hizo nchi zingine zilikua zinaundwa na wapagani pekee?

Yaan kwa akili zako hapakua na wenye imani tofautitofauti tehetehee

Maskini dah! Una akili za kukopa wewe😂😂😂
 
Hapana,ukweli lazima usemwe,Kuna watu wachache Wana fikra za udini tu hi Nchi, Wana chuki na Samia sababu ya dini yake,

Hawa ni wapuuzi kabisa

Kwa uliyoandika hapo Wewe ndio hao wenye udini na chuki.

Usituchochee wala kutuambukiza udini na chuki zako

Tunachojua SSH ni rais wetu hiyo dini yake ni binafsi kama zilivyo kwa wengine
 
Shujaa wa Karne ya 17
 
Shujaa wa Karne ya 17

Si unaona akili zako zinavyofanya kazi kisengerenyuma!?

Umia, galagala, pasuka hukuweza mfanya JPM, huwezifanya kitu kuhusu yeye kuishi karne hii, na huwezi mfanya kitu Samia Suluhu Hassan

Utaishia kuchukia tuu na kujitaftia magonjwa yasiyoambukiza 😂😂
 
Samia ni Rais aliyetokana na kudra za mwenyezi Mungu tusubiri mpaka 2025 atakapogombea na kupewa urais na wanawake wenzake.
 
Mama wa kambo, kujistukia kwake kila siku kujinasbu kijinsia kumefanya nimpuuze rasmi.
 
Ila Magu alistahili kejeli kupingwa na kuzuiwa kutekeleza unyama wake kwa watsnzania wenzie.
Ilikuwa utafikiri nchi alipindua!
Ameleta maumivu na vilio nchini, hakuna mfano wake. Bunge ni yeye, mahakama pia ni yeye.jeshi na polisi vyote ni yeye. Ilikuwa ni ngumu kimtofautisha na akina Sultani Aladini kwenye Ertugrul.
Mungu alituhurumia akatupumzisha na mateso na ghilba zile.
Ndo mana wanufaika kama Polepole wanalia ovyo ovyo hata kama wao wapo guru kwenye utawala huu kuliko wenzao walivyo kuwa wanatupa Uhuru wakiwa na mwendazake.
Kesi za uongo na vifungo vidivyo vya haki ilikuwa kawaida wakati wa mwenda zake.
Bado nabaki ya utawala mwovu tunayaona sasa.
 
Mkuu umeongea vizuri Sana,barikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…