CCM wanajivunia kutawala katika katiba dhaifu yenye miongo 4 ! siku wakikubali kuanza upya na katiba mpya nitaamini CCM ni imara ila kwa sasa haina tofauti na mtoto anayejifariji sababu kila kitu analetewa na wazazi hana habari ipo siku itampasa asimame mwenyewe!