Uchaguzi 2020 Samora, Iringa: Yaliyojiri mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Samora, Iringa: Yaliyojiri mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli

Polepole anadai Lissu hana kumbukumbu. Labda angemcheck na Boss wake ........ Jamaa asbuhi anahutunbia somewhere kuwa Wamchagulie wa CCM la sivyo hatawapelekea maendeleo, mchana anadai Maendeleo hayana Chama.. Huyu mtu ni wa kumuogopa!!
 
No bana usichanganye mambo sio mkutano wa kampeni hiyo ni CCM fiesta haina tofauti na Fiesta za Prime Time Promotion na Clouds FM ni katika mtindo huohuo

Hata hilo nyomi huwa minafuata Fiesta na sio mkutano wa kampeni
 
Uwanja wa Samora umefurika na kutapika na hii haijawahi kutokea tangu uwanja huu umejengwa 1976.

Ni kampeni za kihistoria, karibu.

==========



Updates;

MIGORI, IRINGA

LUKUVI:
Tunaomba kawilaya, utawala ni mgumu sana. Wasiwe wanawafata wakuugenzi, wakuu wa wilaya kilomita 125. Namuombea kura mheshimiwa Magufuli, mtampa? Namuombea kura diwani, mtampa? Mzee Mungu akubariki sana, sisi tunajua unatupenda sana jimbo la Ismani, tunakukaribisha sana.

MAGUFULI: Nileteeni mheshimiwa Lukuvi ili tufanye nae kazi, angalau kama mnanipenda na mimi imebaki miaka yangu mitano, nimalize na Lukuvi. Amefanya kazi zake vizuri sana katika kipindi kilichopita na nimeshangaa kwanini hakupita bila kupingwa kwa sababu siku za nyuma alikuwa anapita bila kupingwa na mimi kule jimboni kwangu nimewahi kupita bila kupingwa. Mtamleta Lukuvi?

Amenisaidia sana katika kazi, amefanya kazi katika wizara ya Ardhi ambayo mimi mwenyewe nimewahi kuwa waziri wa Ardhi. Tukawezesha vijiji 920 katika nchi hii kuvirudisha katika matumizi ya wananchi badala ya kuwa hifadhi za taifa.

Ingawaje nafahamu, shujaa huwa hapendwi kwao. Hata mti wenye matunda ndio unapigwa mawe lakini umuhimu wa Lukuvi mimi nausema kwa wazi, nileteeni Lukuvi, nileteeni na diwani wa CCM. Matunda yake mtayaona, na mimi naomba kura.

SAMORA, IRINGA
POLEPOLE:
Leo hapa Iringa tumekuja na injini mbili za ziada kwa ajili tu ya kuweka mambo sawa. Tuna wana CCM waandamizi, makada waandamizi nitawatambulisha baadae. Sasa wameanza kuweweseka, mahala fulani wanasema, Kassim Majaliwa ni waziri mkuu, kwanini anazunguka?

Nikasema humu tayari, dozi imeingia maana kila anapoenda kuharibu, Rais anamtuma Majaliwa anasafisha. Ndugu Kassim majaliwa ni sehemu ya viongozi wa kitaifa wa chama cha mapinduzi na leo tunayo heshma, tunao wajumbe wengine wa kamati kuu ya halmashauri kuu ya Taifa ambao wamepewa majukumu mahsusi ya kuzunguka kitaifa kupiga kazi njema ya kutafuta kura.
Eti engine mbili,
Majaliwa Angekuwa engine angelazimisha tume kumpitisha bila kupingwa?
Historia yake katika kuamini wizi wa kura iko wazi.
Majaliwa akiwa mwalimu kule Mtwara akiwa msimamizi wa kituo waliahirikiana na Meck sadiq kutorosha masanduku ya kura wakitumia gari muhamed enterprises.
Sifa hii ya wizi wa kura ndio iliyompa ukuu wa wilaya wakati ule wa Kikwete.
 
Haka ka sredi kanavyojikongoja kalikuwa kamefika page ya tatu mods wamekavuta tena shati. Sasa wanataka kukamaliza au?
😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅
 
Lazima uwe wa kihistoria wasanii 200 si mchezo, kazi na shule vimefungwa ili uwe wa kihistoria.
Wasanii tunawatumia tangu 1995,na tunawapiga kila uchaguzi kuanzia Serikali za mitaaa mpaka Urais. Chama saccos cha mbowe, huwezi linganisha na CCM hata kidogo.
 
Uwanja wa Samora umefurika na kutapika na hii haijawahi kutokea tangu uwanja huu umejengwa 1976.

Ni kampeni za kihistoria, karibu.

==========



Updates;

MIGORI, IRINGA

LUKUVI:
Tunaomba kawilaya, utawala ni mgumu sana. Wasiwe wanawafata wakuugenzi, wakuu wa wilaya kilomita 125. Namuombea kura mheshimiwa Magufuli, mtampa? Namuombea kura diwani, mtampa? Mzee Mungu akubariki sana, sisi tunajua unatupenda sana jimbo la Ismani, tunakukaribisha sana.

MAGUFULI: Nileteeni mheshimiwa Lukuvi ili tufanye nae kazi, angalau kama mnanipenda na mimi imebaki miaka yangu mitano, nimalize na Lukuvi. Amefanya kazi zake vizuri sana katika kipindi kilichopita na nimeshangaa kwanini hakupita bila kupingwa kwa sababu siku za nyuma alikuwa anapita bila kupingwa na mimi kule jimboni kwangu nimewahi kupita bila kupingwa. Mtamleta Lukuvi?

Amenisaidia sana katika kazi, amefanya kazi katika wizara ya Ardhi ambayo mimi mwenyewe nimewahi kuwa waziri wa Ardhi. Tukawezesha vijiji 920 katika nchi hii kuvirudisha katika matumizi ya wananchi badala ya kuwa hifadhi za taifa.

Ingawaje nafahamu, shujaa huwa hapendwi kwao. Hata mti wenye matunda ndio unapigwa mawe lakini umuhimu wa Lukuvi mimi nausema kwa wazi, nileteeni Lukuvi, nileteeni na diwani wa CCM. Matunda yake mtayaona, na mimi naomba kura.

SAMORA, IRINGA
POLEPOLE:
Leo hapa Iringa tumekuja na injini mbili za ziada kwa ajili tu ya kuweka mambo sawa. Tuna wana CCM waandamizi, makada waandamizi nitawatambulisha baadae. Sasa wameanza kuweweseka, mahala fulani wanasema, Kassim Majaliwa ni waziri mkuu, kwanini anazunguka?

Nikasema humu tayari, dozi imeingia maana kila anapoenda kuharibu, Rais anamtuma Majaliwa anasafisha. Ndugu Kassim majaliwa ni sehemu ya viongozi wa kitaifa wa chama cha mapinduzi na leo tunayo heshma, tunao wajumbe wengine wa kamati kuu ya halmashauri kuu ya Taifa ambao wamepewa majukumu mahsusi ya kuzunguka kitaifa kupiga kazi njema ya kutafuta kura.
Unatambua kwa nini hakwenda mara ya kwanza kwa mujibu wa ratiba. Alitaka hakikisho la kusombewa watu kwa kadiri iwezekanavyo kutoka mikoa jirani. Na hapo kweli mburura wa kijani amewapata, Ila cha kusikitisha hakuna sera wala hoja, yaani ni 'empty & hopeless case" Hata wasikilizaji waliohudhuria wamenuna kama vile wamelambishwa ndimu.

Ebu linganisha tu, na uangalia kule ktk mkutano wa Nyamongo, licha ya watu kupigwa mabomu ya machozi, bado watu wamejaa hamasa, sura zenye bashsha na furaha huku wakimsikiliza kiongozi wao wampendaye.
 
Kuna matrela ya matrekta, malori na mabasi mangapi yameandaliwa hapo maana nimesikia wanasombwa kutoka vijiji vyote....
Kama hivi
IMG_20200927_130327.jpeg
 
Back
Top Bottom