Uchaguzi 2020 Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania


Kamanda, you have unleashed a lot of words, but your call to action isn’t grounded in the power of reason!

Hivi mtu anayesema anajua watashinda na mwingine ambaye anajiita Rais kabla ya Uchaguzi (na hajawahi kuwa Rais) ni nani jeuri zaidi?
 
Preelection polls zimefanyika na zinaendelea kufanyika!
Poll my foot, Tanzania utafanya poll vipi wakati watu hata kujadili tu wanafanya self censorship?

Umemsikia Mzee Butiku anavyolalamika woga wa Watanzania?

Poll utafanya vioi fair katika nchi ambayo ukitia poll results ambazo hazijapitishwa na serikali ni kosa la jinai?
 

Vuta subira; baada ya uchaguzi utajua kama zilikuwa fair au hazikuwa fair!
 
Vitoto vya kishua bwana watanzania hatutakagi hilo lichama na hatujuagi kiingereza msalimu dadiii
She has spoken a very good point,because it's hard for opposition to defeat CCM . People loves CCM alot and they gonna vote for it no matter what.
 
Dada unajiaibisha hujui kiingereza kabisa hata cha form 1
 
Jamani sa kama hamjui simuandike kizaramo..view of her ?? Hahahahah
After the election is over, you 'll get surprised to learn that your view of her is essentially not changed much. .....
 
Ccm imekataliwa kila kona ya nchi hii, na yeye Samia anafahamu. Ccm haiwezi shinda sanasana watalazimisha kujitangaza. Watu wana siri mioyoni mwao. Karata waliyobakiwa Nayo ni kuwafukuza mawakala vituoni na hii ndio itawapa ushindi,maeneo ambayo upinzani wakikomaa hadi mwisho ccm watapoteza maeneo hsyo
 
Vitoto vya kishua bwana watanzania hatutakagi hilo lichama na hatujuagi kiingereza msalimu dadiii

Sio kila Mtanzania ana mawazo kama yako. Wapo wengi sana ambao wana mawazo tofauti kabisa na ya kwako!
 
Ccm imekataliwa kila kona ya nchi hii, na yeye Samia anafahamu. Ccm haiwezi shinda sanasana watalazimisha kujitangaza. Watu wanao siri mioyoni mwao.kkwa

Upinzani kukosa visingizio sio kawaida yao. Kama kawaida, safari hii pia vitakuwepo vya kumwaga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…